CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

CCM inahitaji pongezi nchi hii, tulipotoka tunapajua wenyewe. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni

Ukiona Mtu anaipongeza CCm na kuisifu ,juwa ya kuwa amepata fupa anngongona .
Huku 70% ya watanzania wakibaki bila Ajira za kueleweka, wakiwa na maisha ya Kubahatisha.
 
CCM imefeli kuweka Mfumo mzuri wa Kutawala Tanzania na Kugawa Maendeleo Kwa Usawa.
Mabadiliko yote yako kwenye Miji mikuu tuu.
Hadi leo Kuna Vijiji na wilaya haziwezi kufikika kwa ukosefu wa Bara bara na mipango ya Miundo mbinu.
Serikali inaishia Kuimarisha Dar es salaam tuu na Dodoma na Mwanza na Arusha.
Muundo wa Majimbo ingeliisaidia nchi yetu kupata maendeleo kwa haraka ,lakini CCM wanawaogopa Raia wao.
Ni kweli, ila leo kwenye uzi huu nimeamua kuyafikiria mazuri ya ccm. Kama unafahamu mikoa ya Tz hata ile famous namna ilivyokuwa wakati wa uhuru utakubaliana na mm kuwa kuna kitu wamefanya.
 
Ukiona Mtu anaipongeza CCm na kuisifu ,juwa ya kuwa amepata fupa anngongona .
Huku 70% ya watanzania wakibaki bila Ajira za kueleweka, wakiwa na maisha ya Kubahatisha.
Wakati mwingine kuna maslahi katika kuiponda pia. Mleta mada kawakumbusha watu waliozaliwa miaka ya 80 kurudi nyuma wakumbuke mazuri ya ccm na kama umezaliwa miaka hiyo, kuna mazuri utayaona. Mabaya yapo ya kutosha, ila si tunayaongea kila siku?
 
TAZAMA CCM NDO HII NA FIKRA ZAKE DUNI ZA KIMAPINDUZI
''Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.''

HIVI UNAPONGEZA NINI KAMA HAPO IKIWA MTAZAMO WA hAWA WALEZI NA WAZEE WA CHAMA NI HUU ULIO KINYUME NA MAONI YA WANANCHI WALIOWENGI?

CCM kwishneh zama zake zimepita haina SERA wala DIRA
 
TAZAMA CCM NDO HII NA FIKRA ZAKE DUNI ZA KIMAPINDUZI
''Mzee Wasira amenukuliwa akisema hata kama mchakato wa katiba mpya utaanza msimamo wa CCM ni Serikali 2 kama wapinzani watataka serikali 3 basi mchakato huo utakufa tena na haitapatikana katiba mpya.''
iVI UNAPONGEZA NINI KAMA HAPO IKIWA MTAZAMO WA hAWA WALEZI NA WAZEE WA CHAMA NI HUU ULIO KINYUME NA MAONI YA WANANCHI WALIOWENGI.?
CCM kwishneh zama zake zimepita haina SERA wala DIRA
Kwani msimamo huo ni msimamo usio sahii kwa maoni yako??
 
Wakati mwingine kuna maslahi katika kuiponda pia. Mleta mada kawakumbusha watu waliozaliwa miaka ya 80 kurudi nyuma wakumbuke mazuri ya ccm na kama umezaliwa miaka hiyo, kuna mazuri utayaona. Mabaya yapo ya kutosha, ila si tunayaongea kila siku?
Upo sahii kaka.Wewe umenielewa kwa usahii kabisa.Karibu uchangie kaka
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Jibu kwanza pale juu.
Msimamo huu ni batili,
Hii nchi si mali ya Chama kimoja ,huwezi ukapinga maoni ya wengi.
Nina swali moja nikuulize ndugu yangu.Haya maoni yako ni ya kiitikadi,kisiasa au unadhani vijana wengi wa nchii hii wana mtazamo kama huu???
 
CCM imefeli kuweka Mfumo mzuri wa Kutawala Tanzania na Kugawa Maendeleo Kwa Usawa.
Mabadiliko yote yako kwenye Miji mikuu tuu.
Hadi leo Kuna Vijiji na wilaya haziwezi kufikika kwa ukosefu wa Bara bara na mipango ya Miundo mbinu.
Serikali inaishia Kuimarisha Dar es salaam tuu na Dodoma na Mwanza na Arusha.
Muundo wa Majimbo ingeliisaidia nchi yetu kupata maendeleo kwa haraka ,lakini CCM wanawaogopa Raia wao.
Ila unajua tulipotoka mdau
 
Ila unajua tulipotoka mdau
Ahaa najua, Ukitia dawa kwenye kidonda ,kikipona unatupa lile bendej.
Sasa CCM ni kama Bendej, Kutafuta uhuru ilikuwa kazi ya tanu na ASP, sasa tuko huru hatuwezi tena kwenda na sera zile zile.

Bendeji litolewe ili ngozi iwe ze kunawiri nakupata mwanga. UHURU uwe kwa wote, yatosha.

Tutaishukuru CCM kwa kuleta Uhuru na Utengamano kama wakiachia nchi kwa hiaribila mikwaruzano, ikiwa kinyume chake italaaniwa.
 
CCM imefeli kuweka Mfumo mzuri wa Kutawala Tanzania na Kugawa Maendeleo Kwa Usawa.
Mabadiliko yote yako kwenye Miji mikuu tuu.
Hadi leo Kuna Vijiji na wilaya haziwezi kufikika kwa ukosefu wa Bara bara na mipango ya Miundo mbinu.
Serikali inaishia Kuimarisha Dar es salaam tuu na Dodoma na Mwanza na Arusha.
Muundo wa Majimbo ingeliisaidia nchi yetu kupata maendeleo kwa haraka ,lakini CCM wanawaogopa Raia wao.
Changamoto hazikosekani katika uongozi wowote.Lakini tulipotoka ni mbali
 
Ahaa najua, Ukitia dawa kwenye kidonda ,kikipona unatupa lile bendej.
Sasa CCM ni kama Bendej, Kutafuta uhuru ilikuwa kazi ya tanu na ASP, sasa tuko huru hatuwezi tena kwenda na sera zile zile
Bendeji litolewe ili ngozi iwe ze kunawiri nakupata mwanga.
UHURU uwe kwa wote.
\yatosha.
Tutaishukuru CCM kwa kuleta Uhuru na Utengamano kama wakiachia nchi kwa hiaribila mikwaruzano.
ikiwa kinyume chake italaaniwa.
Sizungumzii mengine bali kimaendeleo mdau.Tumetoka mbali sana
 
Kwa wale waliozaliwa miaka ya 60 na 70 na 80 wanaelewa tunaposema japokua mapungufu yapo ila serikali ya Tanzania chini ya CCM inahitaji pongezi kwa tulipofika mpaka sasa.

Vijana wa nchi hii wanahitaji kuelimishwa zaidi katika hili maana wamekua mabingwa wa kulalamika tu. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni.
Miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado mnashangilia ujenzi wa madarasa, wanafunzi wanakaa chini na walimu hawajulikani wanalala wapi
 
Back
Top Bottom