CCM ikiendelea kupuuza misingi ya uongozi ya Hayati Dkt. Magufuli, ni dhahiri watakosa kura 2025

Raisi samia atapita kilaini sana 2025,pamoja nakwamba hawabani wapinzani,bam telling u samia atapita kirahisi sana kuliko hata magifuli ambae aliwakandamiza upande wa pili lakini bado tulion lissu alikuwa na wafuasi wengi 2020...
 
Raisi samia atapita kilaini sana 2025,pamoja nakwamba hawabani wapinzani,bam telling u samia atapita kirahisi sana kuliko hata magifuli ambae aliwakandamiza upande wa pili lakini bado tulion lissu alikuwa na wafuasi wengi 2020...
Coz ccm hawako real sana
 
Mwandishi kama hujui, huyo unayemuabudu kafa kwa ajili ya matendo yake maovu. Mlifikiri yeye ndiye alikuwa nchi sasa amekufa na maisha yanaendelea vizuri tu.

Kama mnafikiri mnaweza kuendelea kung'ang'ania madarakani kwa kuwanyanyasa wapinzani basi mtakuwa mnakosea sana na hicho ndicho kilichomgarimu Magufuli hadi akapoteza maisha.

Kama huyu mama naye atanasa kwenye huo mtego basi naye mustakabali wake utakuwa mashakani, I tell you my friend, the opposition is now well connected more than you think. Take care.
 
Waache tu wamlishe upepo rais,wanadhani 2015 watu walichagua CCM,wakisahau kuwa walimchagua Magufuli,maana CCM ilikuwa inakwenda kufutika.
 
Kama watu wangekuwa wanafufuka tungemwomba Mungu amfufue Magufuli halafu uchaguzi uitiswe wagombea wawe ni Magufuli vs Samia nakuhakikishia kuwa Magufuli angekula za uso kwa ushetani aliotufanyia wananchi hata wasukuma wenzake nao wasingempa kura.
 
Kama watu wangekuwa wanafufuka tungemwomba Mungu amfufue Magufuli halafu uchaguzi uitiswe wagombea wawe ni Magufuli vs Samia nakuhakikishia kuwa Magufuli angekula za uso kwa ushetani aliotufanyia wananchi hata wasukuma wenzake nao wasingempa kura.
Sawa mkuu kwa mchango wako
 
Umenena ukweli upinzani siku zote hauna watu wa maana mpaka watoke CCM, upinzani uliletwa na Mrema,Slaa,Lowassa wote ni CCM.

Ndo maana Kikwete alipojua mpinzani wake atakuwa Mbowe,alianza kuwatapikia wafanyakazi kura zao hazimbabaishi,ghafula Slaa kawa mgombea urais,yaliyompata wote tunajua.
Rais awe makini Sana maana akiwafuata Hawa wapotoshaji,atakumbuna na Mambo ya kina Slaa.
 
Kukosa kura sio kitu kwao. Tena mkiendelea kusema hivo ndo mtaaababisha wafilisi kila kitu. Kwa sababu wanajua watakosa kura
 
Kuna ile kujidanganya kwamba, wanaleta umoja kana kwamba umoja huo ulikuwa umepotea na wasijue kwamba wanakiweka chama chao kwenye upinzani mkubwa wa ndani kwa ndani na nje ya chama hicho
Hiyo ndiyo demokrasia mkuu. Huyo uliyempenda hakuipenda demokrasia. Mazoea yana taabu sana, mlizoea ubabe wa mwendakuzimu mkafikiri ndiyo namna nzuri ya kuongoza nchi. Poleni sana. Kazi inaendelea.
 
Hoja za msingi sana hizi umezitoa. Hawa watu kumbe mwendakuzimu aliwakamata sana akili. Nchi ilikua imepotea. Bila kifo, sijui tungerudije kwenye reli.
 
Kwani uchaguzi uliopita walipata hizo jura wanazojisifia si waliharibu uchaguzi wote na kujitangaza walivyotaka kwa taarifa yako mama atashinda uchaguzi ujao kwa uhalisia c kwa kiwango hicho cha wizi na dhulma cha magufuli na msaidizi wake dr.bashiru na pole pole mpaka mungu akawafedhehesha.
 
Mimi sijawahi kuwa CCM lakini ni muumini wa mapenzi mema kwa nchi yangu yeyote ataye kuwa tayari kuipiginia nchi yangu kama Magufuli huyo amebeba kura yangu pamoja na jamii yangu yote.

Except Lissu huyu anafaa kufungiwa jiwe la kusagia na kutupwa.
Lissu alikukosea Nini??.
 
Ndio maana tunataka time huru ya uchaguzi na katiba mpya ili tujue ukweli Kama upinzani unaweza kushinda uchaguzi au la. mara ya mwisho ccm kushinda uchaguzi kihalali ni 2005. 2010 alishinda slaa ,2015 lowassa ,na 2020 Kama shetani jiwe asingeharibu uchaguzi tundu lissu angeshinda .tume huru na katiba mpya alafu tuone nani anashinda uchaguzi
 
CCM inao uwezo wa kupuuza ya Samia, Jpm, Jk, mpaka Nyerere na bado wakashinda uchaguzi.

Tume ya uchaguzi - CCM
Mahakama - CCM
Vyombo vya dola - CCM.

Upinzani kamwe hawezi kuongoza nchi hii labda katiba mpya ipatikane au kwa mapinduzi
Both options are possible
 
Mbona mabaya yake hukuyaainisha ?!. Hivi kweli kupotezana na wasiojulikana ni mambo ya kuendeleza ?!. Uporaji ule wa uchaguzi ni mambo ya kuendeleza ?! Au ukanda uliokuwa ukistawi nao uendelezwe !!.

U dictator wa mwendazake nao uendelezwe ?! . Ridhika kuwa jamaa keisha kufa. Hawezi kurudi asilani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…