Catherine Ruge: Rais Samia anawanyima Wazanzibar wenzake fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili

Katiba mpya KWANZA.
Twahitaji kujenga taasisi imara ili kuimarisha utawala bora. Nchi yahitaji kuongozwa kwa sheria zinazolinda haki za waTz na sio kutegemea matamko yanayoeleaelea.
Mijadala yenu pendwa ya kwenye mbio za mwenge haijawahi kusaidia TAIFA hili.
 
Muungano ni kama NDOA YA WAZAZI WAKO iliyofungwa kabla ya wewe kuzaliwa.....

Hauhojiki KUPITILIZA....
Hauvunjwi......
Hauvunjiki......

Hapa "UAMSHO" wanaweza kutupa funzo kubwa......

#KaziIendelee
Pole ndugu,
Sijui ni nani aliyekulisha porojo hizo.
Kilichokuja kwa 'maridhiano' chaweza pia kuhojiwa, kuboreshwa na pale itakaposhindikana, hata kufikiria kuvunjwa ili kuleta amani.
 
Pole ndugu,
Sijui ni nani aliyekulisha porojo hizo.
Kilichokuja kwa 'maridhiano' chaweza pia kuhojiwa, kuboreshwa na pale itakaposhindikana, hata kufikiria kuvunjwa ili kuleta amani.
Amani ipo....
Amani tunayo....
 
Waambie wanyamaze sana sana wamwambie ahakikishe anaiendelea sana zanzibar kwa Tanganyika kulipa gharama. katiba mpya haitaruhusu mzanzibar kutawala bara.
 
Hakika kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…