Wangempa Luka Si Muosha MbwaKuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
we pambana ha hao nyumbu wenzio mambo ya CCM yako juu sana ya uwezo wakoKuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Kwamba alaumiwe nani kwa kutowaandaa?Kijana awe makamu mwenyekiti wa CCM? Hawa wanaoshindia mitandaoni wakitukanana? Hiyo nafasi inahitaji busara
Hahahaha...we pambana ha hao nyumbu wenzio mambo ya CCM yako juu sana ya uwezo wako
NCCR ni chama chetu kwa taarifa yako.Huyu Mzee ni kada wa NCCR - Mageuzi kwa record zetu.
Ni ccm BNCCR ni chama chetu kwa taarifa yako.
Busara za namna ya kuiba kura kwenye chaguzi na kuteka wakosoaji wa rais?Kijana awe makamu mwenyekiti wa CCM? Hawa wanaoshindia mitandaoni wakitukanana? Hiyo nafasi inahitaji busara
Unakuta mate yanamdondoka kasinzia huku anaota mambo ya Sera ila Masatu bhana nyota yke ni kaliMzee wa usingizi, atakuja kushituka kutoka usingizini Lissu ashakuwa Rais
Kijana awe makamu mwenyekiti wa CCM? Hawa wanaoshindia mitandaoni wakitukanana? Hiyo nafasi inahitaji busara
Upinzani haujawahi shinda sababu ya hao wazee. CCM miaka yote tunashinda kwa sababu tunaheshimu wazee wetu ndani ya CCMKuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Mpaka wafe,kaburi ndio litaamua hatima Yao!Kuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Hoja dhaifu sana!Upinzani haujawahi shinda sababu ya hao wazee. CCM miaka yote tunashinda kwa sababu tunaheshimu wazee wetu ndani ya CCM
CHADEMA hamuheshimu wazee ndio maana hamshindi
Na Lisu wenu huyo atashindwa uchaguzi vibaya mno sababu hamheshimu mzee Mbowe
Uzee dawa wewe
Kijana awe makamu mwenyekiti wa CCM? Hawa wanaoshindia mitandaoni wakitukanana? Hiyo nafasi inahitaji busara
Lisu akishindwa uchaguzi sababu anamdharau mzee mbowe ndipo utaelewaHoja dhaifu sana!
Wazee walioshindwa una maana gani wakati chama chao CCM kinaongoza nchi hii tangu Uhuru na mwakani 2025 kitashinda kwa kishindo?Kuna mambo mengine ni kama dharau.
Watu waliopata fursa miaka mingi huko nyuma na wamestafu bila kuwa na impact ya maana kwenye Taifa wanarudishwa ili iweje?
Hii sio dharau kwa vijana na watu makini ndani ya Chama chetu cha CCM?
Chama wanachoita kizee cha CCM kinawabwaga chaguzi zote hivyo vyenye vijana hoi bin taabani ikifika chaguziWazee walioshindwa una maana gani wakati chama chao CCM kinaongoza nchi hii tangu Uhuru na mwakani 2025 kitashinda kwa kishindo?