CCM sasa tunaelewana, Chongolo amekubali mkataba DP World ulikuwa na makosa! Sasa tusonge mbele!

Zile hoja za kipumbavu za kutumia Dini na Jinsia zinafifia. Maji na Mafuta yanaanza kujitenga.

View attachment 2706226
Kwani hata wakuu wa CCM wanajua fika wamelikoroga kuhusu DP world but ilikua wanachekecha game kama litapoa lkn imekua tofaut. Kibaya zaid uvccm wao ni kushangilia tu hawana facts wala hoja zenye mashiko dhidi ya rasilimali za Taifa, all in all ni suala la muda tu watarudi kutekeleza matakwa ya wanaopinga mkataba wa DP world na kurekebisha mapungufu!!! Hawa vidampa wa posho za buku teni za DP world akina Lord denning Faizafoxy covax GUSSIE choiceVariable HIMARS hawa njaa zinawatesa tu lkn hakuna wanachojua!!!
 
Naona hoja za Wakili Boniface Anyisile Kajujumele Mwabukusi zinawatia uchizi sasa!
 
Duh...
Hii si sawa....
Kwa nini Rais na Mbarawa walisaini mkataba wa namna ile ?....why?....hii ni hujuma nzito sana hili jambo bado lina wingu zito sana....Ni aibu kubwa sana ..
 
Hayawi hayawi hatimae yamekua, naam tulitukanwa hadi mambo ya imani zetu yakaguswa, hatimae ndugu Katibu Mkuu wa CCM amekubali Mkataba ni hovyo na kwamba unahitaji marekebisho, ukumbuke pia Sekretarieti ya Bunge ilitoa waraka kuhusu hii karatasi ya waarabu.

Sasa mliotutukana, sijui mtatutaka radhi! Ila anywasy sihitaji radhi ya mtu yoyote
Your browser is not able to display this video.
 
Ilikua ni suala la muda tu 🤣🤣sasa nawaambien wale vilaza wa mapambio watageuka tena soon, hawa hapa 👇👇
 

Attachments

  • IMG_20220330_194603.jpg
    53.6 KB · Views: 2
Akili wanazo ila ni hayo maslahi yao. Naamini CCM nzima wanaona ubovu wa mkataba kama ulivyoelezwa na nshala, Mwakabuku, Lisu na wengine. Ila kwa vile samia ndiye kinara wa mkataba huo kwa wajomba zake, wanaona watamwaga unga kumkanusha.
Huyu amejitoa mhanga
 
Ningekuwa na uwezo wa kuzichambua michango yenye maana kubwa zaidi humu JF na kuziweka mahala pake penye uzito stahiki ningefanya hivyo..., na huu mchango wako hapa ungekuwa katika kundi hilo maalum.

Asante sana mkuu 'Verrazanno' kwa mchango wako huu wenye maana kubwa sana.
 
Mkuu soma tu alama za nyakati.
CCM na serikali kisiasa iko katika panic mode.
Ni vyema wakajisahihisha, kama Katibu Mkuu Chongolo anavyosema.
Sitafuti mgogoro kati yetu, wewe na mimi, lakini ukweli ni kuwa huitendei haki nafsi yako hata kidogo unaposema "CCM kujisahihisha."

CCM kama ilivyo sasa haiwezi kamwe kujisahihisha. Mfumo unaotawala ndani ya chama hicho kwa sasa hivi hauruhusu kujisahihisha.
 
Na kwakua dp world ni ccm wenyewe ngumu haipo

Hao waarabu ni utandu tu
 
Ni jambo jema

Marekebisho ni hadi DP World wakubali

Wayahudi wakamwambia Pilato " Usiandike Mfalme wa Wayahudi bali andika Huyu alijifanya Mfalme wa Wayahudi"

Pontio Pilato akawaambia " Niliyoandika Nimeyaandika'
Kwamba aliegaiwa bandari anaombwa arudishe!!!

Wanaosemwa wanatukanwa ktk hili nadhani hawajui hasira walizonazo wananchi ktk hili.

Tusubiri.
 
Kwamba aliegaiwa bandari anaombwa arudishe!!!

Wanaosemwa wanatukanwa ktk hili nadhani hawajui hasira walizonazo wananchi ktk hili.

Tusubiri.
Basi Yuda Iskarioti akajuta Sana akawarudishia vile vipande 30 wale Wayahudi nao wakamuuliza " Sasa tufanye nazo nini sisi Hizo fedha zenye laana?"
 
Mkuu sera za CCM toka miaka ya Mwalimu ni Tujisahihishe.
CCM kupitia Katibu Mkuu wake imefanya vizuri kukubali mapungufu katika mkataba wa DP World.
Huo si udhaifu, na nyuma yake lazima kulikuwa na malumbano mazito, lakini CCM imetoka na msimamo mmoja, TUJISAHIHISHE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…