CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

CCM imekosa vijana wenye sifa mpaka kumpa kazi Mzee Kinana mwenye miaka 71?

Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Husikii tembo wameanza kuuwawa sn?
 
Nchi hii tutaendelea kushangaa vitu vingi sana Mzee Kinana kurudi kupiga kazi tena akiwa na 72 aisee...
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Unataka tujadili nini sasa hapo kwa mfano?
 
Yaani wezi na ma doni wanarudi kwa kimbunga cha kisulisuli
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Hapa ndipo utambue kuwa hii nchi chini ya CCM haitakuja kuendelea hata iweje.

Serikali ya CCM haipo madarakani kuiendeleza hii nchi na ndiyo maana hawataki katiba mpya.
 
Ninachoona ni kuwa CCM itarudi kwenye makundi na mpasuko baada ya muda si mrefu. Huyu mama angefanya vizuri sana iwapo angeunda CCM na serikali ya kwakwe iwapo alikuwa hataki kuendeleza iliyoachwa na aliyekuwa mkuu wake wa kazi kuliko kuokoteza CCM na serikali ya Kikwete ambayo ilikuwa na sifa kubwa sana ya makundi wakiyaita mtandao, na ufisadi uliopelekea ile list of shame!
Wamemzunguka kila upande, wamemzidi ujanja.
 
Wasiwasi wangu ni kuwa tunarudi kile kipindi ukiwa umevaa shati au dela la kijani hata kama umenunua mtumbani tulikuwa tunazomewa ukiwa umelivaa mitaani.
Kwani huko kuzomewa kuliisha?

Kilichowasaidia ni POLISI tu na sio kwamba mlikuwa mnapendwa, nyinyi mlikuwa wauaji wakubwa mkilindwa na Polisi lakini wenzenu waliamua kukubali kuzomewa na kukosolewa.

Mrudisheni Ben, Azory na wengine kwanza.
 
Ninachoona ni kuwa CCM itarudi kwenye makundi na mpasuko baada ya muda si mrefu. Huyu mama angefanya vizuri sana iwapo angeunda CCM na serikali ya kwakwe iwapo alikuwa hataki kuendeleza iliyoachwa na aliyekuwa mkuu wake wa kazi kuliko kuokoteza CCM na serikali ya Kikwete ambayo ilikuwa na sifa kubwa sana ya makundi wakiyaita mtandao, na ufisadi uliopelekea ile list of shame!
Hakuna siku makundi na ufisadi viliisha ndani ya CCM, ulichokiona ni tofauti ya nguvu na akili tu.

CCM ya Magufuli ilikuwa ya kifisadi ikisadiwa kuficha ufisadi huo na POLISI au vyombo vyote vya dola kwa amri ya mtu mmoja, ila hii ya JK ilikubali kukosolewa hadharani na kuacha watu wataje hiyo list of shame.

Nani angeweza kutoka hadharani amtaje Magufuli kama fisadi wakat aliyejaribu kuhoji kitu cha msingi kala shaba mchana kweupe?
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
Kwa aina ya vijana walionao ambao wamekosa misimamo na kufuata mkumbo ili nao waote vitambi Kama baba zao, naweza kusema CCM haina vijana wa kuendesha chama chao bali wana vijana wachumia tumbo.

Hata vijana ambao ni makini ndani ya CCM ukifuatilia lazima alikuwa upinzani kabla ya kujiunga meza kuu na kuanza kufundishwa namna ya kuitafuna keki ya taifa.
 
Uzee ni busara
Hata wahuni huzeeka hivyo sio kila mzee ana busara. Meko utasema alikuwa na busara gani zaidi ya ubabe na kutengeneza Hali ya kumuogopa bila sababu yeyote kisa alikuwa hataki ahojiwe?
 
Ccm hakuna vijana..waajili ya uongozi kuna chawa tu wanaotumika kisiasa kwa sababu ya njaa zao..na ujinga...hawanaga akili zaidi ya kusifu na kuabudu wakisubiri teuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari Wana JF,

Moja kwa moja kwenye mada. Hivi kwa ukongwe wa chama hiki, ni sahihi kuweka Makamu Mwenyekiti wa umri wa miaka 71?. Ina maana chama hakiandai vijana wa kuendeleza chama siku za usoni?

Karibuni tujadili.
CCM ina wenyewe! Ukiuelewa huu usemi hutapata tabu
 
Marekani imekosa vijana mpaka kumpa Uspika Mh.Nancy Pelosi mwenye miaka 82?!!!

Marekani imekosa vijana wa umri wangu mpaka kumpa urais mzee mh.Joe Biden?!!!!!!

UONGOZI NI JALALA
Mbona katiba mpya huwa hamjilinganishi na nchi zingine..chawa ninyi.

#MaendeleoHayanaChama
 
wameona hao vijana wao hamna kitu wengi wao huwezi kuwapa cheo kikubwa, makamu ni mtu mkubwa sana hasa katika kumshauri Rais ndiomaana mzee mng'atuka aka mkulima wa nyanya alipokomaa kumshauri jamaa akaishia kupewa sumu, vijana wa mboga mboga hamna kitu hasa yule anayejichubua sijui ndio wa kitu gaini uenezaji nanini
 
Haijakosa vijana, tatizo vizee wote waliopo madarakani ni vijizi, vinalazimika kuwepo ili kulinda visisumbuliwe kwenye Mali walizokwapua, au transactions walizozifanya kinyume na sheria.
 
Mke wa Kinana ndio anae jua kama Kinana ni kijana au Mzee.


Kinana mbele Kwa mbele
 
Back
Top Bottom