Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
unekosea kumjibu huyo chokambayaMasikini walahi! Yaani wewe husikii vibaya kudanganywa wazi wazi kama lipumbavu fulani hivi?
Hivi huko vichwani mume beba ubongo au ni pakacha la uchafu tuu?
Na kama mambo ya wazi hivi mnadanganywa na mnakenua kwa vicheko mangapi ya sirini mnapigwa changa LA macho na kushangilia kama mazuzu?
Wacha1 jaribu kutumia ubongo wako uliopewa na Mungu bure, maana alikuwa na sababu ndio maana hakukuumba punda au fisi
Unatetea ujinga kwa kuandika pumba tupu. Una akili za kimagufuli, kimakonda, kipolepole. Yaani Umekazana meneja, meneja, meneja......Matunzo ya hizi facilities ni jukumu la meneja wa uwanja.
Iwe CCM au Chadema wanataka kutumia uwanja wanapaswa kufanya malipo fupani kwa ajili ya matunzo na usafi baada ya shughuli.
Matengenezo na utunzaji kwa ujumla ni jukumu la meneja wa uwanja iwe una nyasi za kijani au za njano au ubovu wa hapa na pale.
Hii huitwa facilities management.
Sasa hapo tusiwalaumu CCM kwa watu kushindwa kufanya uangalizi wa uwanja kama huu.
Kadi nyekundu ni sababu ya timu ya mikia ya Mo kurogaWaliurashia rashia maji wakapiga picha usiku, kutuhadaa mwisho wameumbuka!
Wakaurashia tena maji dakikia 10 kabla ya mechi ili kificha aibu lakini waapi!
Mwisho wa siku gundu waliloutia likazaa kadi nyekundu, hitimisho ikawa ni kupigwa ka Nguruwe!
kujipendekeza kusikufanye ushindwe kujenga hoja...Kumbe Abbas anawanyima usingizi mtakonda mwaka huu.
He likes staying behind camerasKwa nchi za wenye akili, Dr.Abbas ndo ilikuwa basi tena.
tuseme wewe ujaona uo uwanja au kutetea tumbo lako tuChadema mtacha lini kulalamika lakini eeh?
SukuleKumbe Abbas anawanyima usingizi mtakonda mwaka huu.
Shida ya CCM ni matapeli mnaoangalia maslahi yenu tuChadema mtacha lini kulalamika lakini eeh?
Inashangaza sana!View attachment 1597130View attachment 1597131
Pamoja na siasa zinazoendelea wakati huu wa uchaguzi lakini hatupaswi kumuweka Mungu pembeni.
Huu uongo ulitungwa kwa faida ya nani. Hizi ni dharau kwa watanzania. Ajabu lingine ni kwamba mnaona RAHA kuogopwa kwa kiwango hiki kama Mungu? Pamoja na uharibifu wote huu lakini hakuna chombo chochote cha habari kilichohoji. Jisikie aibu
Wametuharibia uwanja hawa majamaa. Uwanja wa Uhuru si upo karibu tu wangefanya siasa zao.Nimesikitishwa, najiuliza ivi tatizo ni nini? wananchi tumekosea wapi! mbona tunakosa thamani kiasi hichi!
Yan watu tumekuwa na siasa siasa kwa kila Jambo. Inakatisha tamaa sana kuwa na aina hii ya maisha.
Abbass Hassan nadhani ndio kiongozi duni zaidi kichwani kwenye awamu hii baada ya MakondaDkt.Abas mkumbuke na utu basi hata kama ni siasa
Abasi yupi? Huyo Dr akiyekwiba vyeti asiye na weledi au Abas mwingine?Kumbe Abbas anawanyima usingizi mtakonda mwaka huu.
Vipo viwanja Viwili Utaamua Kuamini kipi Mimi nineamini cha Juu hahahahaView attachment 1597130View attachment 1597131
Pamoja na siasa zinazoendelea wakati huu wa uchaguzi lakini hatupaswi kumuweka Mungu pembeni.
Huu uongo ulitungwa kwa faida ya nani. Hizi ni dharau kwa watanzania. Ajabu lingine ni kwamba mnaona RAHA kuogopwa kwa kiwango hiki kama Mungu? Pamoja na uharibifu wote huu lakini hakuna chombo chochote cha habari kilichohoji. Jisikie aibu