CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

Sasa vitabu vya uhakiki wa Mali za chama ndio kwanza vinakwenda kuchomwa na Bashiru jiandae kuwa Balozi wa Somalia
 
Umefurahi vichomwe vitabu ila Mali zibaki mikononi mwa wenye chama
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Vijana wengi ni wafuasi wa JPM. Lengo ni kuondoa 100% wafuasi wa JPM na kuingiza ingizo la Jakaya ili 2025 iwe rahisi kumchagua Mama kurudi Ikulu na 2030 Membe aingie kwa kishindo white house.
 
Vijana wengi ni wafuasi wa JPM. Lengo ni kuondoa 100% wafuasi wa JPM na kuingiza ingizo la Jakaya ili 2025 iwe rahisi kumchagua Mama kurudi Ikulu na 2030 Membe aingie kwa kishindo white house.
2030 membe? Agombee uraisi na miaka 78?? Si itakua kichekesho
Wao walitaka wapindue meza hapo 2025
 
Wazee ndiyo hutafuna bila kuchoka😁😁😁
16418874249070.jpg
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Hawajakosa vijana wakushika madaraka.isipokuwa kuna kikundi kililikuwa kimejiandaa kushika dola 2015 kikashindwa .sasa imetokea nafasi mpango wao unaendelea . usishangae Mama asigombee 2025 akawaachia wenye mradi wao wa urais.Samia anapangiwa tu kama alivyotumika kumng'oa Ndugai ambaye angeachwa angekuwa kikwazo kwenye huo Mradi.
 
Mbona huyo Magufuli akumpendekeza Mwenyekiti kijana kipindi chake?! Ukweli ni kuwa ile sio ajira, ni nafasi ya kimkakati kwao na usitegemee kwa historia ya CCM nafasi hiyo kupewa mtu chini ya miaka 45 au 50.
nimekuelewa sana mamba
 
Kuna mzee yuko live tbc kaulizwa swali hilo kaishia jing'atang'ata tu
 
Osorio mruma aka profesorial rubish vp hapati teuzi?
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
CCM Ina wenyewe
 
Vijana ambao kigogo 2014 huwa anatutambia Kuwa ccm imewaandaa sijui ndio Hawa kina
Polepole
Bashiru
Makonda
Ali hàpi
Musiiba
Sabaya
Pascal mayala
Johnbaptist
Haji manala
Kihongosi
Heri james
Sufiani
Steve nyerere
Masanja mkandamizaji
Kigogo 2014
Amos mkalai

Wote Hawa ni
vijana kichefuchefu.
 
Vijana ambao kigogo 2014 huwa anatutambia Kuwa ccm imewaandaa sijui ndio Hawa kina
Polepole
Bashiru
Makonda
Ali hàpi
Musiiba
Sabaya
Pascal mayala
Johnbaptist
Haji manala
Kihongosi
Heri james
Sufiani
Steve nyerere
Masanja mkandamizaji
Kigogo 2014
Amos mkalai

Wote Hawa ni
vijana kichefuchefu.
Kigogo amechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom