CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!

CCM, kwa mtaji wa ukakasi wa suala la Bandari, kaeni mguu sawa kung'olewa!

CCM wakiiba kura watu watafanya nini?

Samia alishasema kwamba mkimpigia kura au msimpigie kura, ana uhakika wa kushinda.

Mlimuelewa hapo?
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".

By Jeff's O'Brien.

[Emphasis is added]
 
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".

By Jeff's O'Brien.

[Emphasis is added]
Sawa Professor.
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Sawa kabisa. WATAVUNA WANACHOPANDA. Sababu ya kudharau raia, sababu ya uroho wa hela, safari, magari, hela na matumbo yao.
Kutokuwa WAZALENDO kisa kujiona MIUNGU MITU na raia hawawezi kuwafanya chochote!😠😡🤬😫😩😣
 
It's the other way round, chama ndio kina set agenda kupitia Ilani yake, mgombea urais wa CCM, ndie rais wetu na chama ndio kimeshika hatamu za kuendesha serikali, serikali ndio iko kwenye autopilot kwa chaguo lolote la chama ndie ataendesha serikali.
P
Sijaiona Ilani ya CCM, inayoruhusu kuuzwa/kukodishwa/kubinafsishwa bandari zote za nchi hii.
Thats political suicide, na ndicho tunachopitia sasa.
 
Huu ni ukweli mchungu!.
P
Tunaowategemea hawajiamini na wala hawaoneshi dalili za kushika madaraka.

Tusiowataka wanaendelea kita mizizi.

Kwa demokrasia kuitoa CCM na masalia yake ni ngumu sana, labda waamue kuonesha dunia kuwa mabadiliko yapo.

Tatizo la Watanzania twaongea sana mitandaoni na kwenda kwenye mikutano ila sasa kupiga kura watu hawajitokezi.

Kama wapiga kura wangekuwa wanafika hata Milioni 25 hakika tungesema hapa CCM ipo siku itaondoka.

Siipendi CCM na sijawahi wachagua, na sitawachagua ila kura zetu hazitoshi.

Chadema wanapaswa shiriki uchaguzi wa 2024 ili kujiandaa na 2025 hata kama katiba itakuwa haijapatikana
 
Time and generation can sort out everything chukua vijana wenye miaka 30 kurudi chini waulize ccm na andazi unachagua nini atakujibu ngoja hichi kizazi cha kina wasira na warioba kiishe kuna siku tutaongea lugha moja.
Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.
 
Ny
Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.
Nyie watu wajinga wajinga hamuoni suala la sovereighnity ya nchi.
Kazi kufikiria matumbo yenu a vizazi vyenu.
Pathetic.
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
KWELI KABISA HILI..
 
Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.
Chuma ni imara, hufika muda kikaliwa na kutu.
Tujali maslahi ya Watanzania kwanza.
 
Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , usiwe na shaka yoyote na Watanzania ni watu poa, hata uwafanyie nini, ukifika muda wa kuchagua ni kile kile chetu chama numberi uno!.
P
Unatia hasira japo ni uhuru wako kuongea.
Lakini mtu kama wewe una nafasi kushauri na kuelekeza kwa taaluma zako zote 2.
Unatudhihaki sana.
 
Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.

Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.

Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.

Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.

Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.

Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.

Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Wenyewe wanafikiri wananchi wataendelea kuwa wajinga siku zote, je kuna mtawala hapa duniani alikuwa na nguvu kama Albashir wa sudan au hata jpm, busara ni kuwaheshimu wenye nchi.
 
Suala, ndugu yangu, siyo Katiba. Funguka. Kwani Katiba na sheria zilizopo zinafuatwa na Serikali iliyopo madarakani? Mwamko wa wananchi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa ni duni. Hakuna mwanasiasa ambaye ameweza kuwaamsha ndiyo maana kura zao zinaibiwa, vyombo vya usalama vinawanyanyasa wao wanaridhika.Je huu ndiyo uhuru tuliodai? Waliodai Uhuru wamezeeka. Wengi vijana waliopo sasa hawana habari, wanajali kutesa kwa zamu na siyo mstakabali wa Tanzania! Hilo ndiyo tatizo enyi wanasheria mnaopotezea hoja kwenye Katiba.
Usikate tamaa.
 
Back
Top Bottom