Uchaguzi 2020 CASE STUDY - Jimbo la Hai - Walitumia teknolojia gani kupata matokeo sahihi ya kila kituo ndani ya saa 8?


Kuiangamiza nchi ni kukalia kimya upuuzi wa dictator? Ukora wa ccm ndio unaita nchi? Ni hivi, ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Kama hayakutumika kwenye majumuisho,mgombea ubunge alikubali kusaini matokeo wakati matokeo ya kituo kimoja hayajafika? Akili za kuambiwa changanya na...!

Amesaini mpaka sasa au unarukia jambo usilolijua?
 
Ongeza nguvu ya ushahidi kwenye hoja yako, ili iweze kunoga zaidi.
 
Acha kulialia leta ushahidi wa maana kwani kuwahi kutoa matokeo imekuwa shida tena mbona wakicherewesha kutoa matokeo mnalalamika tena? Kweli upinzani wa TZ ni shida.
 
Uchaguzi ulishapita tupigeni kazi tuache haya, maana hata ukisema hivi haitabadilisha matokeo, njia mbadala na nzuri ni kwenda mahakamani kupiga matokeo na sio kuja huku mitandaoni kulia lia
Signature yako ilionesha kuwa mtu mweredi, lakini koments zako zinakuonesha kuwa mtu wa hovyo hovyo, unajua kwamba anenavyo mtu kwa kinywa chake ndivyo alivyo nafsini mwake, umeandika mambo ya kijinga, ungekaa kimya ukabaki na heshima yako
 
Acha kulialia leta ushahidi wa maana kwani kuwahi kutoa matokeo imekuwa shida tena mbona wakicherewesha kutoa matokeo mnalalamika tena? Kweli upinzani wa TZ ni shida.
Mkuu hata hiyo sababu aliyoitoa huyo msiamamizi wa uchaguzi ya kwamba matokeo ya mwisho yalifikishwa kituoni siku ya pili haikukufanya ushituke ?
 
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
[/QUOTE]
Humatakii jamaa mema, Wewe! Hapa gizani tu, (JF) unataka kunfyatu, akienda kutoa ushahidi mahakamani si mtamchemsha supu?!
 
Mkuu umeongea kweli, mimi nilikwenda kupiga kura muda wa saa 5 nikakuta vyumba vya madarasa zaidi ya kumi vilivyokuwepo pale shuleni vikiwa havina mtu hata mmoja anaesubiri kupiga kura, watu waliojiteza kupiga kura walikuwa wachache sana, huu ushindi wa mamilioni ya kura ccm wameutoa wapi ??, inathibisha walikuwa na karatasi feki zilizokuwa zimejazwa, na ndio maana nawaambia wadau wote magufuri hafai kuwa rais wa nchi yetu
 
Kuiangamiza nchi ni kukalia kimya upuuzi wa dictator? Ukora wa ccm ndio unaita nchi? Ni hivi, ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
naona umekuja kuandika upuuzi wako hapa.
Sasa Tanzania sio nchi?
Na kama uchaguzi haujafanyika, wanacholalamika upinzani ni nini? si wasubiri uchaguzi ufanyike basi.
Toa upumbavu wako huko.
Sijakalia kimya haki ya mtu yoyote, ndio maana nimemshauri mtoa mada asiishie hapa, coz yeye ni muhusika wa moja kwa moja, anaweza kushirikiana na upinzani kuwapa ushahidi utakao saidia kupata haki yao na sio kukaa kimya.
Nyie ndio mnataka akae kimya eti sabb ya maisha.
Ushauri tu; kama hujaelewa mtu anachomaanisha ni bora ukaa kimya.
 
Unajisifia kabisa kwa watu wenye akili kuwa Tanzania ni nchi.
 
Mkuu unapoteza muda na nguvu zako kuwaelewesha bavicha. Hawajawahi kueleweka wanahitaji nini. NEC hawaiamini lakini chaguzi zake wanashiriki. Matokeao yakitoka wameshindwa wanalaumu. Ukiwashauri waende mahakamani hawataki. Viongozi wao wakiwambia waandamane, barabarani hawatokei.. We unadhani utawaambia nini kama ushauri wakuelewe?
 
Kuiangamiza nchi ni kukalia kimya upuuzi wa dictator? Ukora wa ccm ndio unaita nchi? Ni hivi, ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
How comes kila msimu wa uchaguzi mnashiriki kwenye hayo maonyesho?
 
Tanzania hakuna Amani bali kuna uvumilivu uliotukuka tu, Tanzania ni kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani tena
 
No no no no..., Usimshut risasi. Wewe mwenyewe unaijua nchi yetu jinsi inavyodhibiti watu wakweli. Mara nyingine shinikizo linakuwa kubwa kuzid ukweli.
Walisha jiwekea uzio kwamba wao ndio wenye mamlaka ya kutangaza matokeo ma sivinginevyo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…