Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una akili bisha hayo aliyoyasema je ni kweli bunge halijapitisha ununuzi wa ndege? halima alikuwa anachangia nini pale ni usagaji au? kitu kililetwa ndani ya bunge halafu unawaambia watu ndege zimenunuliwa bila bunge kujua ni upumbavu wa hali ya juu acheni ushoga wenu mnaotaka kutuletea tumeshawagundua hovyo kabisaWewe ndiyo muongo na kibaraka wewe.Huutaki ukweli unatuwekea video za kuungaunga kupotosha ukweli? Hovyoo
Hahaha tatizo daktari ametumia syringe la kuchoma ng'ombe, maumivu ni makali mkuu tuwahurumie.Usipaniki mkuu, tulia daktari achomoe sindano polepole
kweli hata mimi siamini ninachokiona.....nilijua hawana haja ya kufanya kampeniKama upinzani umeshakufa kinachowazuririsha barabarani mkiomba kura ni nini bakini chamwino ,mmesha chaguliwa bila kupingwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifurahishaHahaha tatizo daktari ametumia syringe la kuchoma ng'ombe, maumivu ni makali mkuu tuwahurumie.
TAZARAMkuu kuna sgr inatoka dar mpaka kapirimposhi?
Kweli aisee, huyu chizi kila uzi ni comment hiyo hiyo. Fala kweli. Umenikumbusha zile speaker, tena huyu ni kama zile zinazotangaza sumu....' sumu ya panya, viroboto, mende, kunguni na ya kuonja ipo...' ha ha haUnaijua ile speaker inatotumiwa na wajasiamali kutangaza bidhaa zao?! Huwa imeprogramiwa kurudia matangazo yale yale! Ni Wewe, na hii comenti yako ya kila siku kwenye kila uzi!
Na tukimkataa tumemkataa munguNataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.
Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.
Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Kwani wewe unamsikilizia wapi, hapa JF?!?... hivi Samia kapotelea wapi. Muda sasa sijasikia habari zake.
Huwe na akili usijaze kamasi tu puani. Pesa za ndege unazosema zilipitia bunge nani alitangazwa hiyo tenda ya kununua ndege? Kwani CAG alizuiliwa kukagua? Huu si wizi ni kitu gani?kama una akili bisha hayo aliyoyasema je ni kweli bunge halijapitisha ununuzi wa ndege? halima alikuwa anachangia nini pale ni usagaji au? kitu kililetwa ndani ya bunge halafu unawaambia watu ndege zimenunuliwa bila bunge kujua ni upumbavu wa hali ya juu acheni ushoga wenu mnaotaka kutuletea tumeshawagundua hovyo kabisa
Alafu ukute analipwa na kodi zetu na faini tunazopigwa barabarani, kurudia rudia haka kaujinga!Kweli aisee, huyu chizi kila uzi ni comment hiyo hiyo. Fala kweli. Umenikumbusha zile speaker, tena huyu ni kama zile zinazotangaza sumu....' sumu ya panya, viroboto, mende, kunguni na ya kuonja ipo...' ha ha ha
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Jaribu hata kugoogle basi sio unaandika tuu bila kuwa na uhakika.... Narudia tena tazara ni cape gauge sio sgr
Magufuli kaua ccm kifo cha kikatiri sana !Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.
Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.
Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Mnakufuru mpaka basi. Watu walipona mabomu ya atomiki Hiroshima na Nagasaki!!Na tukimkataa tumemkataa mungu
Pengine ndo sasa umepata ufahamu na inawezekana ndo ikawa Mara yako ya kwanza kupiga kura.Katika historia ya Tanzania ndiyo tuna upinzani wenye nguvu kuwahi kutokea
Uhuru ,haki na maendeleo kwa wengine kusikia tu kwao ni sumutatizo amekuwa muongo muongo sana hebu sikiliza hii
Hiyo haitufanyi tusimpigie kura Kama kweli Ni hivyo tuleteeni na ile ya computer kwa kila mwalimu na milioni hamsini Kila Kijijitatizo amekuwa muongo muongo sana hebu sikiliza hii