CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

CAG. CAG soon anatumbuliwa wote hamtoamini.
 
Je? viongozi wetu wanajitafakari juu ya Ripoti hiii ambayo imefichua ubadhirifu na uozo mkubwa!

Viongozi wetu wenye dhamana je mtaamua kufumba macho lipite au mtachukua hatua?

kwakweli sisi watanzania walipa kodi tumeshituka sana juu ya ubadhirifu huu,
tunaomba wahusika wote ktk kila idara au sekta hatua za haraka zichukuliwe bila kuchelewa maana ushahidi huo hapo CAG report.

TAKUKURU msisubiri kutafuta ushahidi mwengine, repoti ya CAG ni ushahidi kamili hivyo tunaomba mchukue hatua haraka kwa kila mhusika
 
TAKUKURU anzeni na taarifa hii hapa ya CAG Kicheere. Huyu mtu wa matunguli kutoka Nzega alitumia madaraka vibaya katika matumizi ya tamasha la Urithi.

Msisubiri maelekezo ya Rais kumkamata Kigwangala, sheria yenu inawapa nguvu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…