Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Nchi inaweza kuwa na 99% wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 55 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

Pichani ni wakristo washitakiwa na kupigwa bakora kwa kula mchana huko pemba kipindi cha Ramadhan

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
Ni ujinga tu waislamu wa huku Buza. Nimetembea Senegal ina 95% Waislamu lakini hawana hizi ushamba kwanza za kuwa na sigida usoni, kunyanyasa Wakristu hata kuwabagua. Ni hawa wa huku kwetu tu akina Ponda ndiyo wana mambo ya kindezi
 
Nimekuambia Utaje Nchi tano Duniani Zenye 90% Christian???
Australia ina 44% hata nusu haijafika
 
Latin America zote
unaona mnavyo unga unga data?
Wakristo sio wengi Duniani kama unavyofikiri.
Kuna mmoja alikuja hapa akifikiri Mataifa yenye nguvu Duniani yanaongoza kwa wakristo; kupewa data akabaki mdomo wazi
Ukifuatilia hata huko Israel ndio utashangaa; hakuna wakristo huko sijui ndio wanakaribia 2%
 
Nimekuambia Utaje Nchi tano Duniani Zenye 90% Christian???
Australia ina 44% hata nusu haijafika

Tano chache sana Nakuwekea nchi 10 na asilimia za wakristo waliopo katika hizo nchi. Na ukitaka nakuongea zaidi

1 Vatican City 100%
2 Romania 99%
3 Papua New Guinea 99%
4 croatia 99%
5 paraguay 99%
6 Armenia 98.5%
7 Namibia 97.6%
8 congo 90.5%
9 Moldova 97.5%
10 Solomon Islands 97.5%
11 Brazil 91 %
 
Nchi inaweza kuwa na 99% wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 55 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru

Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299


Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

Pichani ni wakristo washitakiwa na kupigwa bakora kwa kula mchana huko pemba kipindi cha Ramadhan

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
Mmiliki wa hiyo dini ndio katoa maagizo sio Mungu
 
Tano chache sana Nakuwekea nchi 10 na asilimia za wakristo waliopo katika hizo nchi. Na ukitaka nakuongea zaidi

1 Vatican City 100%
2 Romania 99%
3 Papua New Guinea 99%
4 Tonga 99%
5 Timor-Leste 99%
6 Armenia 98.5%
7 Namibia 97.6%
8 Marshall Islands 97.5%
9 Moldova 97.5%
10 Solomon Islands 97.5%
11 Brazil 91 %

Umeanza na mji, na wakati umeambiwa utaje Nchi, au hujui maana ya neno City?
By the way robo tatu ya ulivyo taja ni visiwa vingine vidogo sana pengine kama Wilaya moja ya Tanzania au hata Kijiji.... Kisiwa kina watu laki moja nacho ni Nchi
 
Umeanza na mji, na wakati umeambiwa utaje Nchi, au hujui maana ya neno City?
By the way robo tatu ya ulivyo taja ni visiwa vingine vidogo kuliko Zanzibar au niseme vidogo kama Wilaya moja ya Tanzania
Mkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,

Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam

hio ndio mada iliyopo mezani
 
Umeanza na mji, na wakati umeambiwa utaje Nchi, au hujui maana ya neno City?
By the way robo tatu ya ulivyo taja ni visiwa vingine vidogo kuliko Zanzibar au niseme vidogo kama Wilaya moja ya Tanzania

Hujui kama vatican city ni nchi inayojitegemea. Kama huamini Ukipenda toa vatican city weka Paraguay kufidia

Tena huko mbali sana nakutajia nchi jirani za Africa zenye zaidi ya 90 % ya population wakristo

1. Rwanda
2. Zambia
3. Namibia
4. Congo
5.sheli sheli
 
Na sio against Christian ila ni against dini zote chini ya jua. Kuna vita kati ya Waislam na Wabudha, Muslim against Hindu, Islam against Jews na mwisho ni Muslim against Muslim( Shia against Answar Sunna, Ahamadiya vs Answar n.k) na nyingine ni ile Muslim against Muslim ya Sudan wanapambana Muislam Mgunya (Mwarabu koko against Black Muslim)
Hii dini ni njanga la dunia,na ndio maana India kaweka Sheria Kali ni marufuku waislamu kutoka nchi jirani kuhamia kwao.Nchi nyingi za kiislamu zinafinya magaidi ya kidini kimya kimya.
 
Bahati mbaya sana wenzetu hawana religious tolerance, its very unfortunate. Niliishi Unguja kipindi fulani, nyakati za mfungo zilikuwa ngumu sana kwa mkristo yoyote, kuna nyakati walifunga speakers karibu na makanisa ili tu watu wakose utulivu katika ibada zao.

Imani ya kikristo, pamoja na kuwa ina madhaifu mengi sana ila inafundisha uvumilivu kiimani.
 
unaona mnavyo unga unga data?
Wakristo sio wengi Duniani kama unavyofikiri.
Kuna mmoja alikuja hapa akifikiri Mataifa yenye nguvu Duniani yanaongoza kwa wakristo; kupewa data akabaki mdomo wazi
Ukifuatilia hata huko Israel ndio utashangaa; hakuna wakristo huko sijui ndio wanakaribia 2%
Lakini siyo moslems.
 
Tano chache sana Nakuwekea nchi 10 na asilimia za wakristo waliopo katika hizo nchi. Na ukitaka nakuongea zaidi

1 Vatican City 100%
2 Romania 99%
3 Papua New Guinea 99%
4 Tonga 99%
5 Timor-Leste 99%
6 Armenia 98.5%
7 Namibia 97.6%
8 Marshall Islands 97.5%
9 Moldova 97.5%
10 Solomon Islands 97.5%
11 Brazil 91 %
Usisahau The Sovereign Military Order of Malta.
 
Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida.

Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 lakini waislam wana uhuru wa kiimani.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 55 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa, kunakuwa hakuna tolerance ya imani zingine.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Makanisa yanavunjwa, Ujenzi wa makanisa unaminywa, makanisa kuwa machache huku misikiti ikijengwa kwa uhuru

Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa

View attachment 2909299


Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia
Uislamu ni ushetani na wanaabudu majini
 
Bahati mbaya sana wenzetu hawana religious tolerance, its very unfortunate. Niliishi Unguja kipindi fulani, nyakati za mfungo zilikuwa ngumu sana kwa mkristo yoyote, kuna nyakati walifunga speakers karibu na makanisa ili tu watu wakose utulivu katika ibada zao.

Imani ya kikristo, pamoja na kuwa ina madhaifu mengi sana ila inafundisha uvumilivu kiimani.
Hata ikitokea umemuangalia kwa muda upitilizao dakika tano ataanzisha vagi.Vagi kama vagi.
 
Back
Top Bottom