CCM Mwanza na Mkakati wa Kumpa Makonda Uenyekiti (M) ni Aibu ya Karne


Kwamba ukikosoa tu cheo huna? Sasa ni siasa gani hizo?
Mama mwenyewe anasemaje?
 
Wala haishangazi,ndio akili za ccm zilipoishia,hawana jipya,mazwazwa,machawa,waropokaji ndio wanaongoza chama,akili kubwa zinaogopwa kama ukoma ndani ya ccm,ukiwa mtu wa hovyo hovyo,yes man yes man,chawa,ndio unapewa nafasi,watu wenye akili kama Antony Mtaka, wanaogopwa balaa!!
Huyu mwamba ana akili kuriko waziri mkuu,ila siku akijaribu kuiweka nyota yake juu,atazimwa fasta.
 
Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.

Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Inabidi uende milembe ukapimwe sio bure
 
Vyeti mtu mwenyewe Hana then anataka Uenyekiti labda kwa Ccm kumejaa vilaza Kama yeye wa Darasa la saba Nothing Else
 
Acha wafu wazike wafu wenzao
 
Yaani nyamitako huyu huyu awe Mwenyekiti wa mkoa wangu wa Mwanza? Over my dead body.
 
Huko CCM uovu ni sifa inayopendwa. Zaidi wanaunganishwa na uovu. Mimi naujua uovu wako, hivyo hutanifanya chochote hata nikifanya uovu gani. Wewe unaujua uovu wangu, basi nami sikufanyi chochote.

Wevi wa Escrow,mmoja alikuwa mwenyekiti wa mkoa wa CCM. Wengine walikuwa makada.

Mabina aliyewahi kuwa mwenyekiti wa CCM,bustoria yake, anatajwa kwamba alikuwa jambazi muuji ziwani, akipora engines za wavuvi.

Kumkataa Makonda kuwa kiongozi wa CCM itakuwa ni kumwonea. Mbona waovu wengi wa CCM vi viongozi huko CCM.
 
Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.

Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Mkuu unataka Mbowe na watu wake wakaishi wapi?
 
Yaani Makonda ampindue Dr Dialo?
Kwani yeye haruhusiwi kugombea? Kura itaamua na si maneno ya kwenye mitandao, kila mtu ana haki ya kugombea nafasi yoyote katika nchi hii irimradi anakidhi vigezo na utaratibu uliowekwa.
 
Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.

Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Hao madogo wakipewa nchi watakuwa na utajiri wa ajabu sana hata wakina Elon hawatawafikia na matajiri wa nchi hii watakoma
 
Vijana waliobakia na wanafaa kutuvusha na wana udhubutu chanya kwa maendeleo ya jamii na Mchi yetu

1. Mimi mwenyewe
2. Paulo Makonda
3. Joel Mpina


Japo nature ya dunia ilivyo ukiwa mleta mabadiliko katika famili, jamii yako na Taifa tegemea kukumbwa na kila zaga zaga ikiwemo vimbunga, shutuma, skendo, mitego, n.k
 
Kama ni Kweli wamedhamiria basi mkt hawezi kumpitisha konda sababu alipendezwa na kutukanwa Kwa Magu kupitia Diallow!!
 
 
Konda boy alifutwa ktk Ulimwengu wa Roho kisiasa.

Jitihada zozote za kumpambania ktk siasa ni kupoteza muda na raslimali pesa.

Nashauri ATUBU na Aombewe kwanza Ili mambo yaende sawa.

Ameeeen.
 
Konda boy alifutwa ktk Ulimwengu wa Roho kisiasa.

Jitihada zozote za kumpambania ktk siasa ni kupoteza muda na raslimali pesa.

Nashauri ATUBU na Aombewe kwanza Ili mambo yaende sawa.

Ameeeen.
Tusiongee sana tusubiri mda haudanganyi!
 

Attachments

  • Screenshot_2022-10-21-09-24-30-856_com.android.chrome.jpg
    139.9 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…