Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

unauhakika ? nin kilimpeleka

n muhimu kuliko niliyoyataja ,hv s n umasikini na tamaa ndivyo vlvyompeleka hapo.Unadhan angekuwa imara kiuchumi angefanyiwa hvyo? ...tushikamane kweny kuimarisha uchumi achana na petty issues
seriously?? UBAKAJI unaingilianaje na uchumi bro??
 
Kupitia uzi huu tegemea kutukanwa sana mleta mada.
Watakaotukana ni washamba tuu na ole wao wachukuwe waume za watu au wake za watu dawa yao saiv inajulikana.
Yan unafanya kitu hadi taifa linaomba pooo.

Ikumbukwe sipendezeshwi na aina yoyote ya ukiukwaji wa sheria ana kujichukujia sheria mkononi.
 
NIna siku 30 sina maji bombani na sijui yanatoka lini
 
unauhakika ? nin kilimpeleka

n muhimu kuliko niliyoyataja ,hv s n umasikini na tamaa ndivyo vlvyompeleka hapo.Unadhan angekuwa imara kiuchumi angefanyiwa hvyo? ...tushikamane kweny kuimarisha uchumi achana na petty issues
NAUNGANA NA WEWE.
ACHA TUWE WAWILI KATIKA HILI
 
Ukiona mtu yeyote anataka kukupangia hoja ya kuongea kwa mujibu wa maoni yake halafu anakukataza wewe kuongelea hoja yako unayoiona inafaa wewe, ujue mtu huyo ama ni mjinga ama ana wivu.

Pengine ni mjinga na ana wivu pia.

Mtu mwenye uwezo anaanzisha hoja yake yeye, kama ina mantiki na mvuto, watu wataijadili.

Wala hana haja ya kuponda hoja mada ya uzi au mazungumzo ya watu wengine.
 
Dah! Aisee! Kumbe tuna mitazamo tofauti. Binafsi, sioni kama ni petty issue. Ila kwamba baadhi ya Watanzania ni very sensible - they feel bad when something bad happens to others. Kwa upande mwingine, kwa watu kama wewe don't care mpaka nao wapitie katika hali kama hiyo! Mambo kama haya si lazima yampate mtu mwenyewe, lakini yanaweza kumpata close friend, relative, etc na sidhani kama ikitokea hivyo mtu aliyepatwa na mkasa kama huo kupitia close friend au relative bado ataita petty issue. Kwetu kuna msemo 'buli kuundi buli kumbali' (jambo lisilokuhusu utaliona kama siyo lako). Unaweza kuchukulia tatizo, ugonjwa etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…