CCM: Tunafuatilia mienendo ya viongozi wetu wanaopotosha umma, kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wetu

CCM: Tunafuatilia mienendo ya viongozi wetu wanaopotosha umma, kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wetu

Kwanza ifahamike wametoa maoni na msimamo wao na kile wanachokiamini. Kutaka kulazimisha anachosema Rais kiwe ni sheria na amri inaonyesha ni kwa namna gani hamjastarabika. Hata Magufuli alifanya hivi kwa Makamba, Nape na wengine na tuliona namna uwajibikaji na mlengo wa siasa zetu ulikoelekea. Wacheni watu wazungumze wanayoona yanafaa. Kama kisheria wamekosea waambieni wamekosea sheria gani na mchukue hatua according to your laws and scriptures na siyo kuja na maamuzi ya kijima. Et Rais amesema sasa yeye kama hataki kukosolewa apishe ofisini wapo watakaokubali kukosolewa. Hatutaki kurudi kule tulipokuwa asee, huwezi kujibu hoja nyamaza na usilazimishe kukubaliwa kila jambo. Jenga hoja watu wapate mantiki then watachambua na kupata ukweli. Badilikeni wazee wana huku hatuwaelewi kabisa. Mkiona kukosolewa hamuwezi tingisheni nyama msepe.
Leo ndo mmejua kuna Uhuru wa maoni? Mmeanza lini kuhubiri Uhuru wa maoni tofauti na Mwenyekiti wenu? Mbona wengine wakileta maoni tofauti wanapewa kesi za uhaini?
 
"Chama Cha Mapinduzi kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha Umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu na maadili ya Chama.

CCM inawakikishia wanachama na watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi iyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM"

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
26 Julai, 2021

View attachment 1869110
Tundu njoo umchukue huyu shoga mwezio kwenye hii picha
 
Hawezi kufutwa ubunge, kwasababu Gwajima ni jeuri kuliko Mwenyekiti wa CCM na pia ametumwa na hao hao CCM kumtingisha Rais SSH ili wamweke kwenye tisini asigombee 2025.

Kifupi, Gwajima anatimiza agizo la wana CCM wenye uchu wa madaraka ya urais (Mwigulu Nchemba & Co Ltd In Collaboration With Sukuma Gang) kumfanyia hujuma, figisu na fitina Rais SSH.

Simple logical theory wanayotumia Mwigulu Nchemba & Co Ltd; Rais SSH anatakiwa atingishwe kisawasawa,

1) Afitinishwe na wananchi kwa kupandisha kodi/tozo kwa wanyonge (Miamala Ya Simu, Wakulima, Wavuvi). Hapa ametumika Mwigulu Nchemba.

2) Afitinishwe na vyombo vya Usalama. Hapa ametumika Gwajima.

3) Afitinishwe na dunia nzima kwa kuwapa viongozi wa upinzani kesi za Ugaidi. Hapa vimetumika vyombo vya Police.

4) Akose kuungwa mkono na CCM wenyewe ndani kwa ndani kwa kuona hana msimamo thabit. Hapa itatumika CCM yenyewe kwenye vikao vya NEC taifa.

5) Upinzani wapambishe moto kudai Katiba Mpya. Hapa wametumika Upinzani na Viongozi Wa Kiroho.

6) Mwigulu aanze mapema ya kutafuta point kwa wananchi kwa kufanya ziara yenye msafara kama wa JPM. Atembee kusikiliza kero za wananchi ili wamwone Rais SSH hana time na wananchi na yupo bussy kwenda ziara nje ya nchi kama Burundi. Mwigulu kaishaanza hizi ziara.

7) Mapigo yaanzie Kaskazini - Magharibi (Mwanza) kwa upinzani kudai Katiba Mpya kwa nguvu zote, na ya Mwigulu Nchemba yaanzie kusikini (Mtara - Tunduma) kujifanya anasikiliza kero za wananchi. Wakati Jeshi La Polisi likicheza na Magharibi (Dar Es Salaam) kwa kumshikilia Freeman Mbowe na viongozi wengine wa upinzani kwenye kesi ya Ugaidi. Formation Three In One.

Rais SSH cha ajabu bado hajaisoma sinema hii, akiendelea kuwalea hao viumbe hachomoki kwenye kikaango cha CCM wenye uchu wa madaraka, ndio kwanza 2021 mpaka 2025 ni mwendo masafa marefu na Rais SSH ajiandae kwa kuvaa viatu vizuri tu.

Mtamwonea huruma Rais SSH kwa jinsi mambo yatakavyo mkalia vibaya muda si mrefu. WANAMCHAKAZA NA KUMJERUHI VIBAYA MUDA SI MREFU.
Kwani wewe kwa akili zako unadhani samia atagombea 2025 labda alazimishwe tu mama ni mchovu yeye mwenyewe anajijua wala hakuwa na wazo la kuwa makamu wa raisi ,lakini cheo cha makamu raisi alikifurahua kwa sababu ni chakula bata tu siyo cheo cha uraisi ,kitu pekee kwa mama ni kumuandaa majaliwa kuwa raisi 2025 hapo atakuwa kaitendea haki tz
 
wachukuliwe hatua kali za utovu wa nidhamu.
awamu ya 5 walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sasa wanaonekana wamekosa kabisa nidhamu yaani kila mmoja kaota mapembe!!
yaani hawajali kabisaaaa wanajilopokea tu!!!
nadhani wana lengo lililo jificha.
 
wachukuliwe hatua kali za utovu wa nidhamu.
awamu ya 5 walikuwa na nidhamu ya hali ya juu sasa wanaonekana wamekosa kabisa nidhamu yaani kila mmoja kaota mapembe!!
yaani hawajali kabisaaaa wanajilopokea tu!!!
nadhani wana lengo lililo jificha.
 
Huyu si ndo yule jamaa alikulaga kondoo ...hivi kumbe alipata nafasi ya kuingia mjengoni[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ujui mjengoni ndiko wanapatikana manguli wenye sifa mbovumbovu top,majangiri ,wauza unga, mabasha, wasagaji ,mafisadi papa , makahaba,nk sifa kuu ya kuwa mjengoni ni kuwa top kwenye mambo mabovu,
 

Chama Cha Mapinduzi kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha Umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu na maadili ya Chama.

CCM inawakikishia wanachama na watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi hiyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM

Kauli hii ya CCM imetokana na kauli kinzani zinazotolewa na baadhi ya makada wake katika masuala ambayo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT amekwishayatolea maelekezo ikiwemo suala la tozo na COVID-19

Shaka Hamdu Shaka
Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
Wafukuzwe tu mana hakuna namna nyingine.

Gwajima afukuzwe ili abaki kuwa Askofu kwenye kanisa lake kama walivyo akina shoo,Kilaini, Kakobe,Mwingira,.n.k.

Kuhusu Chanjo kuna mambo namuunga mkono Gwajima kuwa tusikurupuke kumchanja mtu yeyete kwa Lazima.
Hilo mama yetu Samia alilisema kuwa itakua ni hiyari. Ni kweli kuwa madaktari wanaodili na magonjwa kama hayo wanapenda fursa za kujipatia fedha kwa kuzunguka nchi nzima kuchanja watu bila kujali hatima ya watu zaidi ya kupata fedha za night allowance.

Hata hivyo Gwajima hakupaswa kulizungumzia nje ya vikao halali au kwenda kumshauri Rais ikulu. Wakati wa Msukuma mwenzake aliufyata mkia hata alipoona nyumba za ibada zinageuka na kuwa matawi ya CCM kwa lazima ili zisifugwe. Leo anataka kurudisha ile tabia yake ya kuwatukana marais waislam wakati makanisa yote yamejengwa vizuri na kuwa na waumini wenye maisha mazuri wakati wa utawala wa Marais waislam.

Wakati wa Nyerere alizuia makanisa ya Kilokole na walionekana kuwa wanakashfu dini nyingine. Vurugu zilikua ni kubwa sana kwenye kupigania haki ya makanisa ya kilokole na walokole walikamtwa kamatwa hovyo. Mwinyi akaje akasema ruksa mtu kuanzisha dini yake.

Mkapa akaja makanisa hayo ya kilokole yakawa na waumini maskini wasio na uwezo wa kumnunulia mchungaji hata baskeli.Akaja Mtu wa Watu JK makanisa yote yakawa na waumini wenye uwezo wa kujenga makanisa yao.

Mengine yakajenga mpaka mabenki, Wakina Gwajima wakawa na Mabodigadi na kununua Helkopta n.k. Wakaanza kujiinua na kumkashifu kwa sababu tu alitoa Uhuru . Wakatumia mitandao kumtukana mpaka Pengo.

Akaja Mwendazake ,watu wakapotea ,wakatekwa,wizi wa kura, watu kupigwa na kuporwa fomu za kugombea, maDC kupiga watu n.k lakini akina Gwajima wakaanza kusifu na kutukuza dhulma kwa sababu za Ukabila na udini.

Sasa wameanza Tena. Hawa akina Gwajima ndio wanaoleta chokochoko zinazolipotosha umma na sio wale wa Katiba inayoliunganisha Taifa.

Hakutakiwa amdhalilishe Rais kwa kumsema hadharani. Alipaswa kwenda ikulu na kumshauri kwani ana hoja nzuri.

Lakini pia suala la afya na imani haliwezi kuwa la wote. Imani ni kwa wanaoamini kweli . Wasioamini wanatibiwa kisayansi.
Kuna mtu hata angechanjwa na maji tu angepona mana anaamini kila ugonjwa akishamuona daktari anapona . Ndio maana biashara ya dawa za makemikali bado IPO juu sana mana watu wanaamini na kuzitumia japo zinatoka huko huko nje kwa wazungu.

Mwenye imani asilazimishwe kuchanjwa lakini mzinzi,mlevi,muuaji kama wanaCCM wengi, washirikina kama wanaCCM wengi, wachawi, wezi kama wanaCCM wengi, mafisadi kama wanaCCM wengi,waongo,waabudu sanamu, wanaobambikia watu kesi n.k. Hawa inabidi Wahubiriwe toba kwanza sio kuishambulia serikali na wapinzani kwa kudhani kuwa wataikimbia hukumu inayokuja.

NB
Haki,Upendo,utu na usawa ni jambo jema hata mtu akifa najufa kwa amani .
 
Kwanza ifahamike wametoa maoni na msimamo wao na kile wanachokiamini. Kutaka kulazimisha anachosema Rais kiwe ni sheria na amri inaonyesha ni kwa namna gani hamjastarabika. Hata Magufuli alifanya hivi kwa Makamba, Nape na wengine na tuliona namna uwajibikaji na mlengo wa siasa zetu ulikoelekea. Wacheni watu wazungumze wanayoona yanafaa. Kama kisheria wamekosea waambieni wamekosea sheria gani na mchukue hatua according to your laws and scriptures na siyo kuja na maamuzi ya kijima. Et Rais amesema sasa yeye kama hataki kukosolewa apishe ofisini wapo watakaokubali kukosolewa. Hatutaki kurudi kule tulipokuwa asee, huwezi kujibu hoja nyamaza na usilazimishe kukubaliwa kila jambo. Jenga hoja watu wapate mantiki then watachambua na kupata ukweli. Badilikeni wazee wana huku hatuwaelewi kabisa. Mkiona kukosolewa hamuwezi tingisheni nyama msepe.
Kwani hukumsikia mother geto alipo sema raisi hakosei ,tz tumelamba garasa kwa huyo raisi,
Si nyerere wala magufuli alisha wahi kuongea utopolo wa namna hii
 
Wafukuzwe tu mana hakuna namna nyingine.

Gwajima afukuzwe ili abaki kuwa Askofu kwenye kanisa lake kama walivyo akina shoo,Kilaini, Kakobe,Mwingira,.n.k.

Kuhusu Chanjo kuna mambo namuunga mkono Gwajima kuwa tusikurupuke kumchanja mtu yeyete kwa Lazima.
Hilo mama yetu Samia alilisema kuwa itakua ni hiyari. Ni kweli kuwa madaktari wanaodili na magonjwa kama hayo wanapenda fursa za kujipatia fedha kwa kuzunguka nchi nzima kuchanja watu bila kujali hatima ya watu zaidi ya kupata fedha za night allowance. Hata hivyo Gwajima hakupaswa kulizungumzia nje ya vikao halali au kwenda kumshauri Rais ikulu. Wakati wa Msukuma mwenzake aliufyata mkia hata alipoona nyumba za ibada zinageuka na kuwa matawi ya CCM kwa lazima ili zisifugwe. Leo anataka kurudisha ile tabia yake ya kuwatukana marais waislam wakati makanisa yote yamejengwa vizuri na kuwa na waumini wenye maisha mazuri wakati wa utawala wa Marais waislam.
Wakati wa Nyerere alizuia makanisa ya Kilokole na walionekana kuwa wanakashfu dini nyingine. Vurugu zilikua ni kubwa sana kwenye kupigania haki ya makanisa ya kilokole na walokole walikamtwa kamatwa hovyo. Mwinyi akaje akasema ruksa mtu kuanzisha dini yake.
Mkapa akaja makanisa hayo ya kilokole yakawa na waumini maskini wasio na uwezo wa kumnunulia mchungaji hata baskeli.Akaja Mtu wa Watu JK makanisa yote yakawa na waumini wenye uwezo wa kujenga makanisa yao. Mengine yakajenga mpaka mabenki, Wakina Gwajima wakawa na Mabodigadi na kununua Helkopta n.k. Wakaanza kujiinua na kumkashifu kwa sababu tu alitoa Uhuru . Wakatumia mitandao kumtukana mpaka Pengo.

Akaja Mwendazake ,watu wakapotea ,wakatekwa,wizi wa kura, watu kupigwa na kuporwa fomu za kugombea, maDC kupiga watu n.k lakini akina Gwajima wakaanza kusifu na kutukuza dhulma kwa sababu za Ukabila na udini.

Sasa wameanza Tena. Hawa akina Gwajima ndio wanaoleta chokochoko zinazolipotosha umma na sio wale wa Katiba inayoliunganisha Taifa.

Hakutakiwa amdhalilishe Rais kwa kumsema hadharani. Alipaswa kwenda ikulu na kumshauri kwani ana hoja nzuri.

Lakini pia suala la afya na imani haliwezi kuwa la wote. Imani ni kwa wanaoamini kweli . Wasioamini wanatibiwa kisayansi.
Kuna mtu hata angechanjwa na maji tu angepona mana anaamini kila ugonjwa akishamuona daktari anapona . Ndio maana biashara ya dawa za makemikali bado IPO juu sana mana watu wanaamini na kuzitumia japo zinatoka huko huko nje kwa wazungu.

Mwenye imani asilazimishwe kuchanjwa lakini mzinzi,mlevi,muuaji kama wanaCCM wengi, washirikina kama wanaCCM wengi, wachawi, wezi kama wanaCCM wengi, mafisadi kama wanaCCM wengi,waongo,waabudu sanamu, wanaobambikia watu kesi n.k. Hawa inabidi Wahubiriwe toba kwanza sio kuishambulia serikali na wapinzani kwa kudhani kuwa wataikimbia hukumu inayokuja.

NB
Haki,Upendo,utu na usawa ni jambo jema hata mtu akifa najufa kwa amani .

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Acha kuingiza hoja dhaifu ya udini na ukabila wewe! Gwajima hajaongelea dini ya mtu wala kabila la mtu! Hoja yake ni kukataa chanjo kwa lazima na wewe unapswa ujikite kujibu hoja hii! Gwajima hajapingana na Rais kwa sababu wanatofautiana dini wa la kabila.
 
Gwajima apewe ulinzi, huyo ni asset adimu sana kuwahi kutokea nchini. strong man at work!, tikisa vyura wote. Sijajua amezungumza kama PHd holder, kama Bishop, kama Member of parliament, kama mwanaCCM ama kazungumza kama mwananchi wa kawaida. Hapa ndipo sijamuelewa...ila kwa ujumla mm binafsi namuelewa sana Gwajima kama Bishop, God bless him
Kwenye nchi unatakiwa uwe na watu manunda wawili Tu ama watatu kama Gwajima , hatuwez kuwa wote makondoo nyanya alaaah
 

Chama Cha Mapinduzi kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha Umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu na maadili ya Chama.

CCM inawakikishia wanachama na watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi hiyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM.

Kauli hii ya CCM imetokana na kauli kinzani zinazotolewa na baadhi ya makada wake katika masuala ambayo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT amekwishayatolea maelekezo ikiwemo suala la tozo na COVID-19.

Shaka Hamdu Shaka,
Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
Hakuna wa kumfukuza Sukuma gang hiyo
 
Gwajima anapaswa atoke hadharani awaombe Radhi watanzania. vinginevyo atawajibika kwa kauli zake za upotoshaji wakati Taifa lipo ktk mapambano ya janga hili la korona.
 
Tupo VITANI....

Tupo mapambanoni dhidi ya UVIKO.....

Ingalikuwa askofu Gwajima amefanya TAFITI ZA KISAYANSI na kugundua HIZO SUMU ZILIZOKO NDANI YA CHANJO DHIDI YA UVIKO AMBAYO SERIKALI INAJUA NA INATAKA TU KUWADHURU WATANZANIA....ningemuunga mkono.....

Ila kutumia tu "conspiracy theories" na kuongozwa na misimamo ya kiimani kuwashajiisha watanzania WAIKATAE CHANJO HII na kuwabandika MAJINA MABAYA wote wanaoiunga mkono...na kutaka WENGINE WACHANJWE kuwa ni "MAKUWADI NA WALIONUNULIWA NA MABEBERU" ni kuikosea JAMII YA KISTAARABU inayotaka majibu kwa maswali magumu.....

Hakuishia hapo ,aliwaombea LAANA YA KIFO MADAKTARI WOTE(WIZARA YA AFYA) wanaoiunga chanjo mkono na wanaotaka wengine wachanjwe...

This is UNFAIR and TOTALLY TERRIBLE.......

#ChanjoNiMuhimu
#TujitokezeKuchanjwa
#NchiKwanza
#KaziIendelee
Umeupiga mwingi sana, hongera sana.
 
Kama ilishindwa kuanguka 2015, basi usahau kijana. CCM ni zaidi ya uijuavyo, mwaka 2025 watakuja na mikakati mingine zaidi ya ile ya 2015 ya kumtupia mfupa (fisadi kuu kwa mujibu wa chadema yenyew) Mbowe na genge lake huku wao wakijipanga vizur kufanya yao.
Ule uchaguzi mlianguka ipo wazi..... Tatizo ni mfumo wa uchaguzi tu. Kma ni kutumia dola tu, hta angekua Mrema mbona angeshinda kila chaguzi anavyotaka.
 

Chama Cha Mapinduzi kinafutilia kwa makini mienendo ya baadhi viongozi wake ambao wamekuwa wakipotosha Umma na kwenda kinyume na maelekezo ya Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu na maadili ya Chama.

CCM inawakikishia wanachama na watanzania kuwa hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi ya wote ambao wanatumia nafasi hiyo kusukuma ajenda zao binafsi, kwa mujibu wa Katiba, kanuni za maadili na uongozi za CCM.

Kauli hii ya CCM imetokana na kauli kinzani zinazotolewa na baadhi ya makada wake katika masuala ambayo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT amekwishayatolea maelekezo ikiwemo suala la tozo na COVID-19.

Shaka Hamdu Shaka,
Katibu wa Halmshauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi.
IMG-20210727-WA0074.jpg
 
Back
Top Bottom