Wananchi sisi ndiyo tunazingua big time uchaguzi umeharibiwa kukaa kwetu kimya kuwakatisha tamaa sana viongozi wa upinzani ambao wamesacrifice maisha yao kwa kiasi kikubwa sanaMkuuu Muda mwingine Naona kama viongozi wa upinzani wamezingua
huwezi kwenda kwenye uchaguzi na tume kama hii
Ni kama unaingia uwanjan na matokeo mkononi ukijiaminisha mpira una dunda....
Tume tunaikosoa kila siku miaka nenda lud
Maamuz tuliyoyafanya mwaka jana ilibid mwaka huu tuyaige hayo hayo
Bora kususia uchaguzi kuliko hii triumph ya urafi iliyofanyika....
Kwa kawaida
Kwa kawaida matokeo yakichelewa huwa yanapikwa, kwa kawaida!kwa kawaida
Sasa mkuu kipi tumekikimbia...Huwezi kususia uchaguzi bila plann B.
Kususia uchaguzi kusingebadilisha chochote kwenye tume ya uchaguzi...
Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
sawa sio nchi. Mbona hamjibu swali kuwa ni nini?Unajisifia kabisa kwa watu wenye akili kuwa Tanzania ni nchi.
Mbegu uipandayo ndiyo uivunayo. Muda ni mwalimu mzuri sana.Mbowe kadhibitiwa na dogo janja.
Safi sana Sabaya, wewe ni shujaa.
Acheni sanaaUlitakaje labda?
Kwahiyo ulitaka wasusie then wachukue hatua zipi ?Sasa mkuu kipi tumekikimbia...
Platform ipi tunayo ya kusema kuhusu tume huru
Hakuna Tofauti kama tungesusia...
ona sasa mpaka sasa hatuamini kilicho tokea...
Umeandika vizuri.Hapa ndo bavicha hua siwaelewi.. Pamoja na kuamini hamtatenewa haki kwenye chaguzi mbalimbali bado mnashiriki. Yakitokea mliyohisi mngefanyiwa hamtaki kwenda mahakamani kwa kuwa mnaamini nako hamtatendewa haki. Viongozi wenu wakiwambia nendeni barabarani tukawaonyeshe tunaohisi hawajatutendea haki kwamba hatujaridhika, huko pia hamtokei...
mkuu unalijua hilo jimbo mbona ni dogo sana ndani ya saa moja unaweza kulizunguka na barabara zake nyingi zina lami sio pakubwa kama unavyozani manake ukienda kidogo huku uko siha ukiludi huku kidogo uko moshi vijijiniJimbo la uchaguzi la HAI liko mkoa wa Kilimanjaro. Ni jimbo ambalo "the most wanted person" na watawala wa CCM, mwenyekiti wa taifa wa chama kikuu cha upinzani Tanzania - CHADEMA ndugu Freeman Aikael Mbowe aligombea ubunge kupitia chama chake hicho...
Locus standi sio wote wanaelewa mkuu asa hao lumumba....Umeandika vizuri.
Kama umenisoma vema hapo juu nimetumia neno laiti, nikiwa na maana kwamba siwazuii viongozi wanaoona wameonewa majimboni waende mahakamani, lakini pia, ukweli lazima usemwe, kea utawala wa awamu hii sidhani kama kuna hakimu yeyote atakayethubutu kuwapa haki wapinzani ikiwa bosi wao alishatoa maelekezo kwa wakurugenzi mapema Chadema inatakiwa ife ifikapo 2020 na kilichotokea kwny uchaguzi ndio majibu yake..
Ok.1. Kuwa shahidi ama kulipeleka jambo hili mahakamani wala hiyo siyo ishu kaka..
2. Mimi kueleza ninachofahamu kama namna ya kutoa maoni yangu wala siyo kosa na ndiyo maana na wewe ukatumia maoni yangu kama "base" ya kusema yako pia...
Swali dogo la kujiuliza Mkuu ni " Kama Tume ya Uchaguzi haiko Huru vp Mahakama zetu?? Kumbuka Mahakama walishaambiwa Serikali ninayoiongoza mimi ndiyo mtafutaji wa fedha za kuendeshea Mahakama. Ole wenu Serikali kupitia Mawakili wake Waanguke kwenye case yeyote ile.Sawa kabisa. Sasa kwanini msikusanye huo ushahidi wote then mkaenda mahakamani. Ni muhimu kutumia huu uzalendo ulionyesha hapa kwa kusema ukweli utumike huko, uwe shahidi upande wa kina mbowe ili wapate haki yao otherwise utaonekana ni mnafiki au unatumiwa tu.
Na hayo yote yanatokea kwanini nyinyi kama wasimamizi na mawakala mnakubari kama sio kushiriki kwenye dhurma? au hujapata mgao wako?
Watu kama nyinyi ni kutia risasi kabisa, maana mnashiriki kuiangamiza nchi.
kususia tungeona kuna shida mahali....Kwahiyo ulitaka wasusie then wachukue hatua zipi ?
Politics ni mapambano huwezi kuacha kupambana wenzako watafaidika na kususia kwako.
Currently now kila kitu kipo exposed we can have a backing even kwenye international community.
Kikubwa wananchi tunapaswa kuwapa support viongozi wa upinzani they have suffered a lot kutupigania.
Ndio maana hawataki kufuata ushauri wa haki, zaidi wanataka tuamini maneno matupu wakijua hatuwezi kuhoji.Hakuna anayeweka karatssi ya mayokeo hapa. Porojo zimezidi
Halafu mkiona kuna shida mahali mngechukua hatua gani ?kususia tungeona kuna shida mahali....
Huwez ukasema Bar pabaya alafu kila siku unaenda... watu tutaaminije kama pabaya mpaka uache kwenda
Waulize maana watapewa tu.Locus standi sio wote wanaelewa mkuu asa hao lumumba....
Asante sana kwa maoni yako..Mkuu nilidhani ungeleta hoja ambayo ni very objective kwa kutuambia jiografia ya Hai ipoje? Kuna umbali gani kutoka vituo vya kupigia kura na sehemu ya majumuisho, kwa kumbukumbu zangu wakati wa kusubiri matokeo msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Hai alisema kata ambayo ipo mbali kuliko zote jimboni hapo haizidi kilomita 30 umbali ambao hauzidi lisaa limoja mpaka kufika kituo cha majumuisho...
Vp kihusu ule uchaguzi wa Serikali za Mitaa?? Mlichukua hatua yeyote au mlishangilia??kususia tungeona kuna shida mahali....
Huwez ukasema Bar pabaya alafu kila siku unaenda... watu tutaaminije kama pabaya mpaka uache kwenda