Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #161
Karibu sanaMada hii nzuri mno
Mimim naanzia hapa. Kwako kwa kukuunga mkono.
Pia namuunga mkono
Nelson Jacob lushasi.
CCM imezeeka sana kkifikra na haiwezi tatua matatizo ya nchi hii.
Ina fikra za kiukombozi zaidi kuliko za kisasa.
Kinahitajika Chama Kingine chenye muono chanya.