Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Duru za siri zinaonyesha mkuu wa mkoa msitaafu bwana Paul Makonda anaenda kuwa mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa Mwanza kwa kumtoa mwenyekiti wa sasa asiye na faida yoyote bwana Anthony Diallo.
Bwana Diallo alikera wengi alipotoka hadharani na kukosoa utawala wa hayati Magufuli, hivyo wadau wengi wanamuona ni kigeugeu atakayekuja kuponda pia utawala wa rais Samia hivyo lazima ang'olewe mapema.
Nenda kamkosoe Mbowe alafu usubiri majibuKwamba ukikosoa tu cheo huna? Sasa ni siasa gani hizo?
Mama mwenyewe anasemaje?
Nikajua ulishajizika huko Chato!Nenda kamkosoe Mbowe alafu usubiri majibu
Wala haishangazi,ndio akili za ccm zilipoishia,hawana jipya,mazwazwa,machawa,waropokaji ndio wanaongoza chama,akili kubwa zinaogopwa kama ukoma ndani ya ccm,ukiwa mtu wa hovyo hovyo,yes man yes man,chawa,ndio unapewa nafasi,watu wenye akili kama Antony Mtaka, wanaogopwa balaa!!Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Inabidi uende milembe ukapimwe sio bureMakonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.
Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Acha wafu wazike wafu wenzaoHii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Mkuu unataka Mbowe na watu wake wakaishi wapi?Makonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.
Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Kwani yeye haruhusiwi kugombea? Kura itaamua na si maneno ya kwenye mitandao, kila mtu ana haki ya kugombea nafasi yoyote katika nchi hii irimradi anakidhi vigezo na utaratibu uliowekwa.Yaani Makonda ampindue Dr Dialo?
Hao madogo wakipewa nchi watakuwa na utajiri wa ajabu sana hata wakina Elon hawatawafikia na matajiri wa nchi hii watakomaMakonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.
Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia
Hana mbowe alikuwa na kesi ya ugaidi na aliendelea kuwa mwenyekiti.Hiyo mbwa ina kesi ya uporaji na mauaji, hayo ma idiots ndio yanataka awe kiongozi wao!!!
Kama ni Kweli wamedhamiria basi mkt hawezi kumpitisha konda sababu alipendezwa na kutukanwa Kwa Magu kupitia Diallow!!Duru za siri zinaonyesha mkuu wa mkoa msitaafu bwana Paul Makonda anaenda kuwa mwenyekiti wa ccm wa mkoa wa Mwanza kwa kumtoa mwenyekiti wa sasa asiye na faida yoyote bwana Anthony Diallo.
Bwana Diallo alikera wengi alipotoka hadharani na kukosoa utawala wa hayati Magufuli, hivyo wadau wengi wanamuona ni kigeugeu atakayekuja kuponda pia utawala wa rais Samia hivyo lazima ang'olewe mapema.
Hii ni aibu kubwa. Eti CCM mkoa Mwanza kuna mkakati unafanywa wakisaidiwa na wapambe toka HQ kuhakikisha uchaguzi wa mwenyekiti wa mkoa anakuwa Makonda iwe isiwe kwani eti yuko karibu na mama jambo ambalo sio kweli na mama mwenyekiti taifa hawezi kuagiza mtu kama Makonda mwenye kashfa kibao kama Makonda ampigie debe.
Msichafue chama kwa kuruhusu mkoa mkubwa kama huo kumpa muhuni aongoze.
Malalamiko ya chini chini sio mazuri maana yanaweza tumika katika uchaguzi mkuu
Sasa ndi atachaguliwa! Mtu mwingine anayeweza kuchaguliwa ni Meck Sadick!Yaani nyamitako huyu huyu awe Mwenyekiti wa mkoa wangu wa Mwanza? Over my dead body.
Tusiongee sana tusubiri mda haudanganyi!Konda boy alifutwa ktk Ulimwengu wa Roho kisiasa.
Jitihada zozote za kumpambania ktk siasa ni kupoteza muda na raslimali pesa.
Nashauri ATUBU na Aombewe kwanza Ili mambo yaende sawa.
Ameeeen.
Sawa mama KeeganMakonda anafaa kuwa rais wa nchi hii na waziri mkuu awe Sabaya. Tutaaga umaskini haraka.
Kuwa mwenyekiti wa mkoa ni halali. Naenda kumkampenia