John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
In this world, nothing is perpetual!No one is indispensable, human beings, tutakuja na tutapita, ila CCM is not!, itatawala milele kwasababu at the moment it's the only one, and it's the one and only!.
P
"Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".CCM wakiiba kura watu watafanya nini?
Samia alishasema kwamba mkimpigia kura au msimpigie kura, ana uhakika wa kushinda.
Mlimuelewa hapo?
Sawa Professor."Njia pekee ambayo wananchi wataitumia katika kuzungumza au kujadiliana na watawala wao ambao ni madikteta ili kufikia muafaka wenye maslahi kwa pande zote mbili ni kwa KUPITIA MTUTU WA BUNDUKI".
By Jeff's O'Brien.
[Emphasis is added]
Ndiyo solution hiiKwa hiyo unamaanisha kwamba labda mungu aingilie hili bifu [emoji1787] kati yetu na hao
Sawa kabisa. WATAVUNA WANACHOPANDA. Sababu ya kudharau raia, sababu ya uroho wa hela, safari, magari, hela na matumbo yao.Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.
Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.
Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.
Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.
Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.
Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.
Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Wao ndio majanguli.. Jeshi la maji la kazi gani wakati maji yote ni mali ya dubai [emoji1787][emoji1787]Kinachosikitisha ni taasisi kama Ualama wa Taifa, taasisi za kizalendo na zilizo ndani ya roho ya utaifa wa Tanzania, najiuliza kuwa huu ukakasi hawakuuona na kuuchukulia hatua?
Sijaiona Ilani ya CCM, inayoruhusu kuuzwa/kukodishwa/kubinafsishwa bandari zote za nchi hii.It's the other way round, chama ndio kina set agenda kupitia Ilani yake, mgombea urais wa CCM, ndie rais wetu na chama ndio kimeshika hatamu za kuendesha serikali, serikali ndio iko kwenye autopilot kwa chaguo lolote la chama ndie ataendesha serikali.
P
Tunaowategemea hawajiamini na wala hawaoneshi dalili za kushika madaraka.Huu ni ukweli mchungu!.
P
Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.Time and generation can sort out everything chukua vijana wenye miaka 30 kurudi chini waulize ccm na andazi unachagua nini atakujibu ngoja hichi kizazi cha kina wasira na warioba kiishe kuna siku tutaongea lugha moja.
Nyie watu wajinga wajinga hamuoni suala la sovereighnity ya nchi.Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.
KWELI KABISA HILI..Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.
Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.
Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.
Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.
Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.
Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.
Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Chuma ni imara, hufika muda kikaliwa na kutu.Ccm ni taasisi imara sio kama chadema, cuf na Act wazalendo. Wakiondoka wakina wasira usisahau wanakuja wakina Riziwani, makamba Jr nk nk. Leo jiukize kaondoka maalim sef nani mbadala wake, leo yupo mbowe unaona ht wakiandaa mbadala wake.
Watanzania wataitwaa nchi yao..Tanzania ni nchi yetu, Watanzania ni watu wetu, CCM ni chama chetu, na wapiga kura ni kura zetu, huwezi kuiba kitu ambacho ni chako, ni unachukua tuu.
P
Unatia hasira japo ni uhuru wako kuongea.Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , usiwe na shaka yoyote na Watanzania ni watu poa, hata uwafanyie nini, ukifika muda wa kuchagua ni kile kile chetu chama numberi uno!.
P
Wenyewe wanafikiri wananchi wataendelea kuwa wajinga siku zote, je kuna mtawala hapa duniani alikuwa na nguvu kama Albashir wa sudan au hata jpm, busara ni kuwaheshimu wenye nchi.Suala la Bandari linajadiliwa kwa marefu na mapana kila kona ya nchi.
Maandamano ya vyama vya upinzani yameshaanza mikoani kupinga suala zima la ubinafsishaji/uuzwaji/ukodishaji, au hata kuigawa bure Bandari yetu na nyingine Tanzania.
Tukubali tusikubali, serikali ya CCM imeingia mkenge mkubwa kutwajulisha wenye nchi juu ya rasilimali kubwa na zinazotaka kubinafsihwa kwa kampuni ya kutoka Dubai DP World.
Suala si kubinafsisha tu, suala ni mustakabali mzima wa kisiasa, na kushindwa kwa serikali kuelezea kwa maneno mepesi na yanayoeleweka juu ya ubinafsishaji huu wa Bandari zetu.
Kama CCM haikuliona hili kuwa suala zito basi sasa ifungue macho, 2025 siyo mbali. Mimi ni kada wa chama, na kwa yote tunyoyaona mitandaoni na maelezo yasiyoeleweka kutoka Wizara husika ya Ujenzi, mikataba inayotuchanganya, bunge linaloitikia ndiyoooo, bila uchambuzi wa kina, basi kwa CCM huu ni mtaji mbaya.
Yote haya hayaleti imani kwa CCM, na huku mitaani inanyooshewa kidole cha lawama.
Mtaji huu wa mikataba ambayo ni kama tumefumbwa macho na wanannchi hawana elimu ya kutosha, CCM itavuna kama inavyostahili.
Usikate tamaa.Suala, ndugu yangu, siyo Katiba. Funguka. Kwani Katiba na sheria zilizopo zinafuatwa na Serikali iliyopo madarakani? Mwamko wa wananchi wa Tanzania kwa kiasi kikubwa ni duni. Hakuna mwanasiasa ambaye ameweza kuwaamsha ndiyo maana kura zao zinaibiwa, vyombo vya usalama vinawanyanyasa wao wanaridhika.Je huu ndiyo uhuru tuliodai? Waliodai Uhuru wamezeeka. Wengi vijana waliopo sasa hawana habari, wanajali kutesa kwa zamu na siyo mstakabali wa Tanzania! Hilo ndiyo tatizo enyi wanasheria mnaopotezea hoja kwenye Katiba.
Chuma chenyewe cha reli Sasa mpk kiliwe na kutu c mtakesha Maisha?Chuma ni imara, hufika muda kikaliwa na kutu.
Tujali maslahi ya Watanzania kwanza.
Tulia wewe, tunajenga nchi kelele hazikosekani kwenye jambo kubwa kama hiloNy
Nyie watu wajinga wajinga hamuoni suala la sovereighnity ya nchi.
Kazi kufikiria matumbo yenu a vizazi vyenu.
Pathetic.
Kama ni hivyo ni kitu gani kilimtia kiwewe Magufuli akafanya uchafuzi badala ya uchaguzi 2020? Ndiyo kusema tutarajie tena uchafuzi 2025?Mkuu Jidu, Jidu La Mabambasi , usiwe na shaka yoyote na Watanzania ni watu poa, hata uwafanyie nini, ukifika muda wa kuchagua ni kile kile chetu chama numberi uno!.
P
Insonekana ndio mliomsindikiza chief Mangungo kununuliwa.Tulia wewe, tunajenga nchi kelele hazikosekani kwenye jambo kubwa kama hilo