Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Uzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha

Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?

Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k.

mifano tunaweza kuzitizama nchi jirani Ghana na Nigeria, kwa upande wa Ghana wakristo ni wengi 71% lakini imani za waislam zinaheshimiwa, wakati huo huo nchi jirani ya Nigeria waislam wapo 53% lakini kumekuwa na matukio ya kuukandamiza ukristo, pia hapa kwetu Tanzania Bara wakristo ni wengi zaidi huku imani za kiislam zikiheshimiwa lakini visiwani Zanzibar kulikojaa waislam hali ni tofauti.



Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299

Hii ni juzi tu hapo jumamosi iliyopita kanisa la katoliki lilishambuliwa.
View attachment 2909578



Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam kuna uwezekano mkubwa watataka watu wa eneo hilo hata wasio waislam wafate sheria za kiislam na ataekiuka wanaona wana haki ya kumuadhibu,

Huyu kakutwa katulia anajinywea zake bia zake huko Zanzibar, wakaanza kumpiga bakora bila kujali kama imani yake inamruhusu kunywa,

View attachment 2909278

taasisi za elimu kama vyuo vya kikristo wala haviingilii uhuru wa wanafunzi wa kislam lakini kwa upande wa vyuo vya kiislam hali ni tofauti, mfano chuo cha kiislam cha Morogoro hairuhusiwi kwa mwanafunzi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume hata kufanya discussion isipokuwa awepo mtu wa tatu, kuna video iliwahi kuvuja ikionyesha watu wazima wa chuo hicho wakidhibiwa kwa viboko.

View attachment 2910122



Nchi kadhaa zimepitisha sharia (sheria kwa mujibu wa uislam) zenye mahakama zake, inatakiwa wote mfuate sharia hata kama si muumini wa dini ya kiislam, Mfano nchi kama Malaysia, Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kwenye mahakama ya kiislam kisha usubiri uamuzi wao kama utakubaliwa
Hiyo sijui ndiyo inaitwa inferiority complex? Hawa jamaa siyo kabisa!
 
Brazil, phillipines, Congo zina wakristo zaidi ya asilimia 90

Nakuongezea zingine

1 croatia
2 Romania
3 Papua New Guinea
4 Tonga
5 vatican city
6 Armenia
7 Namibia
8 Marshall Islands
9 Moldova
10 Solomon Islands
Mwongezee na Burundi! Pale Waislam wengi wako Bujumbura kwenye mtaa wa Buyenzi! Ukimaliza hiyo mpe na Rwanda ni zaidi ya 90% Christian!
 
Tulia upate dawa , yaani mpka dawa ikuingie usiwadanganye wanyonge kanisani kwa maslahi mafupi ya kilimwengu
Imekua ni fujo tena inaonekana wewe ni mshari sana
mara dawa ikuingie ni kauli za vurugu vurugu

Ulizaliwa ukaukuta ukristo na utakufa utaacha huwezi shindana nao
 
Imekua ni fujo tena inaonekana wewe ni mshari sana
mara dawa ikuingie ni kauli za vurugu vurugu

Ulizaliwa ukaukuta ukristo na utakufa utaacha huwezi shindana nao

Yaani kukuwekea mistari ya biblia unaoniona mshari ??
Ulitaka watu wasimjue Mungu wa kweli waendelee kudanganywa na akina nyinyi , na sisi tukae kimya tu ??
 
Yaani kukuwekea mistari ya biblia unaoniona mshari ??
Ulitaka watu wasimjue Mungu wa kweli waendelee kudanganywa na akina nyinyi , na sisi tukae kimya tu ??
Unachoandika wewe ni repetition na pumba kwa asilimia 100

We sio wa kwanza kusema Yesu si Mungu, Yesu hakufa msalabani wako waliosema miaka 1000 iliyopita mfano da vinci alisema Yesu alioa na alikua na mahusiano na mary magdalena ila alifika wapi na hiyo acquisition yake hakufika popote

Ukristo una miaka 2000 jiulize wewe una miaka mingapi
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
ANGALIZO: Utaje Nchi na sio utaje visiwa vyenye watu 65,000 kama kitongoji umaanishe ni Nchi
Austria
Denmark
Sweden
Vatican
Botswana
Namibia
Zimbabwe.
 
Ulimaanisha biblia hii ??


"He that hath seen me hath seen the father."

Let us look at the context:

"Philip saith unto him, Lord, shew us the Father, and it sufficeth us. Jesus saith unto him, Have I been so long time with you, and yet hast thou not known me, Philip? he that hath seen me hath seen the Father; and how sayest thou then, Shew us the Father?"

John 14:8-9

Philip wanted to see God with his own eyes, but this is impossible sinceno one can ever do ever do that. The Bible says:

"No man hath seen God at any time,"

John 1:18

"No man hath seen God at any time,"

1 John 4:12

"And the Father himself, which hath sent me, hath borne witness of me. Yehave neither heard his voice at any time, nor seen his shape."

John 5:37

But they were listening to Jesus' voice and looking at him standing before them! Jesus was simply simply telling us that his own actions and miracles should be a sufficient proof of the existence of God without God having top hysically come down and let himself be seen every time someone is doubtful. This is equivalent to for example:

1)John 8:19: "Then said they unto him, Where is thy Father? Jesus answered, Ye neither know me, nor my Father: if ye had known me, ye should have known my Father also."

2)John 12:44 "Jesus cried and said, He that believeth on me, believeth not on me, but on him that sent me."

3)John 15:23 "He that hateth me hateth my Father also."

4)Matthew 10:40-41 "He that receiveth you receiveth me (Jesus), and he that receiveth me receiveth him that sent me. He that receiveth a prophet in the name of a prophet shall receive a prophet's reward; and he that receiveth a righteous man in the name of a righteous man shall receive a righteous man's reward."

5)Judges 13:20-22: "For it came to pass, when the flame went up toward heaven from off the altar, that the angel of the LORD ascended in the flame of the altar. And Manoah and his wife looked on [it], and fell on their faces to the ground. But the angel of the LORD did no more appear to Manoah and to his wife. Then Manoah knew that he [was] an angel of the LORD. And Manoah said unto his wife, We shall surely die, because we have seen God."

If we want to insist that when Philip saw Jesus (pbuh), he had actually physically seen God "the Father" because Jesus "is" the father and both are one "Trinity," and Jesus is the "incarnation" of God, then this will force us to conclude that John 1:18, 1 John 4:12, John 5:37..etc. are all lies.

Well, is Philip the only one who ever "saw the father"? Let us read:

"Not that any man hath seen the Father, save he which is of God, he hath seen the Father."

John 6:46

Who is this who "is of God" and had seen the Father you ask? Let us once again ask the Bible:

"He that is of God heareth God's words: ye therefore hear them not, because ye are not of God."

John 8:47.

And

"Beloved, follow not that which is evil, but that which is good. He that doeth good is of God: but he that doeth evil hath not seen God"

3 John 1:11.

Have all people who have done good also physically seen God?


"No vision can grasp Him, but His grasp is over all vision. He is the Subtle,the Well-Acquainted [with all things]"

The noble Qur'an, Al-Anaam(6):103
Why can't muslims coexist with other religions?
 
Unachoandika wewe ni repetition na pumba kwa asilimia 100

We sio wa kwanza kusema Yesu si Mungu, Yesu hakufa msalabani wako waliosema miaka 1000 iliyopita mfano da vinci alisema Yesu alioa na alikua na mahusiano na mary magdalena ila alifika wapi na hiyo acquisition yake hakufika popote

Ukristo una miaka 2000 jiulize wewe una miaka mingapi
Hata wasio dini wamefikia miaka zaidi ya ukristo , wewe una miaka mingapi ?

Wewe ndiyo Wale Bwana Yesu aliwaita wenye mioyo migumu
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
ANGALIZO: Utaje Nchi na sio utaje visiwa vyenye watu 65,000 kama kitongoji umaanishe ni Nchi

DRC , usa , Canada , urusi, France , spain, italy, England , Germain , Rwanda , Burundi , ni nyingi
 
Umeanza na mji, na wakati umeambiwa utaje Nchi, au hujui maana ya neno City?
By the way robo tatu ya ulivyo taja ni visiwa vingine vidogo sana pengine kama Wilaya moja ya Tanzania au hata Kijiji.... Kisiwa kina watu laki moja nacho ni Nchi
We jamaa ujue hiki unakaza fuzu kuandika baada ya kijibiwa ndiyo vile unawakilisha waislam wengi mlivyo.

Yaani mkiona mtu anaelekea kuwashinda kwa hoja, hiki unachozunguka hapa baada ya kujibiwa ndicho huwa mnafanya kuharibu mihadhara au mada!.

takbiiiiiir!.
 
Dini ya kipwindi sana ndio maana wanaswali kwa kuputama makalio juu
 
Back
Top Bottom