Kwa mfano huo mdogo utagundua Nani alienda Shule kukariri na Nani alienda kuelimika
Hata kwenye Majina yetu Ndio sababu kuna vifupisho mfano ukiandika JK Kikwete Kila Mtu anajua ni mh Jakaya
Mh Mchengerwa tupa mapingamizi yote Tukutane na Hawa Ufipa FC Uwanja wa FISI tuwamalize
Baadae Mlale unono 😀
Mmekuwa kama watoto haya mmeridhishwa tafuteni sababu nyingine!Mnaendekeza siasa za kipuuzi hadi mnatia kinyaa. Huyo Nchimbi anakija na maelezo ya hadaa.
Wameshajipanga kusifia hao akina john,luca choice na timu yaoPamoja na kwamba wewe ni mgeni humu JF, lakini sidhani kwamba wewe ni mgeni pia kwa siasa za Tanzania.
Jamaa hata akiwa anaongea unaona wazi kiburi chake..Tunamshukuru Mchengerwa kwa kusaidia Watanganyika kuzisisha chuki kwa mkwewe Rais Samia.
Kumbe mama mkwe ndio anaamua!
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Rais wa Tanzania nilipofanya naye mazungumzo, ambacho tumekiona wapo wagombea wengi sana wa vyama mbalimbali ambao waliwekewa mapingamizi katika hatua za awali.
Katika maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM, tumeelezana kuwa ni vizuri watu wapate nafasi, hivyo nitumie nafasi hii kutoa wito kwa waziri mwenye dhamana ya serikali za mitaa, tunatambua umefuata sheria lakini ni muhimu kukumbuka kwamba demokrasia yetu bado ni changa, ni muhimu tuzidi kukua.
Tunaziomba mamlaka hasa TAMISEMI, katika hatua ya mwisho za rufaa kuyapuuza makosa madogomadogo ili Watanzania wengi zaidi wapate nafasi ya kugombea. Yapo makosa makubwa, kwa mfano nafasi ni maalumu kwa wanawake lakini amejaza mwanaume"
Kwamba alichosema Nchimbi ndio tumeridhika? Ccm ndio wametoa maagizo ya uchaguzi kunajisiwa nyuma ya pazia. Hivyo wangepeana maelezo huko huko nyuma ya pazia ya kufuatilia sheria. Pamoja na Nchimbi kujitokeza, bado ni mtu mjinga tu atapoteza muda wake kwenda kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kwa mazingira haya.Mmekuwa kama watoto haya mmeridhishwa tafuteni sababu nyingine!
Ushemzi, upuuzi, uwenda wazimu. Upumbavu call what may lakini yote yana istahili Ccm
"Wapo Wanaccm waliowekewa mapingamizi, wapo wa ACT, wapo wa CHADEMA, na majibu ya mapingamizi yalitoka, lakini kwa hatua za rufaa kwa maelekezo ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ambaye ni Rais wa Tanzania nilipofanya naye mazungumzo, ambacho tumekiona wapo wagombea wengi sana wa vyama mbalimbali ambao waliwekewa mapingamizi katika hatua za awali.
Katika maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM, tumeelezana kuwa ni vizuri watu wapate nafasi, hivyo nitumie nafasi hii kutoa wito kwa waziri mwenye dhamana ya serikali za mitaa, tunatambua umefuata sheria lakini ni muhimu kukumbuka kwamba demokrasia yetu bado ni changa, ni muhimu tuzidi kukua.
Soma Pia:
Tunaziomba mamlaka hasa TAMISEMI, katika hatua ya mwisho za rufaa kuyapuuza makosa madogomadogo ili Watanzania wengi zaidi wapate nafasi ya kugombea. Yapo makosa makubwa, kwa mfano nafasi ni maalumu kwa wanawake lakini amejaza mwanaume"
Chadema walikurupuka hawakujipanga kwa uchaguzi kuna uzi nilileta ukafutwa nilishuhudia chadema wakitafuta wagombea barabarani kisa mtu waliyepanga kumchukua bila kumtaarifu kachukua fomu Act wazalendo kwa muktadha huo chama makini kinaweza fanya hivyo lazima upate wagombea wasio na sifq sitahiki!Kwamba alichosema Nchimbi ndio tumeridhika? Ccm ndio wametoa maagizo ya uchaguzi kunajisiwa nyuma ya pazia. Hivyo wangepeana maelezo huko huko nyuma ya pazia ya kufuatilia sheria. Pamoja na Nchimbi kujitokeza, bado ni mtu mjinga tu atapoteza muda wake kwenda kushiriki huo upuuzi uitwao uchaguzi kwa mazingira haya.
Huhitaji kujiandaa kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Na hiki kinachoendeshwa na Tamisemi hakina mahusiano na cdm kutokujiandaa. Usidhani hatujui tatizo liko wapi. Namna pekee ya kuonyesha cdm hawakujipanga sio kuwakata kwa hila, bali ilikuwa kuwaacha washiriki ili wananchi waamue kwenye box la kura.Chadema walikurupuka hawakujipanga kwa uchaguzi kuna uzi nilileta ukafutwa nilishuhudia chadema wakitafuta wagombea barabarani kisa mtu waliyepanga kumchukua bila kumtaarifu kachukua fomu Act wazalendo kwa muktadha huo chama makini kinaweza fanya hivyo lazima upate wagombea wasio na sifq sitahiki!
Mi nikukaribishe wewe,mwaka wa 15 huu ni member humu, hii account tu mpyaKaribu sana Jamii Forums ndugu
Je sheria isifuate mambo yaende kiholela!Huhitaji kujiandaa kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Na hiki kinachoendeshwa na Tamisemi hakina mahusiano na cdm kutokujiandaa. Usidhani hatujui tatizo liko wapi. Namna pekee ya kuonyesha cdm hawakujipanga sio kuwakata kwa hila, bali ilikuwa kuwaacha washiriki ili wananchi waamue kwenye box la kura.
Sheria gani boss, au unadhani bado watu wako usingizini? Unataka kusema hizo hujuma za dhahiri ndio hizo sheria. Hivi huwa hambadiliki wakati watu wameshastuka nyie bado mnatumia mbinu za kizee kunajisi uchaguzi?Je sheria isifuate mambo yaende kiholela!