Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
- Thread starter
-
- #41
Pia naona CCM wamejitahidi sana kubalance suala la udini ndani yao. Utaona vyama vikubwa vyote vilivyowahi kutikisa. NCCR, CUF na CDM vinakuwa havijabalansi kidini. na ndiyo maana ACT haitafika mbali.Wana siri mbili. Mosi, ni mabingwa wa kuiba kura wakati wa uchaguzi na kuzuia wapinzani wao kufanya siasa kwa uhuru. Pili, Tanzania hakuna upinzani makini wala wa maana....
Iko kwenye sanduku la kuraChama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
🤫Hizi hapa sababu
1. Watanzania ni wajinga wengi hawajasoma
2. Watanzania ni washamba na hawana exposure
3. Watanzania ni waoga
4. Watanzania wengi ni maskini na wana njaa hivyo wananunulika
5. Ccm wanatumia nguvu ya dola na Pesa
6. Hivyo vitu vyote juu vinasababishwa/kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na CCm haohao
Kwann Mchungaji Mtikila hakupa uungwaji mkono wa kutosha kutoka kwa Wananchi.Wana siri mbili. Mosi, ni mabingwa wa kuiba kura wakati wa uchaguzi na kuzuia wapinzani wao kufanya siasa kwa uhuru. Pili, Tanzania hakuna upinzani makini wala wa maana. Wengi ni wapigaji na CCM wanaotumia vyama kama maduka yao ya mifukoni kuganga njaa. Hivi unapokuwa na viongozi kama Lipumba, marehemu Mrema, Mbatia, Cheyo, na Zitto Kabwe unategemea nini? Mpinzani aliyewahi kutokea Tanzania ni shujaa Christopher Mtikila waliyemkolimba.
Sizani Kama watakuelewaMwenge Wa Uhuru..
Sizani Kama watakuelewa/tutakuelewa.kazi ya Fololo Ganze.
Siri yao ni CHAMA TEULE kwa Tanzania iliyoteuliwa na kubarikiwa kwani Nabii Adam(A.S) aliishi Ngorongoro crater......Chama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa. Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.
Acha "umbupu" umetengewa ardhi ya kufugia kule Handeni bado tu unang'ang'ania kuharibu Mazingira hapo Ngorongoro?!!![emoji15][emoji1787]Mimi Jana nimejiondoa CCM rasmi sina chama CCM wamenipora Ardhi yangu
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Hatupendi Vita na vurugu.NI KWEI NIMEGUGO
AFRIKA NZIMA SISIEM NDO CHAMA PEKEE AFRIKA KIMEKAA MADARAKANI TANGU ENZI NA ENZI
ILA INADHIHIRISHA KUWA WATANZANIA NDIO NCHI YENYE WAJINGA WENGI AFRIKA
Zambia wanaongea kiingereza kizuri...imebadilisha nini kwa wananchi wao wa kawaida?!!!Kwasababu ya kunyimwa kuongea kingereza na fursa ya elimu
Hayati Mch.Mtikila na mdomo mchafu wa ubaguzi....kuwabagua wahindi na itikadi hasi za wanadini wengine.....Kwann Mchungaji Mtikila hakupa uungwaji mkono wa kutosha kutoka kwa Wananchi.
Agiza Togwa nakuja kukulipia [emoji2956]Pia naona CCM wamejitahidi sana kubalance suala la udini ndani yao. Utaona vyama vikubwa vyote vilivyowahi kutikisa. NCCR, CUF na CDM vinakuwa havijabalansi kidini. na ndiyo maana ACT haitafika mbali. Tanzania dini kwenye siasa ni mwiko lakini lina nguvu sana. Chama kuwa na sura ya watu wote ni muhimu sana.
Agiza togwa hapo nina buku lako hapa....[emoji2956]Na bado watakaa sana kwani kiasili ni chama cha kupigania maendeleo ya umma. Upinzani wa ndani kwa ndani umeweza kufanya chama kubakia kwenye msingi wa kujali maslahi ya umma. Hii ndio imesababisha chama kukubalika huku wananchi wakiwa na mashaka na upinzani.
CCM ni imani ya "dola" ya watanzania [emoji120]Kwa Tanzania hii sijaona chama cha kuitoa CCM MADARAKANI mpaka sasa
CCM ni imani ya dola la watanzania.....Siri yao kuu mpaka wakawa madarakani mpaka muda huu ni kusiasisha vyombo vya dola basi.
Siri ni kwamba Tanzania hakuna Upinzani bali kuna waka asali tuChama cha CCM toka kinaitwa TANU na ASP kipo madarakani kwa zaidi ya miaka 60. Ndiyo chama kilichokaa madarakani kwa muda mrefu zaidi barani Africa.
Ni nini siri ya CCM kukaa madarakani kwa muda mrefu namna hii? Ni kwamba wanafanya kazi nzuri sana? Wapinzani wao ni wababaishaji? Au wanasiri nyingine ndani yao inayowafanya wakae madarakani muda mrefu hivyo?
Binafsi naogopa sana kuzeeka nchi ikiwa chini ya CCM.