Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
kigwa boy. mwaka wake huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] Lazima, make saiv ana ujasiri usio wa kawaida..Naona CAG ana lainisha koo hapo usikute hiyo kwenye grass ni nyagi
Ana sura ya nyagi na k vant kabisa[emoji23][emoji23] Lazima, make saiv ana ujasiri usio wa kawaida..
Ulijuaje kunta, anagonga sana Smirnoff vodkaNaona CAG ana lainisha koo hapo usikute hiyo kwenye grass ni nyagi
We maji gani mtu anameza huku amekunja nditaNaona CAG ana lainisha koo hapo usikute hiyo kwenye grass ni nyagi
Sura yake tu inaonyesha kuwa mwamba anapiga sana vitu vya RussiaUlijuaje kunta, anagonga sana Smirnoff vodka
Tusaidie namba yake ya simu tumfuate hewani tafadhali sanaIla anapatikana kwa njia ya simu ya mkononi!
Shida ni bunge sio raia...... Kama wangeweka maazimio ya kuwaburuza mahakama ya mafisadi haya yote yasingetokea.Wangekuwa wanawajibishwa ingesaidia, badala yake tutaishia kuwacheka tu huku mitandaoni maisha yanaendelea, next year tena CAG atakuja na ripoti ya wizi mwingine, tutashangaa tena then maisha yataendelea, yaani tumegeuzwa mazuzu sana na CCM.
Anapelekwa kisutu? 😀
Mkuu ni kwamba walipokuwa wakikamatwa hawakuwa wakitajwa, lakini watu wameendelea kupiga mpunga kama kawaida...Halafu ni audit ya kipindi tulichoambiwa ufisadi umedhibitiwa
CAG anapoza koo ili aendelee kushusha NONDO!View attachment 1746766
Baada ya ufisadi wa Kigwangala kuwekwa hadharani hatimaye amekimbia kurasa zake za mitandao.
Ameenda mbali zaidi na kufunga kurasa zake ili watu wasimseme mbaya kwa wizi aliofanya
View attachment 1746767
Lile jamaa linavyopenda masifa ya kuandika andika na kuonekana safi, lazima litajibu tuKigwangala huu ndiyo muafaka wa kutwiti sasa, CAG anakuchafua kijana mchapakazi, mzalendo, Waziri mstaafu.
Everyday is Saturday............................... 😎
Na ndo kazi yao,huwa wanasema audit query wanazikuta wakija kukagua,hawaji nazo toka kwa CAG🤣🤣CAG kama trafiki lazima akukute na kosa akikuchunguza.
Magufuli alishawahi mwambia mbele ya hadhara wewe Kichere naye sura yako mbaya,kipindi akiwa Mkurugenzi TRA🤣🤣🤣CAG ana sura yake personal
Pita hapa:Sasa nimeelewa kwanini hakutaka vyombo vya habari vifunguliwe.
Kumbe Dr Abbas anahusika kwenye huu uratibu wa matumizi yasiyo na utaratibu.
Everyday is Saturday............................... 😎