Mbona hata wakati wa Magufuli alisema, au umesahau? Aliweka Hadi waraka humuCarol huwa ana kiherehere flani hivi Rais naye ana utashi kuongea hisia zake sio dhambi as long as havunji sheria anapoongea, waache kumu undermine Rais ingekuwa magufuli asinge dhubutu kusema hvo
Rais Samia ameturudishia uhuru tuliopokonywa na jambo zuri zaidi ni kwamba anakubaliana na changamoto za kutuweka huru. Tumshukuru bwana Mungu wetu...Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Rais Samia ameturudishia uhuru tuliopokonywa na jambo zuri zaidi ni kwamba anakubaliana na changamoto za kutuweka huru. Tumshukuru bwana Mungu wetu...Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Wape vipande vyao, wakimeza, wakitema shauri yao wimbo safi sana huu, nazichadema mtakula mchanga...piga kelele kwa raisi wetu samia...yaani umewapa la usoTunao msapoti Samia tunajua kuna makosa atafanya ni ruksa kukosolewa..
Nyinyi mnae abudu Marehemu ndo kazi kwenu ..
Marehemu keshakufa hata mkimpamba ndo keshakufa
Nimekuuliza swali kama Carol angepata u DC angeweza kusema hayo aliyoyasema?Caro angepata UDC asingesema hivo
Ni kweli mwanzo alikuwa anampa kongole lakini Sasa eti anaponda ni vizuri kumkosoa mtu in positive way na sio Sasa kukosoa opinions za mtu, Rais si mjinga kusema hivo na jamii yetu na mifumo dume na alichopitia ni njia ya kuji express ku heal inner soul, why wamshambulie sasaCarol Ndosi ni opportunist mkubwa, alijaribu kumfikia Samia kupitia Nyama choma, ikabumba. Lengo ilikuwa kutafuta uteuzi.
Sasa naye amejiongeza kwenye kundi la wanaharakati na wapinzani wanomkosoa Rais kama Maria Sarungi, Fatma Karume, God bless Lema na Tundu Lissu.
Samia piga kazi tu usiwasikie hawa PIMBI
Kumbe?Lakini anawatoto sijui wawili
Anatumia uanamke kama koti la kujikinga asipigwe spana[emoji16]
Kwa hiyo unahisi waislam wote hawajitambui kama wewe pimbi? Kwa taarifa yako waislam tunaishi nao vizuri! Wewe tu ndo unaona udini maana ndo uliokujaa!
Nani amesema waisilamu wote hawajitambui????
Kuna baadhi ya waisilamu wafuata mkumbo na co wote. Labda ni2mie lugha rahisi unierewe "Waisilamu wengi wanampenda uyu mama, na vilevile wakristo wengi wanampenda uyu mama. Ila wachache wanamchukia kutokana na IMANI/UISLAMU wake na uzanzibari.
Mwanamke ameumbwa kuongoza mwili wake tu ingawa hata huo unamshindaHata yeye hajui kitu,mwanamke hakuumbwa aongoze watu hata angekuwa yeye huyo Ndosi lazima angekuwa na wenge.miezi saba sasa inakatika still anathibitisha jinsia yake kwa wananchi kwani wao hao wananchi hawamjui mwanamke kwa kumtizama?avue nguo basi ili tufunge hesabu!!!
Hakuna mwanamke anayeweza kufanya kitu kwa 100% akaweza bila kumshirikisha mtu hii yote inatokana na uwezo wao mdogo wa kuhakiki mambo that's why anajificha nyuma ya pazia la jinsia yake.
hata wewe pia ujue kuna siku utakufa pia na hata unaowasapoti nao hakika watakufa.biblia kwa waamini wa kikristo tunasena dunia na fahari zitapita lkn maneno ya mungu yatabaki kama yalivyo hivyo hata unaowasapoti watapita.ogopa sana kumtegemea mwanadamu sababu hata siku zake za kuishi hapa duniani ni chache tena zinahesabika.Tunao msapoti Samia tunajua kuna makosa atafanya ni ruksa kukosolewa..
Nyinyi mnae abudu Marehemu ndo kazi kwenu ..
Marehemu keshakufa hata mkimpamba ndo keshakufa
Huyo mpumbavu hawezi kukuelewa! Yeye amekariri kila kitu kusifia! Ilitokea unakosoa anaanxa kusema Magufuli!hata wewe pia ujue kuna siku utakufa pia na hata unaowasapoti nao hakika watakufa.biblia kwa waamini wa kikristo tunasena dunia na fahari zitapita lkn maneno ya mungu yatabaki kama yalivyo hivyo hata unaowasapoti watapita.ogopa sana kumtegemea mwanadamu sababu hata siku zake za kuishi hapa duniani ni chache tena zinahesabika.
Hata yeye hajui kitu,mwanamke hakuumbwa aongoze watu hata angekuwa yeye huyo Ndosi lazima angekuwa na wenge.miezi saba sasa inakatika still anathibitisha jinsia yake kwa wananchi kwani wao hao wananchi hawamjui mwanamke kwa kumtizama?avue nguo basi ili tufunge hesabu!!!
Hakuna mwanamke anayeweza kufanya kitu kwa 100% akaweza bila kumshirikisha mtu hii yote inatokana na uwezo wao mdogo wa kuhakiki mambo that's why anajificha nyuma ya pazia la jinsia yake.
Carol ndosi ni mwanamke kama ulivyo wewe na samia.Wabongo bwana,,,ki2 kidogo kinawakwaza. Mwanaume mzima unashindana na mwanamke!!!! Yanii inakukera kusema yeye ni mwanamke!!!!! Shame on you
Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.
Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.
Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais hatakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke hatakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.
Chanzo: TV-E/E-FM
Yule mchora katuni amekamatwa na nani?Huku ndo Ku enjoy uhuru wa kukosoa.
Tumetoka mbali sana.
Samia anaweza kukosolewa na Carol Ndosi.
Wakati Magufuli hata Ayubu Rioba asingeweza kukosoa.
Great ..
Tujivunie nchi yetu kwa kweli..
Tumerudi kuwa civilised nation
Huoni aibu kumuingiza marehemu kwenye hii mada?Tunao msapoti Samia tunajua kuna makosa atafanya ni ruksa kukosolewa..
Nyinyi mnae abudu Marehemu ndo kazi kwenu ..
Marehemu keshakufa hata mkimpamba ndo keshakufa
Hangaya hajiamini kabisa, kapata nafasi hiyo kama zali tu.Mwana harakati na Mjasiriamali carol Ndosi kupitia kipindi cha Joto Kali la Asubuhi TV-E ameweka wazi kukerwa kwake na kitendo cha Rais Samia kila anapopata nafasi kuongea na Watanzania basi lazima aseme kuwa yeye ni Rais mwanamke na yeye ni mwanamke. Amesema kuwa amekuwa akirudia mara kwa mara kila apatapo nafasi kuwa yeye ni mwanamke wakati kila mtanzania anajua kuwa yeye ni mwanamke.
Carol Ndosi anasema kuwa Rais Samia yeye ni Rais hapaswi kuendelea kujificha nyuma ya kimvuli cha uanamke kwani hilo si jambo zuri na haipendezi kwa Rais kuwa na hofu ya uanamke wake bali anatakiwa ajue watu wanamuamini kama Rais si kama mwanamke.
Amesema pengine Rais Samia anapitia mambo mengi kwenye chama chake au kwa watu wanaomzunguka kwa sababu ya uanamke wake lakini yeye kama Rais hatakiwi kuitumia kama ngao kwani yeye ni Rais na watu wanajua ni mwanamke hatakiwi kuwakumbusha watu, haipendezi.
Chanzo: TV-E/E-FM