CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

CAG aongea na waandishi wa habari - Aprili 8, 2021

... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Uwe unaweka akiba ya maneno.. Ona sasa unafedheheka
 
... unapenda kweli kuwahi kuleta habari but with no details or very shallow. Usiwe unakimbilia ku-post; unaziba nafasi ya mwenye nia ya kutuletea habari kwa ukamilifu! Hata hizo UPDATES zako zitakuwa very shallow I guess!
Ttzo lenu WA-TANZANIA mnataka kila kitu mletewe km ni muhabarishaji mzuri kwa nini usiilete kwa marefu na mapana hii hbr??? Watu weusi mnatab sana
 
Screenshot_20210408-182416_Chrome.jpg

Baada ya ufisadi wa Kigwangala kuwekwa hadharani hatimaye amekimbia kurasa zake za mitandao.
Ameenda mbali zaidi na kufunga kurasa zake ili watu wasimseme mbaya kwa wizi aliofanya

EydKC_UXAAQZcVU.jpeg
 
Wangekuwa wanawajibishwa ingesaidia, badala yake tutaishia kuwacheka tu huku mitandaoni maisha yanaendelea, next year tena CAG atakuja na ripoti ya wizi mwingine, tutashangaa tena then maisha yataendelea, yaani tumegeuzwa mazuzu sana na CCM.
 
Back
Top Bottom