Catherine Ruge: Rais Samia anawanyima Wazanzibar wenzake fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili

Catherine Ruge: Rais Samia anawanyima Wazanzibar wenzake fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili

Halafu akilinda maslahi ya Zanzibar atalaumiwa kama JPM kwa "ukanda/ukabila."

Dear Chadema, jitahidini kufahamu vipaumbele vya Watanzania kisha muwe kipazasauti cha vipaumbele hivyo. Kadhalika, jibidiisheni kusoma upepo wa kisiasa ulivyo. Mama Samia anapendwa na Watanzania, pengine kutokana na kuwa Rais wa kwanza mwanamke. Lakini pia anaongea lugha ya kistaarabu. Sasa mkicheza ovyo karata zenu, mtaishia kuonekana mnam-bully.

Mwisho, mjibidiishe kuwa proactive. Anzisheni mijadala itakayowafanya Watanzania wafanye tafakuri badala ya sasa ambapo mnaendeshwa kwa matukio. Mnasubiri Mama Samia atamke hili au lile mpate cha kuongea.

Povu ruksa 😊

..leo umeongea jambo la maana sana.
 
Chadema nyie ni vichwa panzi hamnazo kabisa mnatoa matamko kama vile mna namna ya kufanya.
Katiba tu ya kichama chenu imewashinda mpumbavu mwenyekiti wenu anawatawala toka awamu ya tatu mpaka leo ya sita kweli nyie ni akili mgando mnaswagwa tu kama makondo.
 
Huyu mbunge anataka kutwambia kuwa katiba mpya itamzuia kuvamia harusi & misiba kama alivyofanya juzi
 
"Niko Unguja na Wazanzibari wanamwambia Mama Samia "Kitendo cha yeye Kuzuia madai ya Katiba Mpya ni kuwanyima Wazanzibari fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili, wanamkumbusha kuwa yeye kama mzanzibari anatakiwa alinde Maslahi ya Zanzibar asilewe Madaraka"-CPA Catherine Ruge

Huyo catherine ruge apeleke ujinga wake huko. Znz Wawe mamlaka kamili halafu samia awe rais wa tanganyika? Mbowe amehongwa na matajiri wa uarabuni avunje muungano. Hela alishaanza kula ana deni...ndio utasikia kila siku anaota katiba wakati suala hilo lilishapita.
 
"Niko Unguja na Wazanzibari wanamwambia Mama Samia "Kitendo cha yeye Kuzuia madai ya Katiba Mpya ni kuwanyima Wazanzibari fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili, wanamkumbusha kuwa yeye kama mzanzibari anatakiwa alinde Maslahi ya Zanzibar asilewe Madaraka"-CPA Catherine Ruge



Sasa Zanzibar ikiwa nchi yenye mamlaka kamili huwezi tena kusema ni muungano maana itakuwa kama Kenya
 
Huyu mbunge anataka kutwambia kuwa katiba mpya itamzuia kuvamia harusi & misiba kama alivyofanya juzi
Umechanganya siyo Hugo,kuna Ruge na Magige wote ni Catherine.
1.Chadema
2.CCM
Mleta mada ni No 1
 
Mbunge mzima anakuwa ni mjinga wa kuelewa mambo madogo tu......

Kwani kuwa kwake Mzanzibari ndio aivunje KATIBA YA NCHI yenye SERIKALI MBILI NA MUUNGANO IMARA ?!!!

Hivi huu ujinga wa sisi WA BARA kujifanya tunaingilia masuala ya siasa kinzani za ZANZIBAR tunaupendea nini ?!!!

Chadema hawaziwezi SIASA ZA ZANZIBAR .....

Siasa za ZANZIBAR zina chimbuko na historia kubwa ya misimamo kinzani yenye KULINGANA NGUVU.....

Catherine Ruge anatumiwa na G55 iliyofufuka?!!!!!


#KaziIendelee
 
M (japo sio amiri jeshi mkuu, na !
Hicho hapo "Amiri Jeshi Mkuu" ndiyo Mamlaka Kamili. Muungano ubakie ni shirikisho na hiari kubaki au kutoka.

Kutokana na wakati tuliopo hakiepukiki wala Tanganyika haita ATHIRIKA. Let them Go
 
Mbunge mzima anakuwa ni mjinga wa kuelewa mambo madogo tu......

Kwani kuwa kwake Mzanzibari ndio aivunje KATIBA YA NCHI yenye SERIKALI MBILI NA MUUNGANO IMARA ?!!!

Hivi huu ujinga wa sisi WA BARA kujifanya tunaingilia masuala ya siasa kinzani za ZANZIBAR tunaupendea nini ?!!!

Chadema hawaziwezi SIASA ZA ZANZIBAR .....

Siasa za ZANZIBAR zina chimbuko na historia kubwa ya misimamo kinzani yenye KULINGANA NGUVU.....

Catherine Ruge anatumiwa na G55 iliyofufuka?!!!!!


#KaziIendelee

Zanzibar ilikuwa nchi kabla ya 1964 na Muungano tuliokuwa nao ni "marriage of convenience" kwa wakati ule kwenye kipindi cha vita baridi (NATO/ Warsaw Pact).

Ni USA kupitia kachero wao Frank Carlucci aliyekuwa Balozi wao Tanganyika kisha Congo na baadaye akaja kuwa CEO wa CIA. Huyu Carlucci alianza kumshawishi kwanza Jomo Kenyatta kutaka kuiunganisha Zanzibar na Kenya. Jomo Kenyatta atakataa ndipo akamu approach J K Nyerere ambaye alikubali.

Nyerere aliweka muundo wa Serikali 2 ili kutoimeza Zanzibar kama nchi. Alikataa kabisa kuifanya Zanzibar kuwa Mkoa. Hata hivyo vita baridi ilikwisha mwaka 1989 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin. Ushahidi upo kwenye Rasimu ya Katiba ya Warioba uliotaka Serikali 3.

Sababu ya kuwa na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa sasa hazipo. Tunahitaji tu kuwa na ushirikiano kama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Yeyote anayetaka ridhaaa ya kura za Wazanzibari lazima aongelee "sovereignty ya Zanzibar" as a country.

Zanzibar ilikuwa tajiri sana kuliko Oman kabla ya mwaka 1960 na ndiyo sababu Sultan Seyyid Said alihamisha Makao makuu ya Sultanate of Oman kwenda Zanzibar mmamo 1840. Mwaka 1960 kwa mfano Zanzibar ilikuwa na kilometres 22 za barabara ya lami wakati Oman ilikuwa haina. Leo hii Oman ni nchi tajiri sana baada ya kugundua raslimali za mafuta mpaka imekuwa nchi mfadhili.

Mimi ni Mtanganyika naamini kuwa muda wa kuendelea kuishikilia Zanzibar umekwisha. Tuwaache wapate maendeleo kipitia OIC na waanzishe bandari huru kama ilivyo Singapore na Dubai.

Zanzibar imecheleweshwa mno kiuchumi kwa kuwa ndani ya Tanganyika.

 
Zanzibar ilikuwa nchi kabla ya 1964 na Muungano tuliokuwa nao ni "marriage of convenience" kwa wakati ule kwenye kipindi cha vita baridi (NATO/ Warsaw Pact).

Ni USA kupitia kachero wao Frank Carlucci aliyekuwa Balozi wao Tanganyika kisha Congo na baadaye akaja kuwa CEO wa CIA. Huyu Carlucci alianza kumshawishi kwanza Jomo Kenyatta kutaka kuiunganisha Zanzibar na Kenya. Jomo Kenyatta atakataa ndipo akamu approach J K Nyerere ambaye alikubali.

Nyerere aliweka muundo wa Serikali 2 ili kutoimeza Zanzibar kama nchi. Alikataa kabisa kuifanya Zanzibar kuwa Mkoa. Hata hivyo vita baridi ilikwisha mwaka 1989 baada ya kuanguka ukuta wa Berlin. Ushahidi upo kwenye Rasimu ya Katiba ya Warioba uliotaka Serikali 3.

Sababu ya kuwa na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa sasa hazipo. Tunahitaji tu kuwa na ushirikiano kama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Yeyote anayetaka ridhaaa ya kura za Wazanzibari lazima aongelee "sovereignty ya Zanzibar" as a country.

Zanzibar ilikuwa tajiri sana kuliko Oman kabla ya mwaka 1960 na ndiyo sababu Sultan Seyyid Said alihamisha Makao makuu ya Sultanate of Oman kwenda Zanzibar mmamo 1840. Mwaka 1960 kwa mfano Zanzibar ilikuwa na kilometres 22 za barabara ya lami wakati Oman ilikuwa haina. Leo hii Oman ni nchi tajiri sana baada ya kugundua raslimali za mafuta mpaka imekuwa nchi mfadhili.

Mimi ni Mtanganyika naamini kuwa muda wa kuendelea kuishikilia Zanzibar umekwisha. Tuwaache wapate maendeleo kipitia OIC na waanzishe bandari huru kama ilivyo Singapore na Dubai.

Zanzibar imecheleweshwa mno kiuchumi kwa kuwa ndani ya Tanganyika.

Historia hata iweje.....

Suala ni je TANZANIA YA MUUNGANO haina faida kwa WATU WA BARA NA ZANZIBAR?!!!!

Ukitaka kufukua makaburi utayafukua mpaka ya wahindi wekundu kuidai AMERIKA YAO.....
 
Hoja ina mashiko yenye ubaguzi ndan yake.
 
Siasa za WAZANZIBARI hawaziwezi CHADEMA.....

Huko ni CCM vs ACT WAZALENDO tu......

Rais wa JMT ameapa KUULINDA MUUNGANO WA SERIKALI MBILI.....

#KaziIendelee
 
"Niko Unguja na Wazanzibari wanamwambia Mama Samia "Kitendo cha yeye Kuzuia madai ya Katiba Mpya ni kuwanyima Wazanzibari fursa ya kuwa nchi yenye Mamlaka kamili, wanamkumbusha kuwa yeye kama mzanzibari anatakiwa alinde Maslahi ya Zanzibar asilewe Madaraka"-CPA Catherine Ruge

Tatizo la Mafisi wa CCM wanadai @ anatekeleza ILANI YA UCHAGUZI YA CCM!!
Shida ya majitu ya CCM yanaona ILANI NI MUHIMU KULIKO KATIBA YA JMT!! What a nonsense.
 
Back
Top Bottom