CCM, tafuteni namna ya kumshauri Rais Magufuli maana muda mwingine anaumiza sana

Nyie ndiyo mnamponza jiwe mpaka anaonekana kituko mbele ya watu(wanaojielewa lakini wewe haumo).
 
Kweli nakubaliana na wewe ila jaribu kujifunza matuzi ya R na L
 
 
Hahahaaa naona unapanick kusikia mnashushwa mishahara hahahaa acha kupanick kama ulikopa V8 kwa mshahara huo rudisha chukua ict maisha yaendelee mbona utakaa sawa tu...au ukiona vip piga mzigo chini waje wanaoridhika na huo mshahara wapige show kama kawaida na tukimalizana na hawa tunakuja kupiga panga...maeneo mengine....kauli mbiu yetu ni mi 5 tena...kila mtu apate...hahaaa
 
Umeandika malalamiko yako mengi kisa tu umeshushiwa Mshahara, simple tu,achana na hiyo kazi ya Mshahara mdogo nenda tafute kazi ya Mshahara Mkubwa! Na Kama kuna Watumishi wanaofanya Mambo ya hovyo huko Ma officine naomba waache Mara moja! Utumishi wa Umma siyo sehemu ya kujitajirisha,ni sehemu ya kuhudumia Wananchi kwa Uzalendo Mkubwa wa hali ya Juu sana! Siyo msubiri hadi Magufuli aje awafundishe Majukumu yenu,saa zingine mnaboa sana,acha Chuma Cha Moto kiwaanyooshe labda mtatia akili!!
 

Hata yeye aliyetoa hyo maagizo hakuzingatia kanuni za utumishi wa uma.
Ndo maana tukahoji nguvu yakubadiri kanuni ili kumkomoa mtu au kikundi.
Wafanyakazi wangapi aliowatumbua , je nao walibadirishiwa kanuni? Ili mshahara wao ushushwe??
Na je! Wote walikuwa wabaya??
 
Huu ni Uchochezi haya unayosema unaweza kweli kuyathibitisha!?
 
Pole jitahidi kufanya mazoezi hiyo hata rais wetu mpendwa anayo so si wewe tu

Ha ha ha ha! Nimefrahi sn kulijua hilo, mh. Rais na mimi ni chama la wana, ila sasa ndg yangu!!! Duh, mpk tutaanza kuficha kabila tunapokuwa nje ya mikoa yetu.
 
Kumbe mleta uzi ulitaka mh aongee kwa kutumia lugha nyororo
 
Ha ha ha ha! Nimefrahi sn kulijua hilo, mh. Rais na mimi ni chama la wana, ila sasa ndg yangu!!! Duh, mpk tutaanza kuficha kabila tunapokuwa nje ya mikoa yetu.
Hahaha hakuna haja ya kujificha mkuu, ukijichanganya na kabila zengine hasa wachagga utajikuta unakuwa byee
 
Wanachotakiwa kumshauri ni kujiandaa kutoka madarakani baada ya 2025 maana kashajipanga kuchezea katiba yetu na kuwa kama best yake mseven
 
"Mimi ukinishauri ndio umeharibu kabisa maana sitofanya unachonishauri".

JOHN MAGUFULI.

"Mimi sipangiwi."
JIWE
Za Kuambiwa Changanya na zako,siyo kila ushauri wwe unachukua tu, wengine wakushauri ili uingie Cha Kike!!
 
Huu ni Uchochezi haya unayosema unaweza kweli kuyathibitisha!?
Gwanda na Ben Sa8 wametekwa na kupotezwa kafanywa au kafanya nn?

Lisu kapigwa risasi akafanya ama kafanywa nn?

Kabendera, Rugemarila, Seth, wamefikishwa lupango kwa mashitaka ya kubumba kafanya au kafanywa nn?

Katiba inakanyagwa kafanya au kafanywa nn?
 
Mimi siyo mtumishi nakatika maisha yangu yote sijawahi kuajiriwa serikalini nasitaajiriwa.
Hivyo isionekane kuwa nimiongoni mwa waliopunguziwa mishahara, au ndg zangu au jamaa zangu.
Nimekuwa nikimuunga mkono ktk hatua zte anazochukua ktk kuletea nchi hii maendereo, nabado naendelea kufanya hivyo.
Lakini basi siku zote wanasema rafiki mzuri niyule anaekushauri hata pale unapokosea, siyo ndiyo tu kila kitu, kwa maono yangu haoa mh. Rais wangu mpendwa hatendi haki kwasababu zifuatazo.
Mfano tu kwa uchache wake, wengine nanyie mtaongezea.
1.Aliwahi kuwaondoa kazini kwa sababu ya utendaji mbovu na usioridhisha, je nao alibadirisha kanuni ili kupunguza mishahara yao?
(A) KICHARE..huyu alikuwa kamishna wa TRA baadae akaenda kuwa DAS je alibadirishiwa kanuni na mshahara ?
(B)Adengenye ......
(C)IGP aliyekuja kupewa ubaroz wa rwandaa.
(D)Diwani tena huyu awam karibia tatu.

Pamoja na wengine mtakao waongezea hapa.
 

Wewe nawe usilete ushabiki wa vyama hapa.
1.tundu lissu alistahili kilichompata, huyo niadui wetu sote watanzaia.
2.seth na lugemalila nikweli wameliibia hili taifa na hawataki kurudisha wangerudisha wangekuwa uraiani.
3. Ben sa8 no comment, maana cjui chochote kuhusu yeye zaidi yakusikia tu, inaweza kuwa kweli katekwa au kajiteka pia, maana wa tz nao kwakutengeneza story za kuchafuana tumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…