CCM kwa hiki mlichoufanyia Uwanja wa Benjamin William Mkapa, Mungu anawaona

CCM kwa hiki mlichoufanyia Uwanja wa Benjamin William Mkapa, Mungu anawaona

Kwenye hili chama changu CCM hatuwezi kukwepa lawama aisee
💯% lawama zote ni kwa Joni. Hivi alidhani nyasi zinaotaga tena ndani ya siku1 tu?
 
Yaani hata mimi imeniuma sana, ni ubabe usio maana.
Kwani hakukuwa na maeneo mengine hata ya wazi?

Uwanja wa uhuru kwa nini haukutumika?
Mechi hii inaangaliwa nje ya nchi mbona ni aibu?
Ccm siku zote ni washamba tu!!
 
Unatetea ujinga kwa kuandika pumba tupu. Una akili za kimagufuli, kimakonda, kipolepole. Yaani Umekazana meneja, meneja, meneja......
Umesahau kabisa kuwa mmiliki wa huo uwanja ni Serikali, na serikali yenyewe ndio uliwapa CCM kuutumia kinyume kabisa na muongozo wa matumizi ya huo uwanja. Sasa meneja angefanyeje kuzuia hilo?

Hoja iliyopo hapa ni uwanja kuharibiwa na kampeni za Juzi za CCM na hapo hapo serikali ikaamua kuficha ukweli kwa kupotosha kwa uongo wa kiwango cha SGR. Jadili hilo, na kama huna maoni, soma tu maoni ya wengine.
Mpuuzi mmoja hivi anajaribu kuhamisha Magoli...hivi kweli mtu mwenye akili timamu unaweza shupaa shingo kutetea hili? angekua na busara angekaa kimya kuliko kujiexpose jinsi alivyo mweupe.
 
Dah,

CCM Mlijua kabisa Leo tarehe 11 October 2020 tutakua na mechi Muhimu ya Kimataifa ya Kirafiki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars v/s Burundi lakini bado mkapitisha Fiesta lenu palepale. Uwanja wote umejaa vipara na zile ni nyasi halisi, kuota tena ni majaaliwa.

Uwanja sasa umeharibika, Mipira haitambai kama inavyotakiwa, huu ndio uzalendo kweli? Hivi hata tukifungwa si mtakua mnahusika nyinyi watu? Kweli kabisa mnathubutu kuharibu uwanja namna hii mkijua wazi utatumika tu soon? Kweli kabisa nyie ndio mnataka tuwape mitano mingine tena huku tukijua wazi hamna uchungu na rasilimali zetu?

Imenigusa sana hii,
View attachment 1597081

View attachment 1596951
Nimechukia sana kitendo hiki cha ccm kaharibu uwanja wetu halafu wanakuja kutumia kodi zetu kutengeneza. Ccm wanapaswa kupigwa faini kwa hili.
 
Umemwona leo unasemaje?
Alidanganya vile ili apate nini? Kwa faida ya nani? Angekaa kimya tu angepata hasara gani? Sidhani kama angekaa kimya bila kuleta uongo mshahara wake ungepungua?
 
Back
Top Bottom