Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 71 ni mzee sana! Labda huko kijijini.
We umamuona Chongolo ni mzee? Na shaka ni mzee?inaelekea hesbau za kulinganisha ulipata zeroHakuna mpango wa kuwaandaa vijana ndani ya CCM? Huko mbeleni chama kitakufa.
Habari Wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?
Karibuni tujadili.
Pigia mstar Kisha weka mabano mwisho funga na nuktaIna maana CCM hakuna hazina ya vijana?
Mzee Kinana atarudi na yale maigizo yake hatari sana! hahaaNchi hii tutaendelea kushangaa vitu vingi sana Mzee Kinana kurudi kupiga kazi tena akiwa na 72 aisee...
Kweli jamaa wamemzunguka kila konaKwenye hii safu naona kama mama ndo amekaa ki mchongo hapo ana tembea na wasiwasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari Wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?
Karibuni tujadili.
CCM vijana wengi ni chawa, Bora hao wazee.sipati picha siku wazee hao wakiondoka. Sioni kabisa ushawishi wa kina nape, bashite, polepole, January, Ridhiwani. Hao wote wanatembea migongoni mwa hao wazeeCcm sio chama cha vijana bali ni chama cha wazee. Hata vijana kadhaa wameanza kupewa nafasi baada ya wao kuona wanazidiwa nguvu na mvuto na wapinzani. Hata vijana wengi waliopewa nafasi ccm sio kwa uwezo wao wa kiuongozi, bali mbeleko, kujuana na kujipendekeza. Na kwasababu wengi hawana uwezo ama mawazo huru, ndio unaona viongozi huko kwao wanatangazwa kushinda kwa 100%, na wote wanaona sawa!
Marekani imekosa vijana mpaka kumpa Uspika Mh.Nancy Pelosi mwenye miaka 82?!!!
Marekani imekosa vijana wa umri wangu mpaka kumpa urais mzee mh.Joe Biden?!!!!!!
UONGOZI NI JALALA
Mbona huyo Magufuli akumpendekeza Mwenyekiti kijana kipindi chake?! Ukweli ni kuwa ile sio ajira, ni nafasi ya kimkakati kwao na usitegemee kwa historia ya CCM nafasi hiyo kupewa mtu chini ya miaka 45 au 50.ndiyo maana Magufuli alikuwa anachukua vijana kutoka Chadema✌🏾
Ficha ujinga wako..Walikuwa wamestaafu hao wamarekani?
CCM vijana wengi ni chawa, Bora hao wazee.sipati picha siku wazee hao wakiondoka. Sioni kabisa ushawishi wa kina nape, bashite, polepole, January, Ridhiwani. Hao wote wanatembea migongoni mwa hao wazee
Umesahau kwamba ccm ni ile ileHabari Wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?
Karibuni tujadili.
Nimeshindwa, ufunike kwa werevu wako mzee wangu.Ficha ujinga wako..