Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasiwasi wangu ni kuwa tunarudi kile kipindi ukiwa umevaa shati au dela la kijani hata kama umenunua mtumbani tulikuwa tunazomewa ukiwa umelivaa mitaani.Habari Wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?
Karibuni tujadili.
Tena kwa kuwalipa fedha nene na kuwapa vyeondiyo maana Magufuli alikuwa anachukua vijana kutoka Chadema[emoji1479]
Ninachoona ni kuwa CCM itarudi kwenye makundi na mpasuko baada ya muda si mrefu. Huyu mama angefanya vizuri sana iwapo angeunda CCM na serikali ya kwakwe iwapo alikuwa hataki kuendeleza iliyoachwa na aliyekuwa mkuu wake wa kazi kuliko kuokoteza CCM na serikali ya Kikwete ambayo ilikuwa na sifa kubwa sana ya makundi wakiyaita mtandao, na ufisadi uliopelekea ile list of shame!
Achana na umri ndugu.Habari Wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?
Karibuni tujadili.
Ushauri wa TLS ulikuwa na makosa sana kwani wao walimchukulia kama vile ni rais aliyeapishwa baada ya uchaguzi hivyo alitakiwa aunde serikali mpya kutokana na wabunge wapya waliochaguliwa kwenye bunge jipya.Nikweli TLS walimshauri avunje Baraza la mawaziri.Lakini yeye kaweka viraka.yajayo yanafurahisha.
Ninachoona ni kuwa CCM itarudi kwenye makundi na mpasuko baada ya muda si mrefu. Huyu mama angefanya vizuri sana iwapo angeunda CCM na serikali ya kwakwe iwapo alikuwa hataki kuendeleza iliyoachwa na aliyekuwa mkuu wake wa kazi kuliko kuokoteza CCM na serikali ya Kikwete ambayo ilikuwa na sifa kubwa sana ya makundi wakiyaita mtandao, na ufisadi uliopelekea ile list of shame!
Ushauri wa TLS ulikuwa na makosa sana kwani wao walimchukulia kama vile ni rais aliyeapishwa baada ya uchaguzi hivyo alitakiwa aunde serikali mpya kutokana na wabunge wapya waliochaguliwa kwenye bunge jipya. Walisahau kuwa yeye aliapishwa kuwa rais kutokana na nafasi aliyokuwa nayo serikalini kama makamu wa rais ili kuendeleza serikali iliyokuwapo kutoka kwenye bunge lile lile. Ndiyo maana mara baada ya kuapishwa, kikao chake cha kwanza hukifanya na baraza la mawaziri alilorithi.
Hata hivyo, baada ya kushika ofisi anakuwa na powers kufanya reshufle kwa namna yoyote kama anavyofanya sasa. Anatakiwa kutumia powers hizo kusuka serikali yake upya kwa flavor yake mwenyewe, siyo kama ambayo TLS walivyokuwa wanataka kumpotosha. Ila sasa kama flavor yake ni ile ya Kikwete, basi hapo kuna tatizo. Anaanza kuzipa nguvu zile conspiracy theories zilizoenea baada ya kifo cha Magufuli kuwa aliuwawa makusudi.
Unadhani rahisi mkuu uunde kila kitu upya. Unawatoa wapi? Yeye mwenyewe sio mpya. Kuongoza Nchi sio majaribio. This is Tanzania not America ambapo system ya mambo mengine inabaki na haijalishi nani yupo madarakani.
Tulia wewe ccm in wenyeweWasiwasi wangu ni kuwa tunarudi kile kipindi ukiwa umevaa shati au dela la kijani hata kama umenunua mtumbani tulikuwa tunazomewa ukiwa umelivaa mitaani.
Ccm yote ni genge la wahuni. Hamna mwenye afadhali.Watanzania wengi wameshalichoka hilo genge la wahuni.
Usisahau Kuna kipindi kilipita pia cha kukamatwa kwa kumsema raisi vibaya.Wasiwasi wangu ni kuwa tunarudi kile kipindi ukiwa umevaa shati au dela la kijani hata kama umenunua mtumbani tulikuwa tunazomewa ukiwa umelivaa mitaani.