Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
unekosea kumjibu huyo chokambayaMasikini walahi! Yaani wewe husikii vibaya kudanganywa wazi wazi kama lipumbavu fulani hivi?
Hivi huko vichwani mume beba ubongo au ni pakacha la uchafu tuu?
Na kama mambo ya wazi hivi mnadanganywa na mnakenua kwa vicheko mangapi ya sirini mnapigwa changa LA macho na kushangilia kama mazuzu?
Wacha1 jaribu kutumia ubongo wako uliopewa na Mungu bure, maana alikuwa na sababu ndio maana hakukuumba punda au fisi