CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne

MAKONDA FOR CHAIRMAN[emoji736]

Ni haki yake kama mtanzania mwingine yeyote yule nchini.

Ukiachana na wahuni walioko CCM kwa sasa,"Asali Boyz"
Na washirika wao kina Zitto,kinachoendelea nchi hii ni kuwaharibia watu majina kwa tuhuma za kutengeneza ili wachafuke kisiasa.

Hakuna mahakama ambayo iliwahi kumtia Makonda hatiani kwa Jinai yoyote ile mpaka sasa.

Kwa hiyo anayo haki kwenda kukitumikia chama chake.
Nyinyi CDM mnaomkataa Makonda CCM anzeni kwanza ya huko kwenu,kwa kumkataa Mbowe,ambaye alikwishapatikana na kesi ya kujibu.

Sabaya meenyewe amewashinda,mmebaki kumtesa kihuni tu,kwa kuwa genge lenu ndio limeshika mpini kwz sasa.
 
Madawa ya kulevya? Hujui kitu wewe ungenyamaza. Yeye ndio alikuwa akiwapa support Kinje na wengine kufanya biashara smoothly. Au ulikuwa hujaja mjini?
Alipomtaja Mbowe madawa ya kulevya yakaisha ufipa
 
Chama Twawala kina makundi ya aina yote unayoyajua wewe mjini yaani vibaka,majambazi,wabakaji,waroho wa madaraka,nk.Sasa kwa mukitadha huo, kwanini Muhuni Makonda asipewe uenyekiti wakati Muhuni Herry James ni DC!
Hata chadema mnao wengi sana,myamaza tusije kuwaumbua humu.
 
Yaani hujui hata unaongelea nini?. Yaani wanaccm wakimkataa Makonda kwa uhuni wake basi wao ni Chadema? Very stupid thinking. Nyie vijana mkoje? Ndio nyie mnasababisha chama kionekane kiko mikononi mwa wajinga kwa vile hamjui hata madhara ya jambo hilo.
Chama kikichukiwa kwenu ni sawa kwa vile mnajuwa dola itatumika katika chaguzi, jee kuna guarantee kuwa ya miaka ya nyuma yatakuwa na nafasi tena?
 
Hata chadema mnao wengi sana,myamaza tusije kuwaumbua humu.
Aliyekwambia mimi ni mwana-CHADEMA ni nani?
Kwaiyo mtu akichangia uzi wa siasa ni muumini wa vyama vyenu vinavyoendesha siasa uchwara.
 
Sasa wewe nalichadema lako mambo ya ccm yanakuhusu kivipi
 

Hebu tuwekee hapa ushahidi wa Makonda kutamka anagombea akisema katumwa na mama, ili tujadili #Vinginevyo wewe ndiyo uache kumtaja taja Namba moja kirahisi. 🙏🙏🙏
 
Kumpa Uenyrkiti wa CCM mkoa wa Mwanza Makonda ni dharau kwa CCM na tusi kubwa.
 
Ni vema wakimpa hicho cheo kwa jina lake halali la ubatizo analofahamika nalo kule kolomije la Bashite.
 
Uchaguzi ndani ya ccm anayeamua ni Mwenyekiti wenu? Sasa uchaguzi wa nini? Hovyo sana
 
Duru za siri zinaonyesha mkuu wa mkoa msitaafu bwana Paul Makonda anaenda kuwa mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa Mwanza kwa kumtoa mwenyekiti wa sasa asiye na faida yoyote bwana Anthony Diallo.

Bwana Diallo alikera wengi alipotoka hadharani na kukosoa utawala wa hayati Magufuli, hivyo wadau wengi wanamuona ni kigeugeu atakayekuja kuponda pia utawala wa rais Samia hivyo lazima ang'olewe mapema.
 
Sawa tu hata awe mwenyekiti taifa mana anayohaki hiyo kwa mujibu wa katiba.

#MaendeleoHayanaChama
 
CCM imelaaniwa.
Chama hiki kimeshindwa kutumia rasilimali asilia za nchi kuleta maendeleo kwa wananchi badala yake kinatumia tozo na mikopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…