Acha uongo wewe...Assad amezaliwa Oktoba 6, 1961... sasa umri umefika ukingoni kivipi?Muda wake wa miaka mitano umeisha. Pia umri nao umefikia ukingoni kuendelea kuwa CAG
Wivu tuuu mkuuu. Acha watu wamesoma wapeleke mema kwao. So kigezo ilikuwa no elimu aka?Huyu kawekwa kuficha uchafu. Hana ubavu wa kupingana na Ikulu. Ni kibaraka mwoga na usitegemee kitu.
Fedha zitachotwa kupelekwa Chato na hatosema kitu. Nasikia kuna mchoro wa Chato itakuwa kama Shanghai.
DuhWivu tuuu mkuuu. Acha watu wamesoma wapeleke mema kwao. So kigezo ilikuwa no elimu aka?
View attachment 1252682
Rais John Magufuli leo Novemba 3 amemteua Charles Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akichukua nafasi ya Prof. Mussa Assad
Prof. Assad aliteuliwa na Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete wakati wa utawala wake na kuapishwa Novemba 2014.
BAADHI YA VIFUNGU VYA SHERIA/KATIBA VILIVYOIBUA MJADALA:
View attachment 1252913
View attachment 1252910
WASIFU WA KICHERE:
NAME : Charles Edward Kichere
DATE OF BIRTH : 26th March 1970
LANGUAGES : Fluent in English and Kiswahili in both writing and speaking.
ACADEMIC QUALIFICATIONS
November 2016:Tumain University, Bachelor of Law (LLB).
December 2008: University of Dar es Salaam, Master of Business Administration (MBA – Finance).
June 2004: African Renaissance Centre – Mbabane, Kingdom of Swaziland. Awarded Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects.
November 1997: University of Dar Es Salaam Awarded Bachelor of Commerce (B.com – Accounting) Upper Second Class with Honours.
May 1992: Shinyanga Commercial Institute (Shycom) Awarded Advanced Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1.
November 1989: Tambaza Secondary School Awarded Certificate of Secondary Education Examinations – Division 1
Charles Edward Kichere was a Njombe Regional Administrative Secretary (RAS) and former Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA).
He also worked as Deputy Commissioner General at Tanzania Revenue Authority (TRA),
Head of Finance and Chief Accountant at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Principal Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Tanzania National Roads Agency (TANROADS),
Internal Auditor at Unilever Tea Tanzania Limited, and Internal Auditor/Treasurer at Unilever Tea Kenya Limited.
Charles E. Kichere holds Bachelor of Laws (LL.B) from Tumaini University College, Dar es Salaam Tanzania, Masters of Business Administration (MBA) in Finance at University of Dar es Salaam,
Diploma in Financial Management of Donor Funded Projects at Africa Renaissance Centre, Mbabane Swaziland,
Bachelor of Commerce in Accounting (B.Com Accounting) at University of Dar es Salaam.
He is a member of the Credit and Audit Committees.
Kama tulitaka kumpa lowasa nchi kichere kuwa cag shida nini?wasalaam, kuna habari zinasambaa kwa kasi sehemu mbalimbali nchini kwamba CAG mpya mh kichere ni dhaifu kutoka na historia yake ya utendaji huko nyuma. Habari zinasema kwamba bwana kichere ni mtu wa ndio mzee na kuanzia sasa ukaguzi wa hesabu za serekali utafanywa na serikali yenyewe kwa maelekezo kutoka pale nyumba nyeupe.
Tusubiri muda ni rafiki huenda ni majungu tu labda watu wanazusha. Maendeleo yana vyama usipochagua ccm hakuna kuletewa maendeleo.
Ova.
Mkuu nafikiri umelivuta sana hilo neno "ku-stahili" nawe umeligeuza kuwa lazima mkataba wake uwe renewed. Maana halisi ni kuwa anaweza akapewa mkataba mwingine au kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Tunaweza kujiuliza kwa nini raisi hakumpa mkataba mwingine lakini kisheria raisi yuko ndani ya sheria (Public Audit Act 2008)Wakati Katiba inasema CAG atakaa miaka 5 ofisini na astahili mkataba wake kuwa renewed kwa miaka mingine 5, atatakiwa kuachia ofisi akifikisha umri wa miaka 60 au umri mwingine utakaotajwa na sheria.
Kumbuka alikuwa tanroad kama mhasibu mkuu,dotto naye(pay master general) na magu wote walikuwa tanroadd...unganisha nuktaKichere ana bahati
Public Audit Act imepewa na imetoa umri tu na sio mengineyoMkuu nafikiri umelivuta sana hilo neno "ku-stahili" nawe umeligeuza kuwa lazima mkataba wake uwe renewed. Maana halisi ni kuwa anaweza akapewa mkataba mwingine au kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Tunaweza kujiuliza kwa nini raisi hakumpa mkataba mwingine lakini kisheria raisi yuko ndani ya sheria (Public Audit Act 2008)
Mkuu kaisome tena.Public Audit Act imepewa na imetoa umri tu na sio mengineyo
Kwa mujibu wa katiba CAG analazimika kustaafu na miaka 65
Assad kafikisha hiyo miaka?
tako linakuwasha nikaribie nikukuneMimi ndio Mume ninaekubandua kila siku, Una lingine
Mkuu kaisome tena.
Rudi mchango #1 juu soma hiyo cut-and-paste ya kiingereza ambayo imetolewa Public Audit Act 2008. Hiyo ya kiswahili imepitwa na wakati.Nisaidie ili tusipoteze muda kama nimepotoka
Tuko hapa kujifunza pia
Nisaidie kuiweka hapaRudi mchango #1 juu soma hiyo cut-and-paste ya kiingereza ambayo imetolewa Public Audit Act 2008. Hiyo ya kiswahili imepitwa na wakati.
Kama ni jasiri akague mahesabu ya wizara ya utawala bora tuone kisha akague hesabu za ofisi ya bunge kwa ndungai tuone,Mpeni Nafasi Atuonyeshe Uwezo