CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!

CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!

Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Wasirra amesema CCM haitawasikiliza wanaoukataa uwekezaji huo, mpango utaendelea kama ulivyo na ni kauli inayofanana na ya mama.
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Spika mstaafu Mama Makinda alikuwa anamuelewa sana Tundu Lissu na wala mtafaruku huu usingekuwepo!
 
Ni jambo jema

Marekebisho ni hadi DP World wakubali

Wayahudi wakamwambia Pilato " Usiandike Mfalme wa Wayahudi bali andika Huyu alijifanya Mfalme wa Wayahudi"

Pontio Pilato akawaambia " Niliyoandika Nimeyaandika'
Ndo itakuwa hivyo hata kwa watanganyika, kama ambavyo wayahudi hawakuweza kubadili chochote bila ruhusa ya pilato
 
Waliopiga dili kuupitisha wataendelea kuwepo hapo kwenye mkataba, kinachofanyika sahivi wanaona bola nusu shari kuliko kukosa kabisa.
Hapo ni kuuondoa kabisa ili warudishe hizo pesa walizokula
Rushwa huwa hairudishwi, hawa hawa watapewa kazi ya kutafuta mwingine akina JK na Rostam
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Kumekucha !!
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Hizo ni gia za kutaka kurejesha Bungeni wazuge kuwa wanarekebisha ila utakaosainiwa mwisho wa siku ni huu huu?
 
Hizo ni gia za kutaka kurejesha Bungeni wazuge kuwa wanarekebisha ila utakaosainiwa mwisho wa siku ni huu huu?
Tukumbuke kuwa mkataba uliingiwa kinyemela zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Watu wenye uzalendo na nia njema na Taifa ndio waliouvujisha mkataba huu, na watu kusituka.
Sitegemei kama kuna kiongozi serikalini atafanya huu utopolo tena.
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Kuna masikio yalikuwa yamezibwa
 
Tukumbuke kuwa mkataba uliingiwa kinyemela zaidi ya mwaka mmoja uliopita.
Watu wenye uzalendo na nia njema na Taifa ndio waliouvujisha mkataba huu, na watu kusituka.
Sitegemei kama kuna kiongozi serikalini atafanya huu utopolo tena.
Wanaweza kufanya wana jeuri sana
 
Bunge limesharidhia, nyingine zote ni siasa tu!
Katika siasa hakuna mtu conservative kama mkulima.
Mkulima wa kijijini akiamua hakuna bunge wala serikali wanaoweza kuwadhibiti, na ndiko tulikuwa tunaelekea.
Siyo bure kuwa kesi ya kupinga mkataba inafanyika Mbeya, ambako ndiyo makao ya wakulima Nane Nane, na ndiko makao ya Spika.
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.
Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuonywa mara nyingi na wadau, sasa CCM imeanza kuelewa.
Na mimi kada nilionya huko nyuma, CCM ikiendelea kushupaza shingo, itavuna mabua 2025.

Suala la Bandari na DP World CCM ililichukua kirahisi rahisi ikifikiri watu ni wakuelekezwa kibla bila upinzani wowote.
Ambacho CCM imegundua ni kwamba hata ndani ya CCM na serikali yake , mambo si shwari.
Wazee kama Mama Tibaijuka, Waziri Mkuu Mstaafu Warioba(mwanasheria) na wasomi kama Prof Shivji (mwanasheria), wameonya juu ya mapungufu ya mkataba wa Bandari na DP World kwa kitaalamu kabisa.

Baada ya Mkataba huo kupitishwa Bungeni na kutetewa na viongozi wandamizi kama Spika Tulia, bado moto uliendelea kujichochea kwa malalamiko juu ya mkataba huu.
Mbaya zaidi ni wanaharakati kama Wakili Mwabukusi na "banyambala" wa huko Mbeya walioli challenge sual zima la mkataba kwa kulipeleka Mahakamani.

Sasa CCM imeamka usingizi wa pono!
Hawawatumi tena vibaka wa kisiasa, kina Kitenge, Zembwela na Hando kutetea Bandari saga.
Sasa Chongolo Katibu Mkuu mwenyewe ni kiguu na njia kulielezea suala la Bandari nchi nzima.

Huko Mwanza, Chongolo sasa anasema;
"Mkataba huu siyo msahafu wala biblia kusema kuwa hauna dosari, kwani umeandikwa na binadamu"

Anaendelea Chongolo:
"...aliitaka serikali kufanya marekebisho katika maeneo yenye tija katika mkataa huo wa uwekezaji na kuhakikisha yanafanyiwa kazi haraka ili utekelezaji uanze haraka"
Ref Nipashe pg 1, pg 2(31/07/2023).
Hiki ndio watanzania walitaka kisikike kutoka CCM, kuwa;
- kwanza, kuna mkataba ulioingiwa kinyemela,
-pili, mkataba huo una makosa,
-tatu,mkataba huo urekebishwa
-na nne , uwekezaji uendlee kwa kutilia maanani maslahi ya Taifa

Kwa Chongolo kukubali kuwa kulikuwa na makosa, basi tusonge mbele, wenye akili watajua binafsi nani aliteleza.

Yes. Maslahi ya Taifa lazima yawe mbele. Haya ya kukataa wawekezaji au kuleta hoja nyingine mbadala ni kujaribu kuhamisha magoli.
Tunataka maslahi ya Taifa letu yawekwe mbele zaidi ya kitu kingine chochote. Na ni kwaajiri ya sisi na vizazi vyetu
 
Katika siasa hakuna mtu conservative kama mkulima.
Mkulima wa kijijini akiamua hakuna bunge wala serikali wanaoweza kuwadhibiti, na ndiko tulikuwa tunaelekea.
Siyo bure kuwa kesi ya kupinga mkataba inafanyika Mbeya, ambako ndiyo makao ya wakulima Nane Nane, na ndiko makao ya Spika.
Spika amejiangusha mwenyewe..wale wazee wa misimamo Mbeya sijui ataanza nao vipi
 
Jukwaani ni sawa na mdahalo wa wazi, ni ngumu kufake.

Hata chaguzi zetu zingekuwa za WAZI, TIJA ingeonekana.

Nashauri chaguzi zijazo zote,

Tupige KURA ZA WAZI majukwaani na mabarabarani.
 
CCM wasikilize ushauri wa kitaalam kutoka TLS,Lissu,SLaa,Shivji,Mwabukusi etc na si kina MSANDO wachumia Tumbo ambaye amezoea kusaini mikataba ya kupiga show za giggy money na Mapromota mkataba wa page moja tu.
Slaa yupi? Jerry au Wilbroad?
 
Hamna kitu kitabadilishwa kwenye mkataba,


Ccm wamejua tuwakubalie kuwa unamapungufu lakini utekelezaji uendelee kupunguza kelele. Ccm ni laaana, hiki chama kikitolewa madarakana kinatakiwa kitumike kufundishia mashuleni watoto kuwa kama shetani hawajawahi kumuona Tanzania tumeishi nae toka 1977.
 
Back
Top Bottom