Case Study: Ni nadra sana kukuta kijana wa kiislam hajaoa lakini inazidi kuwa kawaida kumkuta kijana wa kikristo anakwepa ndoa, Nini chanzo ?

nenda Zenj Tafuta Takwimu ya vijana waliooa na kuacha kwa talaka kisha edit uzi wako halafu urudi hapa, kijana wa miaka 30 unakuta kishaoa na kuacha zaidi ya mara 5 bado unamuhesabia kwenye kundi la waoaji.!
 
Vijana wa kiislamu wanawahi kuoa kwasababu hawaendi mbali kielimu. Akishafeli fomfoo na kuhudhuria mihandara ya kipozeo atakua anawaza puchi tu. Huku kwingine kijana anajitahidi amalize chuo, aanze kazi na ajenge ndio aanze kuwaza puchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…