Can you date a guy without asking him for Money?

Can you date a guy without asking him for Money?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndio maana una hasira, tafuta pesa hadi wote utuone wazuri.
Pesa ninazo,kama una bisha leta namba ya wakala wa hapo mtaani kwenu buza nikurushie hela ya wine,pussy wewe!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndio maana una hasira, tafuta pesa hadi wote utuone wazuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
I definitely can date a guy without asking for money. There is something special about a woman who genuinely dates for love than money [emoji3531]

Kumuomba mwanaume hela anae kutongoza ama ambae mpo kwenye mahusiano KWA MTAZAMO WANGU mie Binti1 :
Inaondoa heshima mwanamke kwasabu thamani yako unaifananisha na pesa. Sasa mwanaume atakupa kiasi gani kufikia thamani yako?

Mwisho wa siku unaonekana rahisi....Imagine kupewa 20k,50k, 100k a woman is way worth than that!!
Ku date kwa hela ina maana siku mwanaume akiishiwa au akiyumba hatamdate...so hapo anakua hana upendo wa kweli!!

Nadhani mwanaume pia atakua comfortable kumheshimu mwanamke asiyeomba hela .Na ikitokea ameomba ni kwasababu genuine labda amekwama kwenye jambo na anahitaji support.

Sasa mwanamke anaepiga mzinga kila siku anaweza kupata na shida akakosa msaada mkubwa kwasababu siku zote anaomba hela zisizo na msingi.

Na sijui nani ametuharibu wadada wa siku hizi.Kigezo kikubwa cha ku date mwanaume lazima awe na hela. Matokeo yake unajikuta unakosa upendo wa kweli.

Tusio omba hela tutaonekana washamba na tumechelewa mjini [emoji1][emoji1]
Hata hamjachelewa mjini, mjini pia watu wanapenda wasio omba omba
 
tatizo hapo unasema utaona Yaan huwa hamuoni jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallahi nimecheka kwa nguvu, huwa wanasema wataona ila ndiyo hadi waone sasa. [emoji2296][emoji2296]
 
Jael, Atu, Zoe na wenzako niwape rai moja kwamba, ukipenda kuomba pesa kuwa na tabia ya kuitafuta hiyo pesa, usipenda kupenda pesa huku unategemea pesa ya kutoka mfukoni mwa mwanaume wako. Wanawake wengi mnanyanyasika kwa sababu wengi wenu hamna FINANCIAL FREEDOM.
 
tatizo hapo unasema utaona Yaan huwa hamuoni jamani
Tehteh...msomali wapo tunaoona saana.....

Ila wasioona wapo wengii.

Mwanamke anayeomba pesa anatabia mbaya au alikuwa kwenye mahusiano na mwanaume aliyekuwa hamsaidii matatizo yake hivyo akamzoesha kuomba.
 
Jael, Atu, Zoe na wenzako niwape rai moja kwamba, ukipenda kuomba pesa kuwa na tabia ya kuitafuta hiyo pesa, usipenda kupenda pesa huku unategemea pesa ya kutoka mfukoni mwa mwanaume wako. Wanawake wengi mnanyanyasika kwa sababu wengi wenu hamna FINANCIAL FREEDOM.
Mkuu kule juu si nilishakueleza kuwa pesa tunatafuta ila lazima na zenu tuzitumiepo kidogo acheni uchoyo watoto wa kiume
 
Pesa ninazo,kama una bisha leta namba ya wakala wa hapo mtaani kwenu buza nikurushie hela ya wine,pussy wewe!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu kunywa maji ulale, ndoto njema.
 
Hata hamjachelewa mjini, mjini pia watu wanapenda wasio omba omba
Inakuwaje gavana wa Dar, Bashite anawafukuza wale watoto wa kigogo kama ombaomba pale cbe na posta anawaacha hawa ombaomba wa kimapenzi, hili kundi la ombaomba la kimapenzi limekuwa kubwa na kero sana kwa sasa. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😝 😝 😝, Yesu watu watu watanishambulia kama nn.
 
Back
Top Bottom