Hapa kwa tabia ya CCM mwenyekiti wao huwa wanamuacha apite bila kupingwa, huwa wanatoa form moja tu kwa ajili ya kuomba nafasi ya kugombea urais, labda kama kwa Samia wataenda kinyume na huu utaratibu wao waliojiwekea siku za nyuma.nimekuelewa sana ila naomba ufafanuzi, iwapo Samia atagombea je mchakato wa kupitisha jina la mgombea(akiwemo Samia)utapitia mchujo wa kumpambanisha na wana ccm wengine na akipita inamaana awamu yake ndiyoinaanza hapo that means anapiga miaka 10 +na hii ya Magufuli anatawala 15yrs? kwa kupitia hoja yako
#kataawahuni
Swali hili ilitakiwa Polepole alijibu!Kama Samia anamalizia tu kipindi cha awamu ya tano ya Magufuli na hii sio awamu yake basi ataruhusiwa kugombea tena kwa vipindi viwili, mwaka 2025 na mwaka 2030.
Pole pole ni kiroboto pro max na mnafikiIyo tafsiri ya Awamu umeitoa wapi?
ZANZIBAR kuna Awamu ya 8 saivi Polepole amewai kuwa hadi mwenezi wa CCM ulimsikia wapi akihoji hayo?
Mwambie Polepole kuna matokeo ya kumdharau Amiri Jeshi Mkuu.
Kama anataka kuyapata Safari hii atayapata!
Anapumzika. Amemaliza hawamu yao ya tangu 2015-2025. Kilichotokea ndo hivyo kikatiba imempasa kumalizia safari waliyotuhaidi sisi wananchi Akiwa yeye kama msaidizi na Dreva mkuu katika ilani ya kurasa 303 ya 2020. Dreva kapata tatzo katkati ya safari Msaidizi kashika usukani kukamilisha mkataba wetu 2025 bila kubadri wala kuathiri masharti ya mkata wetu na wao ya Mwaka 2020.Akimaliza kutekeleza ilani ya awamu ya tano ndio ataanza kutekeleza awamu mpya ya sita kutoka 2025 hadi 2035 kama akipata ridhaa ya chama chako na akachaguliwa na wananchi?
... Katiba inasema endapo rais "aliyerithi" atarithi pungufu ya miaka mitatu, atakuwa na haki ya kugombea na kuchaguliwa zaidi ya mara moja; i.e. mihula mwili max. Ila endapo atarithi zaidi ya miaka mitatu atakuwa na haki ya kugombea mara moja tu; Samia anaangukia hapa....
Watake wasitake, Samia kisheria anamalizia muda uliobaki wa awamu ya tano, kama akitaka kugombea tena 2025 ndio ataianza awamu ya sita, hii ni sheria inavyosema sio kelele.
Akimaliza kutekeleza ilani ya awamu ya tano ndio ataanza kutekeleza awamu mpya ya sita kutoka 2025 hadi 2035 kama akipata ridhaa ya chama chako na akachaguliwa na wananchi?Anapumzika. Amemaliza hawamu yao ya tangu 2015-2025. Kilichotokea ndo hivyo kikatiba imempasa kumalizia safari waliyotuhaidi sisi wananchi Akiwa yeye kama msaidizi na Dreva mkuu katika ilani ya kurasa 303 ya 2020. Dreva kapata tatzo katkati ya safari Msaidizi kashika usukani kukamilisha mkataba
Kwani "awamu" maana yake nini? Nyere alifanya kwa miaka 24 lakini inahesabika awamu ya kwanza. Kumbe awau siyo miaka Bali aingiapo Rais mpya. Rais Samia ni wa awamu ya sita.CCM NA SERIKALI JIBUNI HOJA ZA POLEPOLE, MSIMZIME KIDOLA.
Na Yericko Nyerere
Kinga uliyonayo ni kwa muda tu, hakuna kinga ya kudumu, Hata Job Ndugai na wenzake kinga walizojiwekea kipindi walipokuwa kwenye dibwi la
CCM NA SERIKALI JIBUNI HOJA ZA POLEPOLE, MSIMZIME KIDOLA.
Na Yericko Nyerere
Kinga uliyonayo ni kwa muda tu, hakuna kinga ya kudumu, Hata Job Ndugai na wenzake kinga walizojiwekea kipindi walipokuwa kwenye dibwi la kuvunja haki za watu na kuvunja Katiba ya Tanzania, ina muda mfupi sana wataanza kutoa nachozi ya samaki soon. Hivi ndivyo wahenga husema,
Kasome Katiba.Unatokaje awamu ya tano kwenda ya sita bila kupewa ridhaa na Watanzania wengi?
Ilani anayoitekeleza ni ya awamu ya tano au ya sita?
Iyo tafsiri ya Awamu umeitoa wapi?
Bila shaka wewe ni mvuka bahari.Hili jambo la awamu halipo kikatiba na nilishasema hapa, lipo kimazoea zaidi, muhula wa rais unahesabiwa kwa anaeingia madarakani ( rais wa ngapi). Hata akirawala miezi minne, ilimradi ameshika ueais kikatiba ( iwe kwa kura au kuchukua nafasi iliyoachwa wazi kikatiba).
Na sijawahi kusikia au kuona popote pale kuna jambo limekwama au halijatekelezwa kisa mgongano wa neno mhula.
Kuna vitu inabidi tujadili na vichukue muda wetu lakini sio hili la muhula.
Na hata kama hatupendi au hatukurarajia, kwa katiba hii, huyu ndio rais.
Hapa kama kuna mambo ya kuangaziwa, iwe katiba na hivyo vipengere kwamba ikitokea rais aliyeko madarakani ameacha nafasi kwa sababu yeyote ile, utaratibu ubadilike. Ila kwa hii katiba tuliyonayo, hoja ya mihula haina uzito.
Mambo ya marehemu Nkuruzinza wa Burundi ,alikatalia madarakani kuwa miaka 5 ya mwanzo ilikuwa ya mpito kwa hiyo haihesabiwi.Mimi naomba nikubaliane na wewe, kwamba hii anamalizia awamu ya 5, halafu 2025 ndio anaanza term ya kwanza ya awamu ya 6, kwahiyo anapiga miaka 14 safi bin muruwa.
Hii inaitwa ukimpiga teke chura ndio kwaanza unamuongezea mwendo.
Maana yake ukikaa nshale, ukisimama nshale, utachaguwa mwenyewe kusuka au kunyowa.
Kama hakuna tafsiri ya awamu basi yupo sahihiHuyo rais samia anapojitambulisha kama rais wa awamu ya Sita,iyo tafsiri ya awamu ameitoa wapi?
Unahangaika Sana Kupigania Uhai wa Mwendakuzimu urudi, haiwezekaniNa ndiyo maana hii ni awamu ya tano mhula wa pili.
[emoji830]︎ Mhula wa kwanza ulikuwa na ilani ya 2015 - 2020
[emoji830]︎ Mhula wa pili ulikuwa na ilani ya 2020 - 2025
Samia bado anatekeleza ilani ya awamu ya tano mhula wa pili utakaoisha 2025...
This is just common sense.
Yaaa lkn akishindanishwa na wengine ndani ya chama chake. Siyo Kama mgombea pekeee.Kama Samia anamalizia tu kipindi cha awamu ya tano ya Magufuli na hii sio awamu yake basi ataruhusiwa kugombea tena kwa vipindi viwili, mwaka 2025 na mwaka 2030.
Makamu wa Rais anaongoza Kama Rais au Kama Makamu wa Rais?Akili wewe akili zako zitakuwa zimeathiriwa kwa kula sana maurojo.
Katiba yetu inaelekeza kwamba endapo rais aliyemadarakani akishindwa kuendelea na uongozi wake makamu wake ataendelea kuongoza kwa kipindi kilichobaki.
Kwa msingi huo uongozi wa huyu mama urojo ni muendelezo wa awamu ya 5ya marehemu diktator jiwe