Amefanya kitendo kinachoitwa insubordination, ambacho kimsingi anatakiwa Kufukuzwa. CCM wakiendelea kumchekea atafanya material damage na kuchanganya wananchi. Kwa hakika anatakiwa apigwe stop hata kwa lazima. Kama hana cha kuhubiri mambo ya Mungu huko kanisani, issue za kitabibu alizisomea wapi?!Hana maadili ya uongozi, CCM ifuate mfano wa klabu ya simba kumtimua Manara
Hapana, siyo udikiteta mkuu, alikua na uwezo wa kuwaambia watu wake, lakini siyo kupotosha eti watu watakua Mazombie, ni mjinga pekee atakubaliana na upuuzi ule.Mawazo ya kidikiteta haya. Si mwenyekiti wa CCM keshasema chanjo ni hiari? Gwajima anapita mulemule. Una haki ya kumsikiliza na kumuamini 'askofu' Gwajima, Dr. Gwajima au Samia Suluhu. Jifunzeni kuwa wavumilivu kusikia vitu msivyovipenda
Gwajima amekataa unafiki na ile tabia ya woga/kufuata mkumbo.
Ni nani aliweza kupambana na mabeberu? Upuuzi mtupuWewe wakati Mafuli typo ulikuwepo hapa nchii au ilikuwa hujazaliwa?
Gwajima amezingatia Katiba yenu bora kuliko vyama vyote inayosema "nitasema ukweli daima,fitna kwangu mwiko"
Hoja ya Gwajima haiwezikufifshwa kwa matisho yenu ,kwa ninavyo mjua Gwajima hata mkimtishia na mkamfukuza hamtauondoa uhalisia kwamba mama amekuwa dhaifu na hawezi tena kupambana na wale mnaowaita Mabeberu hulu misaada yao mnaitaka
Freedom of speech, Chama Cha Mazezeta hamjui hata haki za binadamuJombaaa ww c mwanachadema au?
Mambo ya CCM yanakuhusu nnii..kaa kimyaa baaas..
Hariri kwanza maandishi yako. Hayaeleweki!!Kwa hiyo unamaanisha ndani ya CCM tu ndio unakuwa huru kimawazo ila ukiwa njia yake lazima "fikra sahihi" za mwenyekiti zidumu?!
Nao walikuwa wanatoa mawazo yao kama Diallo alivyotoa take.Mbona mataga walimshukia kama Mwewe Anthony Diallo alipoamua kuwa na mawazo yake huru kuhusu mwendazake?!
Nasema uongo ndugu zangu!!?Nireteeni Gwajimaa!!
Hivi mkoa wa Chato unatangazwa lini?Ndani ya CCM Askofu Rashid Gwajima ni mbuyu wenye mizizi mirefu.
Ni taasisi iliyoimarishwa na utawala uliopita na sasa haitetereki wala kutetereshwa.
Sukuma gang is a real big institute
Kwanini usipendekeze ccm wamfute uanachama Magufuli posthumously kabisa sababu ndio mwanzishi wa falsafa anazoeneza gwajima...na wamkane hadharani kabisa...unajaribu kum attack jpm kwa mgongo wa gwajima wewe..jitokeze bayanaKama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.
Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?
WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.
Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
GWAJI MA JESHI KUBWA YULE.MKUU OOOH MKIJARIBU MTACHEKA KISPANYOLA PALE KAWE ......Kama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.
Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?
WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.
Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Umeniboa kusema katiba bora afrikaKama ambavyo tumekuwa tukiimba kwa katiba bora yetu ya Chama kuliko vyama vyote nchini na Afrika,ni wazi kabisa kua Askofu Gwajima ameleta sintofahamu kubwa sana nchini huku akijua kitendo kile kilikua ni cha uchochezi wa makusudi na alidhamiria.
Mwanachama mzima wa CCM huwezi kusimama uansuambia umma kwanini Corona imeibuka baada ya Magufuli kufa, huwezi kumwambia Mkuu wa nchi anashadadia misaa ya Bilgate ili wananchi wachomwe chanjo ya Corona wafe, huu ni upotoshaji, udhalilishaji wa viongozi wa nchi na ni uchochezi mkubwa sana si wa kufumbia macho.Hivi kweli Mhe Rais anaweza kuwaongoza wananchi wake kwenye kifo?
WITO KWA CCM: Naomba Askofu Gwajima achukuliwe hatua kali za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kumfuta uanachama ili arudi Kanisani kwake akaendelea kupotosha watu na kuhubiri uongo wake. Jimbo liwekwe wazi kuna wanaccm safi Kawe ni imani yangu kua tukirudia uchaguzi tutashinda tena na tutapata mwakilishi mzuri.
Matamshi ya Gwajima si ya bahati mbaya bali ni kusudi la kutaka kuleta mpasuko wa kitaifa ambao mpaka sasa kuna chuki kubwa sana umejengeka miongoni mwa wananchi.Damage ya matamshi yake ni kubwa sana si wa kuachwa.Amedhalilisha mamlaka za nchi kwa kiasi kikubwa sana.
Huyu mzee alitarajia watu wabatizwe KWA moto,ubatizo huo ukaanza naye na familia yake
wewe ni rubbish, moth,,,#$&fuc.....erMimi mpuuzi? Mama yako mzazi ndiye mpuuzi kwa kukunyima malezi boro, junya wewe
Waache wamfukeze,Moto wa Gwajima akiuwasha hakuna wa kuuzima kwa Sasa ndani ya CCM.Kwani mama yeye anautalamu gani juu ya hizo chanjo
Kwa hiyo gwajima akiongea mnashadadia maneno yake Kama vile mwali wa kizungu
Chanjo sio lazima na gwajima hajafunga watanzania pingu miguuni wasiende kupata hizo chanjo
Yakuambiwa changanya na yako
🤣🤣🤣Huyu mzee alitarajia watu wabatizwe KWA moto,ubatizo huo ukaanza naye na familia yake