Case study: Tangu nikiwa mdogo ni kawaida kukuta watoto wa kikristo wana malezi ya wazazi wote ila kwa waislam ni mama tu, nini chanzo?

Case study: Tangu nikiwa mdogo ni kawaida kukuta watoto wa kikristo wana malezi ya wazazi wote ila kwa waislam ni mama tu, nini chanzo?

Mkuu uliposema wakrsto wanapenda kuzini kwenye ule uzi wewe lengo lako lilikua nn?????? Sio personal feeling too na kutaka kudhalilisha dini zingine???
Hapana lengo ilikua kutoa awareness katika jamii ya watanzania wa ache kazini kuna watu wana ona kuka na mwanamke bila ndoa miaka 8 sio dhambi kabisa, je huyu mtu angependa dada ake au mama akae bila ndoa mda wote huo, tuungane tupinge zina ndo chazo cha masingo maza na ukimwi.
 
Ni kweli asilimia kubwa ya niliosoma nao wanakua wanaishi na mama tu na baba anakua anawasupoort kwa mbali au ni victim wa kua na mama wawili

Yaan baba yao anakua na wake wawili
 
Mleta mada ulikuwa na lako jambo hata FaizaFoxy akikunanga kwa swala la udini tusijuane. Hakuna cha Wakristu wala Waislam wanaume wengi wakitoka kazini wanapitia vijiwe mbalimbali wakirudi nyumbani watoto wamelala. Wakristu hasa wanaume siku hizi idadi kubwa hawaingii kanisani sijui maadili ya kuwafundisha watoto wanayapata wapi.
 
Hapana lengo ilikua kutoa awareness katika jamii ya watanzania wa ache kazini kuna watu wana ona kuka na mwanamke bila ndoa miaka 8 sio dhambi kabisa, je huyu mtu angependa dada ake au mama akae bila ndoa mda wote huo, tuungane tupinge zina ndo chazo cha masingo maza na ukimwi.
Mkuu sisi ni wataalamu wa saikolojia za binadamu so stop lying.
 
Mkuu nime kujibu lengo lilikua kufanya awareness ila kupinga uzinifu, kweli wewe unasapoti mtu azini kwa miaka 8 na bint wa mtu?
Lengo lilikua kukashifu ili moyo wako usikie raahaaa.Lakini kumbúka hizi díini zimeletwa na wakóloni wa kiarabu na kizungu.Kama mwafrika jitambue
 
Lengo lilikua kukashifu ili moyo wako usikie raahaaa.Lakini kumbúka hizi díini zimeletwa na wakóloni wa kiarabu na kizungu.Kama mwafrika jitambue
Hoja dhaifu hii, kumbuka kuna mkoloni aliekua ananyanyasa na yule ambae lengo lake ni kusambaza dini ni watu wawili tofauti.

au hujui kwamba ukristo na uislam jmefika hata ethiopia ambako hawakuwahi kutawaliwa? uingereza na ujerumani je?
 
Hoja dhaifu hii, kumbuka kuna mkoloni aliekua ananyanyasa na yule ambae lengo lake ni kusambaza dini ni watu wawili tofauti.

au hujui kwamba ukristo na uislam jmefika hata ethiopia ambako hawakuwahi kutawaliwa?
Mkuu kwahiyo mkoloni mwarabu alikua hanyanyasi??????? Alikua anasambaza dini tu hapa kwetu afrika mashariki??? Au ndio brain wash ya wakoloni ilivyokufunza mkuu????
 
Walengwa ni watoto ambao wazazi wao walifunga ndoa,

Ukweli familia nyingi za kiislamu watoto kukua na mama bila baba kuwa karibu ni kawaida sana

Nilianza kuyaona haya nilipofika darasa la tano, nakumbuka nikiwa naenda kwenye nyumba ya rafiki yangu wa kiislam kwenda kucheza game namkuta mama yake tu, mzee wake sijawahi kumuona ila alikuwa ananiambia ni mtumishi wa serikali.

Pia mamdogo wangu ni mkristo aliwahi kuolewa na muislam, waliweza kupata watoto wawili ila waliachana, kwa sas watoto ni wakubwa tu moja wa kiume ni daktari mwengine wa kike kawa lecturer chuoni, baada ya kuachana watoto wote ilibidi wahamie dini ya mama yao, baba yao alishaoa mke mwengine, watoto hadi sasa hawana ukaribu na baba


Kwenye mahafali ya darasa la saba nako niliona wanafunzi wengine wa kiislam kaja mama, wengine ambao kama baba alifika basi mama kwa muonekano alikuwa ni mdogo sana yupo kwenye 20s ukifatilia unaona kabisa huyu si mama yake. ila wapo ambao wazazi wote walifika.

Form 6 niliweza kuwajua wawili niliofika nyumbani kwao nao moja wao alikuwa anaishi na mama yake tu, mzee wake alikuwepo ila alikuwa hawawasiliani sana. huyo wa pili kwenye gradu ndio niliweza kuona ni mama yake tu kafika mzee hakuja sikutaka maswali mengi.

chuoni ndiko nilikutana na wengi angalau, hali haikuwa tofauti sana, katika 7 niliowajua ni wawili tu ambao walikuwa wanapata malezi ya wazazi wote wa kibailojia (ilibidi iwe 9 ila kuna wawili mzazi moja alishatangulia)

Kwa wakristo ambao wazazi wao walioana ilikuwa nadra sana kukuta ambao wazazi wamechana na wanaishi na mama tu, na hata katika hao waliokuwepo bado mawasiliano ya baba na mtoto yalikuwepo, baba aliendelea kugharamia mambo ya ada, nguo, n. k
Uliyajuaje hayo kama si umbea mtupu.
 
Back
Top Bottom