Wangeenda kuwaleta hata wale wanaowakamata kutoka Ethiopia wanao kimbia "uchumi wa kati" kwenda kufanya vibarua Malawi na Botswana.Spana inazidi kubana, mwishowe magereza yote yanaweza kufungwa na wafungwa wote kusombwa kujaza hii mikutano. Kama na wao hawatatosha wagonjwa, wauguzi na madaktari nao wote wanaweza kubebwa wakahudhurie kuongeza vichwa. Si ajabu siku hiyo hata hospitali zikafungwa.
Weka na mkeka wa CCM hivyo hivyo kama wa CHADEMAAjaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Ndiyo akili za akina PolepoleHebu tazameni jamani watoto wetu wanavyoteswa juani, kwa nini lakini?
Tafadhali sana CCM, kwa nini mnawahangaisha hivi watoto wetu? Waacheni hawa watoto wasome, tunawapeleka shule wasome na si kutumika kuongeza vichwa katika mikutano yenu. Kama watu wazima wamewasusia, msiwaadhibu watoto wetu. Sisi wazazi wao tuko na Mh. Tundu Antiphas Lissu!
Umeishiwa hoja sasa umeanza vioja!Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Hongera, hebu tupe na hesabu ya pesa ambazo serikali imewanyima watumishi kwa miaka mitano ambapo haikuongeza mishahara!!Assuming kwamba nyongeza ni shilingi elfu tano!!Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Nafikiri serekali ilitumia jukwaa la kampeni kuwapa nafasi wanafunzi angalau na wao wakamuone Ally KibaCCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.
Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.
Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?
Hakuna "Gen Z" atakayekuwa mbogamboga hata kama babake/mamake atakuwa mnufaika wa mbogamboga.Ujue ccm wana maono ya mbali sana yaani hao wanafunzi baada ya moaka mitano watakuwa wapiga kura wengine wanawajenga kifikra vichwani mwao
Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
Una umri gani?wewe acha kupiga kelele.wewe nenda kajaze watu wazima.unaleta utoto sana mara ngap tunaona hatabkwa mgombea wetu TL anahaza watoto?? kwan shida ipo wap.tujikite kueleza sera.bado sana sisi wa Ufipa kusema sera tunekaa uanaharakat tuuu
Kwa hiyo umeamua utufokee kabisa kwa kuweka miandishi mikubwa ivyoAjaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Ukweli lazima.usemwe. Wagosi wananikera sana kuikumbatia CCM.Hata nyumbani ? bado unaponda, haaaaaa.
Hawatumii akili, Mkutano ambao watu wote wana sare za CCM unafikirisha sanaCCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.
Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.
Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?
Ajaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
Hizi ndizo kampeni za kwanza kuziona watu wanakaa kwenye viti kama wako kwenye Town Hall ........!!CCM mmetia aibu ya mwaka huko Bagamoyo, Pwani jana na leo huko Korogwe, Tanga.
Shule zilifungwa na kuamuru wanafunzi na walimu wao kuhudhuria mikutano ya kampeni ya Magufuli.
Nawaulizeni CCM, lengo la kufanya ujinga huu ni nini hasa? Mnamdanganya nani?
halafu wanataka tuwape nchi tumekuwa vichaa sasa waendelee kutapeliana huko sisi tuna akili zetuAjaze wanafunzi, asijaze kushinda kupo palepale. Chama cha Mbowe, hakiwezi shinda milele. Wanapoteza rasilimali muda. Kama ruzuku tu mwala, je kodi zetu zitakuwa salama kweli?. View attachment 1606807View attachment 1606808View attachment 1606809View attachment 1606810
hamna akili nyie nendeni tu mkahangaike na shoga lenu lissu tuachieni hao watoto tunawasomesha bure wacha wasikilize baba anasema niniHebu tazameni jamani watoto wetu wanavyoteswa juani, kwa nini lakini?
Tafadhali sana CCM, kwa nini mnawahangaisha hivi watoto wetu? Waacheni hawa watoto wasome, tunawapeleka shule wasome na si kutumika kuongeza vichwa katika mikutano yenu. Kama watu wazima wamewasusia, msiwaadhibu watoto wetu. Sisi wazazi wao tuko na Mh. Tundu Antiphas Lissu!