CCM na Serikali jibuni hoja za Humphrey Polepole, msimzime kidola

Exactly kama ambavyo watangulizi wake, tukimnukuu Nappe, walivyoweza kufanya mengi ambayo hayakuwa kwenye ilani mfano :kuhamia Dodoma, ujenzi wa UDOM, bwawa la Nyerere, mchakato wa Katiba mpya etc...
 
Wacha panda arushe mateke, kiroboto ni mdudu kadogo sana
 
Wapi katika imetamka neno Awamu? Weka icho kipengele
Hakuna scenario yoyote ambayo itamuondoa Rais aliyepo madarakani na kumuweka mwingine kama haipo kikatiba, na hizo sababu zipo iwe, kifo, ugonjwa (kutokutimiza majukumu yake) n.k

Kila awamu inakuwa na Rais ana makamu wake, Samia alikuwa ni makamu wa Rais wa serikali ya awamu ya tano, Magufuli akiwa ndie Rais, hawa walikuwa timu moja ya awamu moja, kwasababu ya kifo Magufuli akampisha Samia anamalizia muda uliobaki.

Katiba imetamka neno term, na hii term ndio alikuwepo Magufuli kama kiongozi na Samia kama msaidizi, huwezi kuifuta hii term kwasababu tu Magufuli alifariki wakati msaidizi wake bado anaiendeleza, ndio maana nae husema "kazi iendelee" kazi ipi hiyo? ya awamu ya tano.

Usiishi kwa kukariri makosa ya mazoea yaliyofanywa na CCM huko Zanzibar, tafuta vitu vingine uone vinasema nini kuhusu hili suala, kwamba CCM wanalitumia neno "awamu" pale wanapobadilisha sura ya aliyepo madarakani, hili ni batili kwasababu halipo kisheria.
 
Hakuna scenario yoyote ambayo itamuondoa Rais aliyepo madarakani na kumuweka mwingine kama haipo kikatiba, na hizo sababu zipo iwe, kifo, ugonjwa (kutokutimiza majukumu yake) n.k..
Acha kuzunguka! Ni kipengele kipi cha katiba kimetamka neno Awamu?

Ilo kosa linapatikana kichwani kwako na kwa Polepole na sio kwenye Katiba?

Nyie ni wapuuzi na washamba tu
 
Karudi kusoma katiba katika hiki kipingele
Article 40 (2) inasema; No person shall be elected more than twice to hold office.

Hapa maana yake ni kwamba; hiki kipindi alichopo Samia kama Rais sasa hivi hakuchaguliwa na wananchi kwa kura (elected), ila akianza chake anaweza kuchaguliwa mara mbili kwa kupigiwa kura na wananchi.

Hapa tena naona kuna maneno mawili yanakuja kwenye kichwa changu.

- Appointed: ambapo hapa ndipo Samia aliposimama kama Rais wa JMT kwa wakati huu.

- Elected: Hapa ni pale atakapopigiwa kura na wananchi kuwa Rais wa JMT.
 
Acha kuzunguka! Ni kipengele kipi cha katiba kimetamka neno Awamu?

Ilo kosa linapatikana kichwani kwako na kwa Polepole na sio kwenye Katiba?

Nyie ni wapuuzi na washamba tu
Kumbe wewe ni mjinga tu ulieamua kuendelea kuishi kwenye tope la fikra huku ukiwatisha watu na polisi wenu, Polepole anapenda sana kuwahangaisha mazuzu wa sampuli yako, endelea kuimba mapambio ya Samia.
 
Kumbe wewe ni mjinga tu ulieamua kuendelea kuishi kwenye tope la fikra huku ukiwatisha watu na polisi wenu, Polepole anapenda sana kuwahangaisha mazuzu wa sampuli yako, endelea kuimba mapambio ya Samia.
Acha maneno! Wewe na polepole nileteeni kifungu cha Katiba kinachotamka nano Awamu.

Kuna Milioni mbili hapa kwa kila mmoja wenu
 
Polepole for presidency
[emoji3581][emoji3581][emoji3581]
 
Mataga wakisikia anaweza kuongoza hadi 2035 itakuwa mtafaruku mkubwa sana
Kiturilo Crimea jingalao YEHODAYA
 
Mimi naomba nikubaliane na wewe, kwamba hii anamalizia awamu ya 5, halafu 2025 ndio anaanza term ya kwanza ya awamu ya 6, kwahiyo anapiga miaka 14 safi bin muruwa.

Hii inaitwa ukimpiga teke chura ndio kwaanza unamuongezea mwendo.

Maana yake ukikaa nshale, ukisimama nshale, utachaguwa mwenyewe kusuka au kunyowa.
 
Iyo tafsiri ya Awamu umeitoa wapi?

ZANZIBAR kuna Awamu ya 8 saivi Polepole amewai kuwa hadi mwenezi wa CCM ulimsikia wapi akihoji hayo?

Mwambie Polepole kuna matokeo ya kumdharau Amiri Jeshi Mkuu.

Kama anataka kuyapata Safari hii atayapata!
Atayapata ma Nini? Na huo ndio udhaifu wenu vitisho wakati mnapaswa kumjibu tu.
Mlishafirisika hoja muda Sana.
 
Hangaya anataka aonekane kwamba kipindi alichopo ni kipindi cha kwanza cha awamu ya sita, ili apate justification ya kugombea kipindi cha pili, wakati basically kipindi tulichopo ni kipindi cha pili cha awamu ya tano, na kwa kuwa walijinadi wote na Magu ukomo wake ni 2025, ambapo mchakato mpya wa kuwapata wagombea kwenye vyama kwa ajili awamu ya sita ya urais utafanyika.......tuwe waungwana tuache janja janja...
 
🤔🤔🤔 Lkn mkuu yericko tang lini hawa jamaa wakajibu hoja kwa hoja? Hata kipind slow slow akila cake ya Taifa ndo ilikua mbaya zaid toa hoja inapingwa kwa kuteswa au kutekwa, over!!
 
nimekuelewa sana ila naomba ufafanuzi, iwapo Samia atagombea je mchakato wa kupitisha jina la mgombea(akiwemo Samia)utapitia mchujo wa kumpambanisha na wana ccm wengine na akipita inamaana awamu yake ndiyoinaanza hapo that means anapiga miaka 10 +na hii ya Magufuli anatawala 15yrs? kwa kupitia hoja yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…