Pre GE2025 CCM kunafukuta, mpasuko mkubwa waja kuelekea Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ofcoz useless politicians within any vibrant and visionary political party are not tolerated ๐Ÿ’
Having a difference in opinions and ideologies doesn't warrant you the right to demean people that in high probability you might live and die without accomplishing even 1/4 of their accomplishments.

The people you have called useless have served in this country in positions that your whole lineage, past, present and future might never live to serve.

Warioba alishawahi kuwa Waziri Mkuu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Professor wa kuheshimika, halafu unamuita useless, kwa qualification ipi uliyokuwa nayo wewe zaidi ya uchawa wa mitandaoni.
 
Huyu mama arudi kwao wallah. Atuachie nchi yetu.
Kwani lazima????? Lazima awe yeye.???
Huku ni bara atoke.
Keshaonja buyu la asali, hang'oki hata kwa grader๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

Yani umwambie arudi nyumbani kutumikia zamu ya uke wenza wakati anakula mema ya nchi kiubwete. Huyu atang'anga'ania mpaka kieleweke.
 
Unafikiri ukiwaita useless unawapunguzia kitu ukweli ni kwamba huwapunguzii kitu
 
CCM WAMEVAA MIWANI YA MBAO MAKUSUDI ILI WASIONE WAINGIE SHIMONI
 
Tanzania has been ranked number 11 in the latest list of countries with the largest political party by members.
The Global Indexโ€™s 2023 report says Tanzania holds the position through its ruling party, Chama cha Mapinduzi (CCM) reportedly has a total of 8.4 million active members.
Mimi pia nilikuwa na imani kama yako, mpaka nikawa navurugikiwa, SELF Psychosocial COUSELLING ilinisaidia kukubaliana na status quo, sasa nina amani na immunity yangu imerudi, usijidanganye CCM ni watalaamu bobezi wa ku-solve internal party STRIFES, tofauti na vyama vingine CCM wana Mitigation Plan ya kupambana na chochote.
 
Keshaonja buyu la asali, hang'oki hata kwa grader๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

Yani umwambie arudi nyumbani kutumikia zamu ya uke wenza wakati anakula mema ya nchi kiubwete. Huyu atang'anga'ania mpaka kieleweke.
It's not right. She knows it and we all know it.
Yaani huyu mama aniongoze Tena miaka 5.... Hapana aisee
 
Dahh .๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ndugai alifunguka sana hapa aisee..

Hatarii
 
Unafikiri ukiwaita useless unawapunguzia kitu ukweli ni kwamba huwapunguzii kitu
sifikirii wala kuona haya kwenye jambo halisi na bayana kama kuwahusu useless individuals kama hao ambao hawana athari za kisiasa ndani au nje ya CCM.

Infact,
nawapenda sana waTanzania wote kama kiongozi mwandamizi wa wananchi ๐Ÿ’
 
I think anyone who saved in different capacities in government with no impacts at all,
are also completely useless ๐Ÿ’
 
Sentesi ziwe fupi fupi, acha kujiliza boss.
mimi sio boss gentleman,
ni kiongozi hodara na mchapakazi wa wananchi na waTanzania wote,

tafadhali,
uvivu na uchovu wako usiwe changamoto kwa wadau wa JF๐Ÿ’
 
We nawe sasa una uongo mwingi sana? mpina nae ni kingunge kuanzia lini!? Au vingunge wa chama huwajui?
 
Hii ni zamu yenu kuendesha chama tunawasubiri muingie barabaraniโ€ฆ.
Hapana Lisu hana hela, anamtegemea Mbowe maana ndio mwenye hela. Hadi sasa tuko barabarani, ama unataka barabara ipi?
 
mimi sio boss gentleman,
ni kiongozi hodara na mchapakazi wa wananchi na waTanzania wote,

tafadhali,
uvivu na uchovu wako usiwe changamoto kwa wadau wa JF๐Ÿ’
Nasema hivi, sentensi ziwe fupi fupi kiongozi HODARA kama ulivyoandika hapo juu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
CHAWA in capital letters.
Mtu namba moja useless ni huyo kijakazi, anybody with common sense can see that.
 
Porojo! Unaleta hayo ya kale, hayanukiii! Mambo ya ndungai, du pengine ufungue uzi mwingine.

Kuna kundi kubwa lililowahi kutokea zaidi ya lile lililomuunga mkono Lowasa mbele ya kadamnasi ya wana CCM. Mambo yakasawazishwa safari ikaendelea, Magufuli kagombea. Hayo unayoyasema ni ya kale, Kombe litafunikwa na mwana...mu atapita.
 
Huyu mama arudi kwao wallah. Atuachie nchi yetu.
Kwani lazima????? Lazima awe yeye.???
Huku ni bara atoke.
Kwani ww huyaogopi majibwa yake aliyoyafuga kumpambania mitandaoni.. ngoja yaje kukubwekea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ