Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Mbona mhenga unataka nimwage pongezi wakati watoto hawana walimu wa sayansi wakati wamejaa mtaani hawaajiriwi?Nakuelewa kijana wangu,na nategemea utatupa mkono wa pongezi kwa hapa tulipowafikisha since 1960.
Ukiachana na juhudi binafsi za watu kujiletea maendeleo , huduma zote ambazo serikali inatakiwa kutoa ni TAKATAKA KABISA.Bongo is all slums, mitaa michafu wala haijapimwa , hakuna maji wala umeme wa kuaminika, mitaa mizuri ni ile ya mkoloni, hata sehemu mpya makazi ya watu ni juhudi za watu maana watu wanajitahidi kujenga nyumba nzuri lakini barabara na huduma muhimu kazi ya serikali ya CCM ni big let down, CCM imeturudisha nyuma sana na ndio chanzo cha umaskini na wamefanya hata uchaguzi usiwe na maana tena nchini kwa ajiri ya wizi wao wa kura
Hapo unazidi kumpunguzia mhenga mleta credit zake ila ashaelewa kwamba uhitaji wa huduma za kijamii nimkubwa na muitikio wa serikali nimdogo badoBongo is all slums, mitaa michafu wala haijapimwa , hakuna maji wala umeme wa kuaminika, mitaa mizuri ni ile ya mkoloni, hata sehemu mpya makazi ya watu ni juhudi za watu maana watu wanajitahidi kujenga nyumba nzuri lakini barabara na huduma muhimu kazi ya serikali ya CCM ni big let down, CCM imeturudisha nyuma sana na ndio chanzo cha umaskini na wamefanya hata uchaguzi usiwe na maana tena nchini kwa ajiri ya wizi wao wa kura
Hizo changamoto ndogo ndogo waga hazikosekani kwenye nchi yoyote kijana wangu.Tunazifanyia kaziMbona mhenga unataka nimwage pongezi wakati watoto hawana walimu wa sayansi wakati wamejaa mtaani hawaajiriwi?
Muhenga yani utaacha tukushawishi ufute pongezi zako
Vijana wangu inabidi nije niwape somo la uzalendo na uraia.Changamoto hazikosekani ila zinatatuliwa,Hapo unazidi kumpunguzia mhenga mleta credit zake ila ashaelewa kwamba uhitaji wa huduma za kijamii nimkubwa na muitikio wa serikali nimdogo bado
Basi muhenga nimepata picha kwamba unawakejeli wahenga wenzioHizo changamoto ndogo ndogo waga hazikosekani kwenye nchi yoyote kijana wangu.Tunazifanyia kazi
Kijana wangu upo serious kweli kuziita huduma za serikali takataka??Ukiachana na juhudi binafsi za watu kujiletea maendeleo , huduma zote ambazo serikali inatakiwa kutoa ni TAKATAKA KABISA.
- Elimu
- Umeme
- Maji
- Usalama
- Mfumo haki
- Utumishi
Yaani hata vile tulivyoachiwa n mkoloni vimekufa na vile vilivyojenhwa enzi za Nyerere vimekufa vile vile.
Uzalendo sio kusifiatu. Hata kukosoa na kuonesha njia ni uzalendo zaidiVijana wangu inabidi nije niwape somo la uzalendo na uraia.Changamoto hazikosekani ila zinatatuliwa,
Sasa nyie vijana mnataka nchi isiyokua na changamoto.Hilo haliwezekani,changamoto zilizopo tunazifanyia kazi.Basi muhenga nimepata picha kwamba unawakejeli wahenga wenzio
Zifanyieni kazi ndio mje kujipongezaSasa nyie vijana mnataka nchi isiyokua na changamoto.Hilo haliwezekani,changamoto zilizopo tunazifanyia kazi.
Kukosoa kwa lengo la kujenga,hapo nitakuelewa kijana wanguUzalendo sio kusifiatu. Hata kukosoa na kuonesha njia ni uzalendo zaidi
Na tunahitaji pongezi zenu pia,ili mtutie moyo tuone kumbe vijana wetu wanatuapriciate na sisi wazee wao kwa kazi ngumu tulioifanya.Zifanyieni kazi ndio mje kujipongeza
Tatizo vijana wetu mna mihemuko sana.Uzee dawa ni vyema mkatusikiliza wazee wenu.Mada kama hizi ndio huwafanya ufika kutukana badala ya kutoa hoja.
Usiku na mchana hatulali,tunajenga nchi,msitutukane bali tunahitaji pongezi ili serikali yenu sikivu chini ya utawala wa CCM na mwenyekiti Dk Samia tuendeelee na mapambano.Mada kama hizi ndio huwafanya ufika kutukana badala ya kutoa hoja.
Na wewe una kijana kumbe??Kijana wangu upo serious kweli kuziita huduma za serikali takataka??
Sema walau kwa sasa vijana wa ccm mmekuwa wengi jf.Usiku na mchana hatulali,tunajenga nchi,msitutukane bali tunahitaji pongezi ili serikali yenu sikivu chini ya utawala wa CCM na mwenyekiti Dk Samia tuendeelee na mapambano.
Tupo pamoja mzee mwezangu.Karibu CCM tujenge nchi pamoja.Maana tumetoka nayo mbaliSema walau kwa sasa vijana wa ccm mmekuwa wengi jf.
Walau wazee tutasikiliza hoja zenu.
Ndio nyie vijana wetu ambao mtakua viongozi wa baadae.Na wewe una kijana kumbe??
Wewe ni kiongozi wa Nini? Au wa MACHAWANdio nyie vijana wetu ambao mtakua viongozi wa baadae.