CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!

CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!

Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Mkuu ccm haiogopi box la kura, huko wanaamua tu watangazwe kwa kura kiasi gani. Tuongelee njia nyingine, sio hiyo ya box la kura. Nguvu ya umma pekee ndio itawatoa, ama kwa mbali mapinduzi ya kijeshi, maana vyombo vya dola ni sehemu ya wafaidika wa keki ya taifa kwa kushirikiana na CCM.
 
Nimefurahi kuona kwamba wapo walioamua kulipigania hili jambo kwa njia tofauti, wapo walioamua kupambana mitandaoni, wapo walioamua kwenda mahakamani, na wapo walioandamana.

Hizo zote zimekuwa ni njia za watanganyika kufikisha ujumbe wao, kwamba hawajaridhishwa na ubovu wa ule mkataba, ulioamua kuzitoa sadaka bandari zetu zote ndani ya Tanganyika.

Mwisho wa siku naamini jambo moja, kama Samia ataendelea kuziba masikio, asisikie hizi sauti zote zinazomtaka atuondoe kwenye ule mkataba, basi atambue, siku inakuja, makundi hayo matatu yataungana kwa pamoja, yaamue kufanya jambo moja, chini ya uratibu mmoja.

Ajiandae. Kuwa kiongozi wa watanganyika maana yake ni kusimamia mali zao, lakini sio kuzigawa kwa ndugu na marafiki zako. Ni
Mi nafikiri ajiandae kwenda kwa wajomba zake taratibu
 
Siyo kwa sanduku la kura na kumwachia DED atangaze matokeo. Labda wang'olewe na usalama wa taifa au wapigane fitna kwa kuvujisha Siri au mahakama ziwe huru ili wang'olewe kisheria au Mungu aamue ugomvi.
2025 wakiiba kura tufanye kama yanayotokea France
 
Haiwezekani CCM ijitoe yenyewe madarakani. Inaimiliki tume na miundombinu yote ya uchaguzi - halafu eti tume hiyo ihesabu kura na kumtangaza mwingine!
 
Suala, ndugu yangu, siyo Katiba. Funguka. Kwani Katiba na sheria zilizopo zinafuatwa na Serikali iliyopo madarakani? Mwamko wa wananchi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa ni duni. Hakuna mwanasiasa ambaye ameweza kuwaamsha ndiyo maana kura zao zinaibiwa, vyombo vya usalama vinawanyanyasa wao wanaridhika.Je huu ndiyo uhuru tuliodai? Waliodai Uhuru wamezeeka. Wengi vijana waliopo sasa hawana habari, wanajali kutesa kwa zamu na siyo mstakabali wa Tanzania! Hilo ndiyo tatizo enyi wanasheria mnaopotezea hoja kwenye Katiba.
Sheria na katiba havifuatwi kwasabb katiba yetu imetoa mwanya huo. Katiba imemfanya rais kuwa juu ya sheria na katiba yenyewe, hivyo kupelekea yeye na wateule wale pamoja na wapambe wake kuwa huru kufanya hivyo kwasabb wanafahamu watalindwa na rais ambaye yuko juu ya sheria zote.

Katiba bora hujitetea na kujilinda yenyewe. Kila anayeikanyaga hukuona cha mtema kuni.
 
Bahati mbaya iliyoje ni kwamba maamuzi ya either katiba mpya itungwe ama isitungwe yako mikononi mwa hao hao wafanya madudu
Ni kweli. Na hapa ndipo tunahitaji kuwaelimisha wananchi waamke na kuipambania katiba. Vinginevyo tukae kimya tu.
 
Chama kinapokuwa kwenye autopilot ambayo imewezeshwa na serikali, serikali sets the agenda.
Hapo, anybody anaweza kuwa kiongozi wa idara ya serikali inayoitwa chama.
It's the other way round, chama ndio kina set agenda kupitia Ilani yake, mgombea urais wa CCM, ndie rais wetu na chama ndio kimeshika hatamu za kuendesha serikali, serikali ndio iko kwenye autopilot kwa chaguo lolote la chama ndie ataendesha serikali.
P
 
Mkuu ccm haiogopi box la kura, huko wanaamua tu watangazwe kwa kura kiasi gani. Tuongelee njia nyingine, sio hiyo ya box la kura. Nguvu ya umma pekee ndio itawatoa, ama kwa mbali mapinduzi ya kijeshi, maana vyombo vya dola ni sehemu ya wafaidika wa keki ya taifa kwa kushirikiana na CCM.
The Great truth for more than 100%
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
CCM wanajitoa ufahamu
 
Kama na wewe unadhani kuna siku itafika CCM ipumzishwe, utasubiri sana!.
P
Hata Mobutu Seseseko aliwahi kusema kwamba Wananchi wa Zaire wasitarajie kwamba itafika siku yeye atapumzika kazi ya Urais wa Zaire, akasisitiza kwamba kamwe asingepumzika wala kuacha kazi yake ya urais.Mwisho alihitimisha kwa kusema kwamba yeye (Mobutu Seseseko) ndio Rais wao wa Maisha nchini Zaire.
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Mgeni na CCM nini wewe!
Hatuwezi kuitoa kwa kujificha humu, lazima tutoke hadharani
 
Nimefurahi kuona kwamba wapo walioamua kulipigania hili jambo kwa njia tofauti, wapo walioamua kupambana mitandaoni, wapo walioamua kwenda mahakamani, na wapo walioandamana.

Hizo zote zimekuwa ni njia za watanganyika kufikisha ujumbe wao, kwamba hawajaridhishwa na ubovu wa ule mkataba, ulioamua kuzitoa sadaka bandari zetu zote ndani ya Tanganyika.

Mwisho wa siku naamini jambo moja, kama Samia ataendelea kuziba masikio, asisikie hizi sauti zote zinazomtaka atuondoe kwenye ule mkataba, basi atambue, siku inakuja, makundi hayo matatu yataungana kwa pamoja, yaamue kufanya jambo moja, chini ya uratibu mmoja.

Ajiandae. Kuwa kiongozi wa watanganyika maana yake ni kusimamia mali zao, lakini sio kuzigawa kwa ndugu na marafiki zako.
Mnajifariji wenyewe.
 
Hata Mobutu Seseseko aliwahi kusema kwamba Wananchi wa Zaire wasitarajie kwamba itafika siku yeye atapumzika kazi ya Urais wa Zaire, akasisitiza kwamba kamwe asingepumzika wala kuacha kazi yake ya urais.Mwisho alihitimisha kwa kusema kwamba yeye (Mobutu Seseseko) ndio Rais wao wa Maisha nchini Zaire.
No one is indispensable, human beings, tutakuja na tutapita, ila CCM is not!, itatawala milele kwasababu at the moment it's the only one, and it's the one and only!.
P
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
CCM wakiiba kura watu watafanya nini?

Samia alishasema kwamba mkimpigia kura au msimpigie kura, ana uhakika wa kushinda.

Mlimuelewa hapo?
 
Back
Top Bottom