Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #281
Sidhani kama upo sahii mdauUkiona Mtu anaipongeza CCm na kuisifu ,juwa ya kuwa amepata fupa anngongona .
Huku 70% ya watanzania wakibaki bila Ajira za kueleweka, wakiwa na maisha ya Kubahatisha.
Karibu uchangie madaMiaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado mnashangilia ujenzi wa madarasa, wanafunzi wanakaa chini na walimu hawajulikani wanalala wapi
Karibu uchangieNi kweli. Kuna mambo madogo madogo yamerekebishwa. Nikiwa mdogo tulipoteza karibu siku nzima barabarani tunasubiri kumpokea katibu mkuu Horace Kolimba. Siku hizi hayo mambo hayapo
Ila maoni yako hayawawakilishi watu wote.Tumetoka mbali mkuu,pongezi ni muhimuWatu gani wanaoelewa? mpaka thread ya 13 karibu wote hawakubaliani na wewe. Kwanini CCM mnapenda kuwasemaea watu? kuna mwenzako anaitwa lucas nani sijui humu ndani yeye ni kila siku kuwasemea watu mara vijana mara wakulima kama vile hayo makundi yamempa cheo awe msemaji wao. Acheni hii tabia ya kuwasemea watu mkitoa hoja zenu kama ni kupongeza fanyeni ivyo wenyewe individually
Wewe mwenyewe una low iq
Sidhani kama upo sahii mkuuAliyezaliwa 50 na 60 hawezi kuipongeza ccm sana sana atailaani
Sio sahii kutulinganisha na wengine(Umasikini,Maradhi, na Ajira) .
Kuna Mafanikio Fulani yaliyoletwa na CCM kwa miaka hiyo 60, lakini ukiyalinganisha na umri wake na ukubwa wa chama chenyewe ni sawa na kusema hayalingani.
Kuipongeza CCM kwa kutimiza wajibu wake kikatiba hakuna haja, pamoja na kuwa wao hupenda sana hilo la kupongezwa .
Lakini Pale penye Mapungufu hapana budi kubebeshwa lawama kwa kushindwa kwake kuwaletea matarajio wananchi kama walivyowaahidi na kutarajiwa.
Tanganyika na Singapore walipata uhuru karibuni sawa sawa, walipishana miaka au miezi tuu.
LAKNI tOFAUTI YA MAENDELEO IMEKUWA KUBWA MNO.
WAKATI TANGANYIKA INA RASILIMALI NYINGI MNO KULIKO SINGAPORE WAO HAWANA CHOCHOTE.
HIVI NDIO KULINGANISHA
Sidhani kama upo sahiiNdicho ninachomwelekeza mzee wangu hapa( maana kama alikwepo miaka ya 60 atakua amekula chumvi kimtindo). Darasani maksi za ufaulu ni 50/100 maana yake wataopata chini ya hapo wamefeli sasa mzee wangu anataka tumpongeze mwanafunzi aliepata 5/100 kwa sababu hajapata 0 kabisa
Hiki ndio kipimio chakoNarudia tena kiwango cha maendeleo ya CCM
By 1961 Mji wa Dar 80% planned 20 squatter
By 2020 baada ya miaka 60 Mji huo huo 10 Planned na 90 squatter.
Hii ni kuonesha Upande wa Ardhi na Mipango miji CCM imefeli.
Tunazungumzia tulipotoka mpaka leo.Ungezaliwa kitambo kidogo ungeelewaCCM , miaka 60 baada ya uhuru ,bado inaogopa Raia wake na kutokuwaamini kwa kusema kuwa hakuna Kiongozi anayeweza kupewa kuiongoza nchi hii, vyama vyote ni wahuni watupu , hii inamaana ndio matunda ya Kile walichokipanda. Yaani CCM hakuwaanda watanzania kuwa Watawala wa Nchi yao, Elimu waliyowapa ni Ujinga mtupu AU sio Maana yake?
Nimzima tu nipoSalama kabisa hajambo vp wewe?
CCM imetuchelewesha sana tupo miaka 39 nyuma ya maendeleo tuliyopaswa kuwa nayo leo hiiKwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Kwa kila kitu , wanajitahidi Sasa ni amani tu ndio tunayo ndio wanajitahidi tunayo . Tena nikwasababu wananchi wanakubaliana na kila kituNarudia tena kiwango cha maendeleo ya CCM
By 1961 Mji wa Dar 80% planned 20 squatter
By 2020 baada ya miaka 60 Mji huo huo 10 Planned na 90 squatter.
Hii ni kuonesha Upande wa Ardhi na Mipango miji CCM imefeli.
Vizuri nafurahi kwa hiloNimzima tu nipo
Una hakika na hiloCCM imetuchelewesha sana tupo miaka 39 nyuma ya maendeleo tuliyopaswa kuwa nayo leo hii
Una uhakika mimi ni mdogo wako? au unachangia tu kimhemko?Una hakika na usemayo au ni mihemuko tu ya kisiasa mdogo wangu????Karibu uchangie
wHAT? ARE YOU SERIOUS?Sio sahii kutulinganisha na wengine
Ukitulinganisha unatuonea.Kila farasi na mwendo wake.Japo wote ni farasi mkuuwHAT? ARE YOU SERIOUS?
Kwanza nikuombe msamaha kwa kukuita mdogo wangu""Niwie radhi""na pili naweza kukuuliza kitu mkuu??Una uhakika mimi ni mdogo wako? au unachangia tu kimhemko ? Nimeangalia kwa hapa JF tu uejiunga ramsi mwaka jana, mimi nimejiunga JF rasmi kwa hii ID miaka 12 iliyopita , na nilikuwepo kabla ya hapo kwa akaunti nyingine .
So, as far as seniority is concern btn our IDs (hizi tunazowasiliana sasahivi) hustahii kuniita mimi mdogo wako.
Nimeshachangia badala yauja na hoja ya maana unaleta masuala eti mimi mdogo wako.
Nakushauri nenda kasome historia ya nchi hizo ufahau zilikuwaje miaka ya 1960's na sasa zipo wapi ndio uje kukoment wewe bwana mdogo .ufananishe na nchi yako ndipo utakubaliana na mimi
Kaka kwa rasilimali za nchi hii na tulipo unaona sawa? Leo hii unaenda kupata huduma polisi unaambiwa utoe mafuta wakakamate mtuhumiwa wako?Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.
Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Changamoto hazikosekani ila tumepiga hatua mkuu katika nyanja nyingiKaka kwa rasilimali za nchi hii na tulipo unaona sawa? Leo hii unaenda kupata huduma polisi unaambiwa utoe mafuta wakakamate mtuhumiwa wako?