CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan iko imara kuliko kipindi chochote

CCM chini ya Mwenyekiti wake Samia Suluhu Hassan iko imara kuliko kipindi chochote

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
2,255
Reaction score
1,565
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM.

Kabla Mama Samia Suluhu Hassan hajakabidhiwa kijiti cha kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, iliaminika ikuwa CCM ni chama ambacho kinabebwa na mfumo , iliaminika kuwa CCM ni chama ambacho hakipendwi na Vijana, kwa lugha nyepesi ilionekana ni Chama cha Wazee.

Mama Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa asilimia 100 kurudisha imani kwa Vijana kuwa CCM ndio chama bora, chama rafiki, chama chenye kubeba maono ya Watanzania, CCM ya sasa chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Hassani si kile chama kilichokuwa kinategemea nguvu ya dola.

Watanzania kwa sasa wanashuhudia CCM yenye siasa za kiungwana, hakuna tena yale matamko ya kibabe, majivuno na ya kutishana kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM au kutoka kwa Katibu Itikadi na Uenezi, CCM ya sasa ni ile inayoendesha siasa zake kistaarabu saana.

Mama Samia Suluhu Hassan ameweza kutenganisha vizuri kati ya mamlaka ya Serikali na Chama, CCM imeweza kuisimamia Serikali vizuri hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo, ni CCM iliyo chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ambayo imeweza kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, imehakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule ameanza shule, imeweza kumtua Mwanamke ndoo kichwani kwa kuhakikisha maji safi na salama yanafika kila kijiji, imehakikisha umeme umefika kata zote Tanzania, imehakikisha kila Kata kunakuwa na Kituo cha Afya, kila Kijiji kunakuwa na Zahanati yenye vifaa na madawa, CCM kwa kuisimamia Serikali vizuri imeweza kumalizia miradi iliyokuwa imekwama kwa miaka mingi ikiwa ni pamopja na umaliziaji wa maboma ya vyumba vya madarasa na Zahanati.

Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan, Hongera sana Daniel Chongolo kwa kuitengeneza CCM IMARA inayopendwa na Watu wote.
 
Daaah! Mnamdanganya sana mama yetu.

Hatutaki afe na presha tunamhitaji ni hazina yetu.

Tumwambie ukweli.

CCMimemaliza mvuto kwa wananchi na wanachama wake. Sababu ni msoga
 
CCM ilikuwa ife 2015, kipindi kile hata ukivaa nguo ya CCM unapigwa mawe na kuzomewa.

Bahati nzuri wakamteua Magufuli, ikabidi atumie brand yake ya uchapakazi kuinusuru.

Huyu aliiheshimisha CCM. Akaachana na mafisadi na wauza madawa ya kulevya. CCM tena ikaanza kuaminika na kuwa na mvuto.

Ametoka Magufuli akaingia mama. Anakumbatiana na walewale waliotaka kuiua CCM 2015. CCM inapoteza mvuto kwa kasi ya ajabu.

Ni vile hatuna tu upinzani wa kweli, waliopo ni wachumia tumbo. Otherwise come 2025 CCM ingetoka madarakani!
 
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM...
Tunaomba CCM imara msimamie Serikali ya mama kwenye bei ya mbolea maana tunajua kuna vita huko Ukraine ila sio kwa kupanda hivyo.
 
Kabisa!

Ukiona hata machadema yameunga tela kumsifia mama ili kumkomoa marehemu jiwe jua hapo kuna jambo.

Yani ccm na hangaya 2025 watakuwa na kazi rahisi sana.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Yanatoka moyoni au ndio zile fitina mnazosema kinaa kuwa ni mwiko hapo mtaani kwenu🤔
 
CCM ilikuwa ife 2015, kipindi kile hata ukivaa nguo ya CCM unapigwa mawe na kuzomewa.

Bahati nzuri wakamteua Magufuli, ikabidi atumie brand yake ya uchapakazi kuinusuru...
Jamani Ndugai mbona haionekani? Yaani alipotamka tu nchi itauzwa, kauzwa yeye?
 
Labda kama unaishi Sayari tofauti na hii lakini kiuhalisia Ccm kwa sasa hali ni mbaya hamna mvuto tena kama kipindi cha Mzee JPM
 
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM.

Kabla Mama Samia Suluhu Hassan hajakabidhiwa kijiti cha kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, iliaminika ikuwa CCM ni chama ambacho kinabebwa na mfumo , iliaminika kuwa CCM ni chama ambacho hakipendwi na Vijana, kwa lugha nyepesi ilionekana ni Chama cha Wazee.

Mama Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa asilimia 100 kurudisha imani kwa Vijana kuwa CCM ndio chama bora, chama rafiki, chama chenye kubeba maono ya Watanzania, CCM ya sasa chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Hassani si kile chama kilichokuwa kinategemea nguvu ya dola.

Watanzania kwa sasa wanashuhudia CCM yenye siasa za kiungwana, hakuna tena yale matamko ya kibabe, majivuno na ya kutishana kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM au kutoka kwa Katibu Itikadi na Uenezi, CCM ya sasa ni ile inayoendesha siasa zake kistaarabu saana.
Mama Samia Suluhu Hassan ameweza kutenganisha vizuri kati ya mamlaka ya Serikali na Chama, CCM imeweza kuisimamia Serikali vizuri hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo, ni CCM iliyo chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ambayo imeweza kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, imehakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule ameanza shule, imeweza kumtua Mwanamke ndoo kichwani kwa kuhakikisha maji safi na salama yanafika kila kijiji, imehakikisha umeme umefika kata zote Tanzania, imehakikisha kila Kata kunakuwa na Kituo cha Afya, kila Kijiji kunakuwa na Zahanati yenye vifaa na madawa, CCM kwa kuisimamia Serikali vizuri imeweza kumalizia miradi iliyokuwa imekwama kwa miaka mingi ikiwa ni pamopja na umaliziaji wa maboma ya vyumba vya madarasa na Zahanati.
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan, Hongera sana Daniel Chongolo kwa kuitengeneza CCM IMARA inayopendwa na Watu wote.
Naunga mkono hoja.
P
 
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM.

Kabla Mama Samia Suluhu Hassan hajakabidhiwa kijiti cha kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, iliaminika ikuwa CCM ni chama ambacho kinabebwa na mfumo , iliaminika kuwa CCM ni chama ambacho hakipendwi na Vijana, kwa lugha nyepesi ilionekana ni Chama cha Wazee.

Mama Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa asilimia 100 kurudisha imani kwa Vijana kuwa CCM ndio chama bora, chama rafiki, chama chenye kubeba maono ya Watanzania, CCM ya sasa chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Hassani si kile chama kilichokuwa kinategemea nguvu ya dola.

Watanzania kwa sasa wanashuhudia CCM yenye siasa za kiungwana, hakuna tena yale matamko ya kibabe, majivuno na ya kutishana kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM au kutoka kwa Katibu Itikadi na Uenezi, CCM ya sasa ni ile inayoendesha siasa zake kistaarabu saana.
Mama Samia Suluhu Hassan ameweza kutenganisha vizuri kati ya mamlaka ya Serikali na Chama, CCM imeweza kuisimamia Serikali vizuri hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo, ni CCM iliyo chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ambayo imeweza kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, imehakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule ameanza shule, imeweza kumtua Mwanamke ndoo kichwani kwa kuhakikisha maji safi na salama yanafika kila kijiji, imehakikisha umeme umefika kata zote Tanzania, imehakikisha kila Kata kunakuwa na Kituo cha Afya, kila Kijiji kunakuwa na Zahanati yenye vifaa na madawa, CCM kwa kuisimamia Serikali vizuri imeweza kumalizia miradi iliyokuwa imekwama kwa miaka mingi ikiwa ni pamopja na umaliziaji wa maboma ya vyumba vya madarasa na Zahanati.
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan, Hongera sana Daniel Chongolo kwa kuitengeneza CCM IMARA inayopendwa na Watu wote.
Vijana wa CCM kazi yao kusifia hata kama nchi inaelekea shimoni
 
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM.

Kabla Mama Samia Suluhu Hassan hajakabidhiwa kijiti cha kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, iliaminika ikuwa CCM ni chama ambacho kinabebwa na mfumo , iliaminika kuwa CCM ni chama ambacho hakipendwi na Vijana, kwa lugha nyepesi ilionekana ni Chama cha Wazee.

Mama Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa asilimia 100 kurudisha imani kwa Vijana kuwa CCM ndio chama bora, chama rafiki, chama chenye kubeba maono ya Watanzania, CCM ya sasa chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Hassani si kile chama kilichokuwa kinategemea nguvu ya dola.

Watanzania kwa sasa wanashuhudia CCM yenye siasa za kiungwana, hakuna tena yale matamko ya kibabe, majivuno na ya kutishana kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM au kutoka kwa Katibu Itikadi na Uenezi, CCM ya sasa ni ile inayoendesha siasa zake kistaarabu saana.
Mama Samia Suluhu Hassan ameweza kutenganisha vizuri kati ya mamlaka ya Serikali na Chama, CCM imeweza kuisimamia Serikali vizuri hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo, ni CCM iliyo chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ambayo imeweza kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, imehakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule ameanza shule, imeweza kumtua Mwanamke ndoo kichwani kwa kuhakikisha maji safi na salama yanafika kila kijiji, imehakikisha umeme umefika kata zote Tanzania, imehakikisha kila Kata kunakuwa na Kituo cha Afya, kila Kijiji kunakuwa na Zahanati yenye vifaa na madawa, CCM kwa kuisimamia Serikali vizuri imeweza kumalizia miradi iliyokuwa imekwama kwa miaka mingi ikiwa ni pamopja na umaliziaji wa maboma ya vyumba vya madarasa na Zahanati.
Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan, Hongera sana Daniel Chongolo kwa kuitengeneza CCM IMARA inayopendwa na Watu wote.
Sasa ndo unatwambia the opposite siyo
 
Enzi za Kikwete tuliambiwa hayo hayo,akaja Magufuli- mapambio hayo hayo yakaongezwa sauti!!

Kwa Mama nako naona vyawa wanazidi kudemka!!
 
Kuna kauli nimekuwa nasikia toka kwa watu wakisema "tutamkumbuka sana rais wetu" . Sasa huwa nashindwa kuelewa ni Rais yupi?
 
Kwa nini alizuia mikutano ya upinzani baada ya uchaguzi?
Kwa nini uchaguzi wa mwaka 2020 ulifanyikia gizani?
CCM ilikuwa ife 2015, kipindi kile hata ukivaa nguo ya CCM unapigwa mawe na kuzomewa.

Bahati nzuri wakamteua Magufuli, ikabidi atumie brand yake ya uchapakazi kuinusuru.

Huyu aliiheshimisha CCM. Akaachana na mafisadi na wauza madawa ya kulevya. CCM tena ikaanza kuaminika na kuwa na mvuto.

Ametoka Magufuli akaingia mama. Anakumbatiana na walewale waliotaka kuiua CCM 2015. CCM inapoteza mvuto kwa kasi ya ajabu.

Ni vile hatuna tu upinzani wa kweli, waliopo ni wachumia tumbo. Otherwise come 2025 CCM ingetoka madarakani!
 
Hivi kwanini kauli kama hizi msingekuwa mnazitoa wakati kuna uwanja sawa wa kufanya siasa jamani. Kuna faida gani kujidanganya?

Nashauri, mwambieni mama ukweli! Ukweli utawaweka huru.

Wekeni mazingira sawa ya siasa. Wekeni uhuru wa kufanya siasa, wekeni Tume huru ya uchaguzi, Tangazeni matokeo jinsi yatakavyokuwa kisha ndio mkae mseme mvuto umeongezeka wakuu. Unasemaje mvuto umeongezeka ilhali ni wewe peke yako ndio unakimbia nchi nzima kufanya siasa?
 
................Lini.......................,.,.......C C M..........,...,. ....,....MLIFUMULIWA.?..................,,.,,.......................
 
Toka Chama cha Mapinduzi kuundwa mwaka 1977 kimepita baada ya kuunganishwa kwa vyama vya Tanganyika African National Union na Afro - Shiraz, CCM imekuwa Imara, Bora na yenye mshikamano kuanzia ngazi ya chini kabisa mpaka ngazi ya Taifa kuliko kipindi chochote cha uhai wa CCM.

Kabla Mama Samia Suluhu Hassan hajakabidhiwa kijiti cha kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, iliaminika ikuwa CCM ni chama ambacho kinabebwa na mfumo , iliaminika kuwa CCM ni chama ambacho hakipendwi na Vijana, kwa lugha nyepesi ilionekana ni Chama cha Wazee.

Mama Samia Suluhu Hassan amefanikiwa kwa asilimia 100 kurudisha imani kwa Vijana kuwa CCM ndio chama bora, chama rafiki, chama chenye kubeba maono ya Watanzania, CCM ya sasa chini ya Mama Samia Suluhu Hassan Hassani si kile chama kilichokuwa kinategemea nguvu ya dola.

Watanzania kwa sasa wanashuhudia CCM yenye siasa za kiungwana, hakuna tena yale matamko ya kibabe, majivuno na ya kutishana kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM au kutoka kwa Katibu Itikadi na Uenezi, CCM ya sasa ni ile inayoendesha siasa zake kistaarabu saana.

Mama Samia Suluhu Hassan ameweza kutenganisha vizuri kati ya mamlaka ya Serikali na Chama, CCM imeweza kuisimamia Serikali vizuri hasa katika utekelezaji wa miradi ya Maendeleo, ni CCM iliyo chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ambayo imeweza kuhakikisha hakuna mwanafunzi anayekaa chini, imehakikisha kila mtoto mwenye umri wa kwenda shule ameanza shule, imeweza kumtua Mwanamke ndoo kichwani kwa kuhakikisha maji safi na salama yanafika kila kijiji, imehakikisha umeme umefika kata zote Tanzania, imehakikisha kila Kata kunakuwa na Kituo cha Afya, kila Kijiji kunakuwa na Zahanati yenye vifaa na madawa, CCM kwa kuisimamia Serikali vizuri imeweza kumalizia miradi iliyokuwa imekwama kwa miaka mingi ikiwa ni pamopja na umaliziaji wa maboma ya vyumba vya madarasa na Zahanati.

Hongera sana Mama Samia Suluhu Hassan, Hongera sana Daniel Chongolo kwa kuitengeneza CCM IMARA inayopendwa na Watu wote.
Ningeshangaa sana Kama CHAWA/Mataga yaache kumsifia mwenyekiti,ingekuwa ajabu sana .

Awamu ya 5 yalisema,hakuna Raisi alitewahi kutokea tangu tupate Uhuru Kama JPM, hadi yakasema take asitake ataonfoza hadi mwisho wa maisha yake,
Mataga yakavuka mpaka hadi yakamwita mhe MUNGU
 
Back
Top Bottom