CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

Nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ni lazima awe amehudumu na kustaafu cheo Cha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi.
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
vijana wengi ccm ni feki kwenye siasa. tena ina degree hadi masters lakini hopeless ever, ipo kuvaa jezi na mbwembwe nyngi ka tumbili kwenye mti
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.

unajua kujigroup. wamejikusanya upya ile ya awamu 4 sababu mwenyikiti wa ccm wameishamuona hana sauti yeye ni kukubali tu.
 
vijana wengi ccm ni feki kwenye siasa. tena ina degree hadi masters lakini hopeless ever, ipo kuvaa jezi na mbwembwe nyngi ka tumbili kwenye mti

Hii maanayeke ni kwamba huko mbeleni CCM itakosa viongozi Bora.
 
Kwa aina ya vijana walionao ambao wamekosa misimamo na kufuata mkumbo ili nao waote vitambi Kama baba zao, naweza kusema CCM haina vijana wa kuendesha chama chao bali wana vijana wachumia tumbo.

Hata vijana ambao ni makini ndani ya CCM ukifuatilia lazima alikuwa upinzani kabla ya kujiunga meza kuu na kuanza kufundishwa namna ya kuitafuna keki ya taifa.

Sasa chama kikongwe namna hii kukosa vijana sikitakufa huko mbeleni?
 
Hapa ndipo utambue kuwa hii nchi chini ya CCM haitakuja kuendelea hata iweje.

Serikali ya CCM haipo madarakani kuiendeleza hii nchi na ndiyo maana hawataki katiba mpya.

Naam natarajia kufa kwa hiki chama ndani ya miongo michache ijayo.
 
Hakuna siku makundi na ufisadi viliisha ndani ya CCM, ulichokiona ni tofauti ya nguvu na akili tu.

CCM ya Magufuli ilikuwa ya kifisadi ikisadiwa kuficha ufisadi huo na POLISI au vyombo vyote vya dola kwa amri ya mtu mmoja, ila hii ya JK ilikubali kukosolewa hadharani na kuacha watu wataje hiyo list of shame.

Nani angeweza kutoka hadharani amtaje Magufuli kama fisadi wakat aliyejaribu kuhoji kitu cha msingi kala shaba mchana kweupe?
Kama kweli kulikuwa na ufisadi kama ule wa huko nyuma ni Bora useme ufisadi wenyewe ni kwenye nini, mfano kule kulikuwa na makampuni kama Richmond
 
CCM ina vijana wengi sana wenye uwezo wa akili, uongozi na maadili. Ila nafasi hiyo ya makamu mwenyekiti inahitaji vijana wajifunze kutoka kwa Wazee namna ya kuongoza Taifa ili waje waweze kufanya kwa busara hapo baadaye...
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Miaka 71 ni mzee sana! Labda huko kijijini.
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Miaka 71 ni mzee sana! Labda huko kijijini.
 
Back
Top Bottom