Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Wewe ndiyo muongo na kibaraka wewe.Huutaki ukweli unatuwekea video za kuungaunga kupotosha ukweli? Hovyoo
kama una akili bisha hayo aliyoyasema je ni kweli bunge halijapitisha ununuzi wa ndege? halima alikuwa anachangia nini pale ni usagaji au? kitu kililetwa ndani ya bunge halafu unawaambia watu ndege zimenunuliwa bila bunge kujua ni upumbavu wa hali ya juu acheni ushoga wenu mnaotaka kutuletea tumeshawagundua hovyo kabisa
 
Unaijua ile speaker inatotumiwa na wajasiamali kutangaza bidhaa zao?! Huwa imeprogramiwa kurudia matangazo yale yale! Ni Wewe, na hii comenti yako ya kila siku kwenye kila uzi!
Kweli aisee, huyu chizi kila uzi ni comment hiyo hiyo. Fala kweli. Umenikumbusha zile speaker, tena huyu ni kama zile zinazotangaza sumu....' sumu ya panya, viroboto, mende, kunguni na ya kuonja ipo...' ha ha ha

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Na tukimkataa tumemkataa mungu
 
Huwe na akili usijaze kamasi tu puani. Pesa za ndege unazosema zilipitia bunge nani alitangazwa hiyo tenda ya kununua ndege? Kwani CAG alizuiliwa kukagua? Huu si wizi ni kitu gani?
 
Alafu ukute analipwa na kodi zetu na faini tunazopigwa barabarani, kurudia rudia haka kaujinga!
 
Magufuli kaua ccm kifo cha kikatiri sana !
 
Katika historia ya Tanzania ndiyo tuna upinzani wenye nguvu kuwahi kutokea
Pengine ndo sasa umepata ufahamu na inawezekana ndo ikawa Mara yako ya kwanza kupiga kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…