okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Kipindi tunawaogopesha na TLP hapa mbeya tulitaraji kufika mwaka huu muwe na jiji lenye mpango mzuri na barabara za mitaa na sio vichochoro.Tupo pamoja mzee mwezangu.Karibu CCM tujenge nchi pamoja.Maana tumetoka nayo mbali
Mzee mwenzangu kwenye vikao vyenu toka uhuru huwa mnajadili nin kuhusu MBEYA?