Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Uchaguzi 2020 CCM twendeni taratibu, Tundu Lissu hayupo peke yake. Atatushinda!

Endeleeni kupiga ramli Magufuli ni chaguo la wengi
139205815_15945588086961n.jpg
 
Wewe ndiyo muongo na kibaraka wewe.Huutaki ukweli unatuwekea video za kuungaunga kupotosha ukweli? Hovyoo
kama una akili bisha hayo aliyoyasema je ni kweli bunge halijapitisha ununuzi wa ndege? halima alikuwa anachangia nini pale ni usagaji au? kitu kililetwa ndani ya bunge halafu unawaambia watu ndege zimenunuliwa bila bunge kujua ni upumbavu wa hali ya juu acheni ushoga wenu mnaotaka kutuletea tumeshawagundua hovyo kabisa
 
Unaijua ile speaker inatotumiwa na wajasiamali kutangaza bidhaa zao?! Huwa imeprogramiwa kurudia matangazo yale yale! Ni Wewe, na hii comenti yako ya kila siku kwenye kila uzi!
Kweli aisee, huyu chizi kila uzi ni comment hiyo hiyo. Fala kweli. Umenikumbusha zile speaker, tena huyu ni kama zile zinazotangaza sumu....' sumu ya panya, viroboto, mende, kunguni na ya kuonja ipo...' ha ha ha

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Na tukimkataa tumemkataa mungu
 
kama una akili bisha hayo aliyoyasema je ni kweli bunge halijapitisha ununuzi wa ndege? halima alikuwa anachangia nini pale ni usagaji au? kitu kililetwa ndani ya bunge halafu unawaambia watu ndege zimenunuliwa bila bunge kujua ni upumbavu wa hali ya juu acheni ushoga wenu mnaotaka kutuletea tumeshawagundua hovyo kabisa
Huwe na akili usijaze kamasi tu puani. Pesa za ndege unazosema zilipitia bunge nani alitangazwa hiyo tenda ya kununua ndege? Kwani CAG alizuiliwa kukagua? Huu si wizi ni kitu gani?
 
Kweli aisee, huyu chizi kila uzi ni comment hiyo hiyo. Fala kweli. Umenikumbusha zile speaker, tena huyu ni kama zile zinazotangaza sumu....' sumu ya panya, viroboto, mende, kunguni na ya kuonja ipo...' ha ha ha

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Alafu ukute analipwa na kodi zetu na faini tunazopigwa barabarani, kurudia rudia haka kaujinga!
 
Nataka niseme kwamba tusijifanye kuziba masikio, Tundu Lissu kupigwa Risasi 16 na kuamka kisha kuendelea na shughuli zake huu ni muujiza tusiupuuze, siyo hali ya kawaida hii.

Nataka niwaambie wanaCCM wenzangu kama kuna mtu yupo ndani yetu alihusika na kupigwa na kuumizwa kwa Tundu Lissu huyu mtu ametondoa mwenye historia za siasa za nchi hii. Huyu Lissu anabebwa na Mungu Muumba kama kweli ndani yetu kuna mtu ana dini.

Alisema rafiki yangu Robert Heriel kwamba nabii Mussa, Mfalme Daudi na Yessu walishinda vita si kwa nguvu zao, ni kwakua walikua na nguvu za ziada kutoka kwa Mungu. Tusimpuuze Lissu kuna kitu ndani yake, ayakaemgusa au kumkaribia huyu kiumbe huenda ndio tukalipoteza taifa letu mapema.
Magufuli kaua ccm kifo cha kikatiri sana !
 
Back
Top Bottom