CAG: Hela za Plea Bargaining(Kesi za uhujumu) za mabilioni ziliingia mifukoni mwa watu-hazikuingia Serikalini!

Aliyekuwa DPP achunguzwe na maafisa wa ofisi yake.

Waliohusika na Jambo hili bado wapo hai na wengine wamepewa vyeo vipya , akiwemo aliyekuwa DPP , Hii nchi ilipofikia hata Mungu kishaikatia Tamaa .

Hata kuiombea ni sawa na kupoteza muda tu .
 
Hapana hii taarifa inaweza kuwa ya uongo maana pesa za plea bargain zilikuwa zinawekwa kwenye account maalum na mwaka jana CAG alisema hakuna sheria ya kuzitumia ziko bank tuu! Hii habari ya kutafunwa ni uongo!
CAG huwa haongopi.
Aongope kwa ajili ya nini?
Mliopania kutetea uchafu wa mwendazake si ajabu mko complicit of the crime.
 
Kwa



Kwa hiyo zipo bank gani?Kama wahuni wanatuhakikishia kwamba pesa hizo zilichukuliwa.Watuambie zipo bank ipi.Sio kutuletea maneno ya uongo yasuo na ushahid.
Na kama ziliingia serikalini ziiingilia wapi?
 
Mkuu usitetee wizi.
Flyover zote zimejengwa kwa misaada toka nje.
Tunasubiri CAG adondoshe bomu la ununuzi wa ndege.
Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.
 
Kuwa insane ni Kutoa ripoti vidole vyote vikimuelekea MAREHEMU. Waziri wa fedha Yu hai, watumishi wa fuko kuu walotia Saini wote wapo, kwanini WASIWAJIBISHWE hao?
 
Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.
Hata marehemu Hitler alidondoshewa mabomu ya kutosha tu baada ya kujiua kukwepa kukamatwa.
Mtu akifa maovu yake hayafi naye.
Sasa maovu yanaanza kuonekana kiuhalisia, na tunaona jinsi tulivyopigwa kisawas sawa na "Rais wa wanyonge."
 
Bomu umdondoshee marehemu ni AKILI Kweli hiyo. Ameondoka mmoja WASAIDIZI wake wote wapo Badala ya kuwauliza WAWAJIBISHWE mnakalia siasa. Nasubiria KIFO Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO Kwa hamu kubwa.
Nikuulize tu swali la akili!
Kwa akili yako hayo maouvu huyo marehemu alipokuwa akiyafanya , yeye hakujua?
 
CAG huwa haongopi.
Aongope kwa ajili ya nini?
Mliopania kutetea uchafu wa mwendazake si ajabu mko complicit of the crime.

Ninachosema unatakiwa uelewe CAG hajasema hichi kilicho andikwa kama unajua kuna ukurasa kasema haya ulete! Mtoa mada ni muongo!
 
Mbwa mwongo mwenye mkia mrefu aina barbaig sherpherd aka Slaa! elezea hapa!
Magufuli atakuwa shetani na slaa ni mfuasi wa shetani
 
Sasa kama ziliingia mifukoni mwa watu Je hao watu walio ingiziwa izo pesa Je nao hawajulikani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…